Antivirus MixTape: Sugu awachana Clouds FM

Antivirus MixTape: Sugu awachana Clouds FM

Keshatangaza kuwa yeye ni Chadema vitisho havina nafasi tena. Let them be careful kwani wanaweza kujikuta wanalipa compesation kubwa kwa ajili ya ignorance yao ya kushabikia siasa kwa kila kitu.


Mkuu Mchukia Ufisadi unajua shida ni nini! Mixtape ilikuja mtaani kabla hawa jamaa hawajachukua kadi zao za Chadema.. sasa it's too late kusema kuwa waache wanachokifanya maana wananchi kibao wamekamata kopi zao za bure na wengine wanachkua online. Cha muhimu ni kwamba labda jamaa wakae chini wazungumze maana kama hii project inaenda mpaka Volume 10 inaweza ikaleta rabsha kubwa sana.
 
Nyani Ngabu..

What is an issue with this dude?
 
Mkuu Mchukia Ufisadi unajua shida ni nini! Mixtape ilikuja mtaani kabla hawa jamaa hawajachukua kadi zao za Chadema.. sasa it's too late kusema kuwa waache wanachokifanya maana wananchi kibao wamekamata kopi zao za bure na wengine wanachkua online. Cha muhimu ni kwamba labda jamaa wakae chini wazungumze maana kama hii project inaenda mpaka Volume 10 inaweza ikaleta rabsha kubwa sana.

Hakuna rabsha wala nini, Walioimbwa wamewasiliana na wapambe wao waliopewa dhamana ya nchi wakati wengine hata familia ziliwashinda kuziongoza na kwa kutumia nafasi hiyo wanazidi kulidhalilisha jeshi la polisi. Unajua zamani watu wengi tulikuwa hatujui haki zetu, yaani "Mtu akikamatwa na polisi anaanza kulia" na kuomba msamaha hata kama kosa halijui, Polisi wa CCM bado wanamtazamo huo wa kutisha wananchi wanashindwa kujua kuwa dunia ya sasa ni nyingine, kuwa askari polisi inamaana ni kujenga trust na public siyo uadui.
 
"...Alichosema ni "I wanna kill right now" kitu ambacho kinaweza kutafsiriwa a thousand and one ways, I wanna kill this track, I wanna kill mediocrity, I wanna kill my opponents lyrically etc etc. Hawa polisi akili mgando sana..."
Kiranga ndugu yangu - Polisi akili zao sio mgando kama unavyofikiria! Ila hazimo kabisa. Wanaamriwa nenda kushoto kulia chuchumaa, galagala wanafanya yote hayo...lakini wanajua wanachofanya!

Hawa ni wasomi na wengi wanaoweza kutuma wamehitimu chuo kikuu wana digrii ya sheria moja au mbili la sivyo wana ile diploma yao ya sheria. NI AKILI CCM, na labda hiyo tuiite AKILI MGando...Lakini amini usiamini TUTAFIKA, LET US PLAY OUR PART!
 
Wamesaidia kwa namna nyingine kuitangaza anti virus, hata ambao walikuwa hawajaisikia sasa wataitafuta waisikilize sugu kaimba nini?
 
Kajitakia mwenyewe...nani alimwambie aimbe matusi kwenye nyimbo...all that long alikuwa akiimba vitu vya busara...hakuwa na njia mbadala ya kuimba machungu yake mpaka atangaze privacy za watu..?Koleo liitwe kolea...kama alikuwa na uchungu...angeiga mfano wa bondeni wenzeti wametoka mbali ukingalia nyimbo zao zote za kudai haki...either uhuru au hata kama ni mslahi watumia tungo ambazo zifikisha ujumbesi kwa matusi.That mix tape ilionyesha some low esteem ya mr.II kama anavyo jiita...sikuipenda binafsi haya ni mawazo yangu binafsi...kutukana kwa namna ile mhh.First kama kaibiwa au kadhulumiwa...kutukana ndio pesa zitarudi?Noo...huyu bwana kama wamemkamata kwa ajiri ya kusambaza nyimbo za matusi kwenye jamii kinyume na maadili...mwanye akanyee ndoo kwanza..atapata akili...
 
hizo mixtape mbona hatuzioni huku uswahilini kwetu? ni sampling method gani inayotumika kuzisambaza?
 
Eeeh sawasawa bongo tambarare instead i wanna kill you please put i wanna love you.............
Pole sana sugu
 
Sugu killed them with his lines on that song.ha ha ha ndio maana polisi wakaambiwa ni maneno ya kisanii na nadhani sugu aende na mtaalam wa lugha hili wapewa tafsiri nzima ya sanaa ya mziki.Sugu anataka kuwaua kwa kutumia nyimbo sio risasi au kisu lol,polisi wetu wanapenda sana kujidhalilisha sijui kwanini.
 
Anything bad with this 'I wanna kill you"?
Nope... at least you know the intention!! tena afadhali huyu kuliko akina siye tunaojifanya safi wakati tunasambaza virusi na kujifanya wazalendo na mabingwa wa kuchambua wenzetu
 
Kiongozi, ninachojaribu ku-reason hapa ni kwamba huwezi kumtia mtu hatiani mhalifu kwa wewe mwenyewe kutenda uhalifu in the process...ndio maana hata polisi hawawezi kutumia kidhibiti walichokipata kwa njia zisizo halali dhidi ya mtuhumiwa...mahakama inaeza kugeuza kibao na inayo haki ya kufanya hivyo.

Huu ni ushauri wa bure tu, sio kumlazimisha mtu aone kile nikionacho.

Abdulhalim, take this as light touch. In your avatar, there are two caricatures, this one, having realized the other caricature is the culprit who stole his hut and swallowed it into his belly, he rips out his belly and takes back his property...

There will be blood, and blood it is...
 
Abdulhalim, take this as light touch. In your avatar, there are two caricatures, this one, having realized the other caricature is the culprit who stole his hut and swallowed it into his belly, he rips out his belly and takes back his property...

There will be blood, and blood it is...

Bwe he he he..

Peace wajameni, sisi sote ni vijana...tena waTz. Tuache hiyo miugomvi. Tudai haki kwa njia ya amani na kufuata sheria. Kama Dr. King au Mandela wangetumia jazba wangeachieve kitu chochote? Au nipe mfano wa mtu aliyefanikiwa kupata haki yake kwa njia ya vurugu au nje ya utaratibu wa kueleweka.
 
Angewafyatua Kusaga na Januari Makamba (or better still, JK mwenyewe) siyo foot soldiers kina Kibonde na Ruge. Hapo ndiyo ningeona jamaa kweli starring..
 
Kama ukisikiza ile tape iliowekwa hapa JF, there is enough damage ambaye unaeza kumpeleka Sugu kortini.
 
Msanii wa muziki wa Hip Hop nchini, Mr. II au Sugu kama anavyojulikana na wengi, ameeleza sababu za kukamatwa kwake leo na jeshi la Polisi nchini.

j934ug.jpg


Akielezea sakata hilo, Mr II amesema kuwa alikatwa kuhusiana na mstari mmoja uliyomo kwenye wimbo wake ambao unapatikana kwenye albamu ya Anti Virus ambayo hivi sasa inasambazwa bure mtaani kwa mashabiki wa muziki huo. Katika wimbo huo, Mr. II amedaiwa kutishia kuua pale anaposema I wanna kill you, jambo ambalo amesema limemshangaza kwa sababu maneno yaliyotumika katika wimbo huo ni ya kisanii zaidi na yanaweza kuwa na maana zaidi ya moja. Mr II, ambaye amedai kukamatwa na kuhojiwa na maofisa wa Polisi kutoka Makao makuu ya jeshi hilo kwa saa kadhaa na kisha kuachiwa kwa dhamana ya kujidhamini mwenywe, ametakiwa kuripoti tena kesho kutwa kituoni hapo.

Mr. II, pamoja na wasanii wengine wa Hip Hop nchini, wamerekodi nyimbo kadhaa za hip Hop na kuweka kwenye albamu moja ambayo wameiita Anti Virus, wakielezea hisia zao mbalimbali za kimaisha na kadhia la muziki wa Bongo. Awali, msanii mwingine wa Hip Hop, Dudubaya, naye alirekodi albamu yenye nyimbo kama hizo na kuiita NGURUWE.

Tukio la kukamtwa kwa Mr. II, limekuja siku tatu tu baada ya kutangaza kujiunga na chama cha siasa (CHADEMA) Ijumaa iliyopita na leo alitarajiwa kutangaza nia ya kugombea Ubunge kwa tiketi ya chama hicho mkoani Mbeya.

Hata Notorious na 2Pac used the same artistic words and in the end all of us know what happenned!!! So such words can never be taken simple like that.

Maneno huumba to me if u tell me " You wanna kill me" i will never be in peace with you cos i know that what is in your sub conscious mind and if you get the chance you will definetely do it!
 
saluuuuut!!!!!!!!!
aluutaaaaaaaa.......continua...........!!
baba mmh umenena tena wima!!!!!...lakin mpenzi wangu daahhhh umewachana sana....
m afraid ma braaza do u have evdnce of what ur saying?
-km ni hasira tu za kibifu ndo ukaamua kuwachana kiivi bwana siyo fresh
-y didnt u use some dplomat means to solv t?
-yap ata mi naskia clouds wana madudu sjui thy nt fea ....bt ma broo walikupa promo kipind flan walikuwa wanapiga nyimbo ako km ni bifu la maralia au namna gan vip ni kias cha kuwaambia na kuzungumza cz u mr mr 2 ur like model to many young artist so z beta to show up wth gud mana n ol staffs in gud colour bt kuwaka ivi tena maneno makali makali km aya dahhhhhhh
-m just tryng to make t balance for both of u mr 2 n clouds ...
-dah m real sor for kibonde....mr sugu dnt u thk u make him fil dwn?to lower his status que?conflict wth his family?watu wengine pia watamwonaje?apana bwana usingemchana vile kibonde wa watu siyo fresh ata km ni bifu mshkaji wangu daaaaaah si poa ungemwambia face to face bwana lakin c kumvua nguo adharan..........he z lyk yr broo ryt? ungempasulia kipemben pemben lakin what u did is against of human right ,immoral n even natural law cant accept such swanga .

ol in ol z u knws whats battle z ol abt
bt i can i advce u to make t low .just malizen mabifu yenu pemben pemben japo kusitiriana mjin apa
polen
ebu nisali mie shetan asije akawaingia mkaanza kuasakana na kupigana vikwenzi mtaani uko
salamu maria mara3
bab yetu mara 3
atukuzwe mara 3
malaika wa bwana mara 3
neema ya bwana iwaongoze ,busara zake ziwe nanyi katika kutatua matatizo yenu
nawapenda wote mr2 ,clouds na kibonde na nan sjui na kila mtu .
alutaaaaaaaaaaaa...................!!!!!!!!!!!!



mimi hawa ningewatetea ..clouds na kibonde wao....lakini mbona wao walikosa busara na kushindwa kuwatetea wafanyakazi wa umma au basi wakae kimya kama redio nyingine!!!....hata tbc ..hawakuponda wafanyakazi kama clouds...........waliotumia lugha chafu kwa wafanyakazi mwezi mzima na viongozi wao kina mgaya wakawadhalilisha...yote hii kwa kulipwa pesa na task force ya ikulu ya kuzuia mgomo wa wafanyakazi!!!!........
 
Back
Top Bottom