Keshatangaza kuwa yeye ni Chadema vitisho havina nafasi tena. Let them be careful kwani wanaweza kujikuta wanalipa compesation kubwa kwa ajili ya ignorance yao ya kushabikia siasa kwa kila kitu.
Mkuu Mchukia Ufisadi unajua shida ni nini! Mixtape ilikuja mtaani kabla hawa jamaa hawajachukua kadi zao za Chadema.. sasa it's too late kusema kuwa waache wanachokifanya maana wananchi kibao wamekamata kopi zao za bure na wengine wanachkua online. Cha muhimu ni kwamba labda jamaa wakae chini wazungumze maana kama hii project inaenda mpaka Volume 10 inaweza ikaleta rabsha kubwa sana.
Kiranga ndugu yangu - Polisi akili zao sio mgando kama unavyofikiria! Ila hazimo kabisa. Wanaamriwa nenda kushoto kulia chuchumaa, galagala wanafanya yote hayo...lakini wanajua wanachofanya!"...Alichosema ni "I wanna kill right now" kitu ambacho kinaweza kutafsiriwa a thousand and one ways, I wanna kill this track, I wanna kill mediocrity, I wanna kill my opponents lyrically etc etc. Hawa polisi akili mgando sana..."
Nope... at least you know the intention!! tena afadhali huyu kuliko akina siye tunaojifanya safi wakati tunasambaza virusi na kujifanya wazalendo na mabingwa wa kuchambua wenzetuAnything bad with this 'I wanna kill you"?
Kiongozi, ninachojaribu ku-reason hapa ni kwamba huwezi kumtia mtu hatiani mhalifu kwa wewe mwenyewe kutenda uhalifu in the process...ndio maana hata polisi hawawezi kutumia kidhibiti walichokipata kwa njia zisizo halali dhidi ya mtuhumiwa...mahakama inaeza kugeuza kibao na inayo haki ya kufanya hivyo.
Huu ni ushauri wa bure tu, sio kumlazimisha mtu aone kile nikionacho.
Abdulhalim, take this as light touch. In your avatar, there are two caricatures, this one, having realized the other caricature is the culprit who stole his hut and swallowed it into his belly, he rips out his belly and takes back his property...
There will be blood, and blood it is...
Msanii wa muziki wa Hip Hop nchini, Mr. II au Sugu kama anavyojulikana na wengi, ameeleza sababu za kukamatwa kwake leo na jeshi la Polisi nchini.
Akielezea sakata hilo, Mr II amesema kuwa alikatwa kuhusiana na mstari mmoja uliyomo kwenye wimbo wake ambao unapatikana kwenye albamu ya Anti Virus ambayo hivi sasa inasambazwa bure mtaani kwa mashabiki wa muziki huo. Katika wimbo huo, Mr. II amedaiwa kutishia kuua pale anaposema I wanna kill you, jambo ambalo amesema limemshangaza kwa sababu maneno yaliyotumika katika wimbo huo ni ya kisanii zaidi na yanaweza kuwa na maana zaidi ya moja. Mr II, ambaye amedai kukamatwa na kuhojiwa na maofisa wa Polisi kutoka Makao makuu ya jeshi hilo kwa saa kadhaa na kisha kuachiwa kwa dhamana ya kujidhamini mwenywe, ametakiwa kuripoti tena kesho kutwa kituoni hapo.
Mr. II, pamoja na wasanii wengine wa Hip Hop nchini, wamerekodi nyimbo kadhaa za hip Hop na kuweka kwenye albamu moja ambayo wameiita Anti Virus, wakielezea hisia zao mbalimbali za kimaisha na kadhia la muziki wa Bongo. Awali, msanii mwingine wa Hip Hop, Dudubaya, naye alirekodi albamu yenye nyimbo kama hizo na kuiita NGURUWE.
Tukio la kukamtwa kwa Mr. II, limekuja siku tatu tu baada ya kutangaza kujiunga na chama cha siasa (CHADEMA) Ijumaa iliyopita na leo alitarajiwa kutangaza nia ya kugombea Ubunge kwa tiketi ya chama hicho mkoani Mbeya.
saluuuuut!!!!!!!!!
aluutaaaaaaaa.......continua...........!!
baba mmh umenena tena wima!!!!!...lakin mpenzi wangu daahhhh umewachana sana....
m afraid ma braaza do u have evdnce of what ur saying?
-km ni hasira tu za kibifu ndo ukaamua kuwachana kiivi bwana siyo fresh
-y didnt u use some dplomat means to solv t?
-yap ata mi naskia clouds wana madudu sjui thy nt fea ....bt ma broo walikupa promo kipind flan walikuwa wanapiga nyimbo ako km ni bifu la maralia au namna gan vip ni kias cha kuwaambia na kuzungumza cz u mr mr 2 ur like model to many young artist so z beta to show up wth gud mana n ol staffs in gud colour bt kuwaka ivi tena maneno makali makali km aya dahhhhhhh
-m just tryng to make t balance for both of u mr 2 n clouds ...
-dah m real sor for kibonde....mr sugu dnt u thk u make him fil dwn?to lower his status que?conflict wth his family?watu wengine pia watamwonaje?apana bwana usingemchana vile kibonde wa watu siyo fresh ata km ni bifu mshkaji wangu daaaaaah si poa ungemwambia face to face bwana lakin c kumvua nguo adharan..........he z lyk yr broo ryt? ungempasulia kipemben pemben lakin what u did is against of human right ,immoral n even natural law cant accept such swanga .
ol in ol z u knws whats battle z ol abt
bt i can i advce u to make t low .just malizen mabifu yenu pemben pemben japo kusitiriana mjin apa
polen
ebu nisali mie shetan asije akawaingia mkaanza kuasakana na kupigana vikwenzi mtaani uko
salamu maria mara3
bab yetu mara 3
atukuzwe mara 3
malaika wa bwana mara 3
neema ya bwana iwaongoze ,busara zake ziwe nanyi katika kutatua matatizo yenu
nawapenda wote mr2 ,clouds na kibonde na nan sjui na kila mtu .
alutaaaaaaaaaaaa...................!!!!!!!!!!!!