Antivirus MixTape: Sugu awachana Clouds FM

Antivirus MixTape: Sugu awachana Clouds FM



CAP. 16 of Laws, 89 (2) (a)

Any person who:

with intent to intimidate or annoy any person, threatens to injure, assault, shoot at or kill any person

is guilty of an offense and is liable to imprisonment for one year.

Hiyo intention wanaweza kuiprove? Halafu kaandika na kuimba wimbo tu?
 
Mix tape ipo kwenye ile makala ya Mr Sugu awalipua Clouds....... Itafute utaipata humu ndani JF.
 
Hiki ni kipande cha mashairi ya "Koolio" - Gangsta's Paradise :

"Power and the money, money and the power
Minute after minute, hour after hour
Everybody's runnin, but half of them ain't lookin
What's goin on in the kitchen, but I dont know what's cookin
They say I got ta learn, but nobody's here to teach me,
If they cant understand it, how can they reach me?
I guess they can't; I guess they won't I guess they front; that's why I know my life is outta luck, fool!

"
 
Jamani kitambo, sikua hewani humu jamvini, nimekuta huu mjadala ukiwa moto sana, jamani mwenye link ya hii track anibandikie nisikilize anavyowachana wale vilaza wa Mawingu na baba yao Ruge.
 
Polisi wanajidhalilisha wenyewe, kisanii neno 'kill' linaweza kuwa na maana nyingi sana mfano nikiimba "mchaka mchaka 'chinja', akikatiza mbele 'chinja' '', neno 'chinja' limetumika hapa kusisimua watumiaji tu na si kweli kuwa mtu yeyote atakeyejitokeza mbele atachinjwa.

Nasema wanajidhalilisha kwa maana kuwa hata kama watakuwa wanafanya hivyo kuwafurahisha baadhi ya wanasiasa lakini in a long run kwenye macho ya jamii polisi ndiyo itaonekana kutumika vibaya na si wanasiasa waliojificha.
 
hawa clouds media group yaonekana wana nguvu sana sasa kwenye system ya utawala wa nchi yetuu!!!

wimbo wa sugu waonekana ni mwiba kwa watangazajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na viongozii wa cem
 
Polisi wanajidhalilisha wenyewe, kisanii neno 'kill' linaweza kuwa na maana nyingi sana mfano nikiimba "mchaka mchaka 'chinja', akikatiza mbele 'chinja' '', neno 'chinja' limetumika hapa kusisimua watumiaji tu na si kweli kuwa mtu yeyote atakeyejitokeza mbele atachinjwa.

Nasema wanajidhalilisha kwa maana kuwa hata kama watakuwa wanafanya hivyo kuwafurahisha baadhi ya wanasiasa lakini in a long run kwenye macho ya jamii polisi ndiyo itaonekana kutumika vibaya na si wanasiasa waliojificha.
Luteni Polisi hawa waliochini ya Kova, yaani akili zao zimeneta kwenye viambaza za selo pale central.
 
Shame on Police Force! wanawezaje kujidhalilisha kwa kiwango cha chini kiasi hiki? ni nyimbo ngsapi zimeimbwa na wasanii wa bongo flava zenye maneno ya kichochezi (kama alichosema sugu ni uchochezi) na hawajawahi kuhojiwa? Huu ushabiki wa kisiasa na njaa kwa polisi wetu unazidi kuuwa demokrasia nchini! Ki ukweli kwa mtindo huu SIONI UCHAGUZI HURU NA HAKI OCTOBER 31!
 
Kusema watu fulani ni mabwabwa au/na wanaeneza ngoma? Hata kama ni fact, it is enough to send him to hell.
Hakuna kitu chochote kitakachotokea, mara ngapi wasanii wanatumia maneno hayo ya fulani anaeneza ngoma, sema hii imekuja kisiasa zaidi na itakwisha kisiasa, na kadri polisi wanavyozidi kulivalia njuga ndivyo siasa inavyozidi kupamba moto, ona sasa nasikia anataka kugombea ubunge, ndiyo maana nasema haya ni ya kisiasa zaidi ya taaluma za kisheria.
 
Holaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Obuntu I feel yoooooooooooooo!

I wanna kill Right NOW!
 
Back
Top Bottom