Antonio Conte, kocha mzuri anayeenda chelsea kudhalilika kwa tamaa ya pesa

Antonio Conte, kocha mzuri anayeenda chelsea kudhalilika kwa tamaa ya pesa

Huu ndio ukweli wenyewe , hakuna kocha aliyejenga heshima yake akiwa chelsea kama jose morinyo , lakini kila mwenye macho ameona jinsi alivyotupiwa vilago vyake kwenye mfuko wa rambo ,

Abramovic ambaye ndiye mmiliki wa chelsea hajui lolote kuhusu soka , hana uvumilivu na ni mtu anayetaka mafanikio kwa kasi ya radi , haiwezekani !

katika jambo lolote analolifanya mtu ili afanikiwe anahitaji consistency , haijawahi kuwa rahisi kupata mafanikio , conte hatatwaa ubingwa na anaweza asiwemo kwenye top 4 kwa msimu wake wa kwanza na baada ya hapo atadhalilika kwa kutimuliwa .

Kwahiyo ulitaka hadi Morinyo atushushe daraja ndo ufurahi? Hukuona mwenendo wake ulivyokua mbovu mwishoni!?
 
Huu ndio ukweli wenyewe , hakuna kocha aliyejenga heshima yake akiwa chelsea kama jose morinyo , lakini kila mwenye macho ameona jinsi alivyotupiwa vilago vyake kwenye mfuko wa rambo ,

Abramovic ambaye ndiye mmiliki wa chelsea hajui lolote kuhusu soka , hana uvumilivu na ni mtu anayetaka mafanikio kwa kasi ya radi , haiwezekani !

katika jambo lolote analolifanya mtu ili afanikiwe anahitaji consistency , haijawahi kuwa rahisi kupata mafanikio , conte hatatwaa ubingwa na anaweza asiwemo kwenye top 4 kwa msimu wake wa kwanza na baada ya hapo atadhalilika kwa kutimuliwa .
Hii kitu kibongo bongo inaitwa ramli chonganishi!!
 
[emoji170] Habari Tanzania
[emoji843]Napenda kuitambulisha kwenu page mpya ya washabiki wa chelsea Tanzania.
[emoji843]Page itakua na habari zote muhimu kwa ajili yako mnazi wa chelsea
[emoji843]Mawazo yenu ni muhimu kama ilivo support yenu
[emoji843][emoji91]tegemea surprise na event nyingi msimu wa 2017/2018
[emoji843]naomba mnisaidie kushare ujumbe huu kwa wote
Inapatikana
[emoji117] chelseafc.tanzania
[emoji117] Instagram
[emoji778] welcome all [emoji778]
 
Huu ndio ukweli wenyewe , hakuna kocha aliyejenga heshima yake akiwa chelsea kama jose morinyo , lakini kila mwenye macho ameona jinsi alivyotupiwa vilago vyake kwenye mfuko wa rambo ,

Abramovic ambaye ndiye mmiliki wa chelsea hajui lolote kuhusu soka , hana uvumilivu na ni mtu anayetaka mafanikio kwa kasi ya radi , haiwezekani !

katika jambo lolote analolifanya mtu ili afanikiwe anahitaji consistency , haijawahi kuwa rahisi kupata mafanikio , conte hatatwaa ubingwa na anaweza asiwemo kwenye top 4 kwa msimu wake wa kwanza na baada ya hapo atadhalilika kwa kutimuliwa .
Craap
 
Mimi nasubiria Conte aje kupaki basi EPL, ila akija na formation yake ya 3-5-2 ataumbuka mapema sana.
Kuna mabadiriko yoyote kwenye hii hoja yako ya mwaka 2016, au bado unabaki na msimamo wako uleule?
 
Unabii ni lazima utimie , ila unaweza kuchelewa tu, nani alijua kama Ranieri angetimuliwa vile ?
Utatimia mwaka gani?, mi nilijua mwisho wa msimu wa 2016-2017 ndio atatumuliwa, kumbe bado
 
Unayakumbuka ya Ranieri Leicester city ?

Sasa huo sio utabiri tena, Mou alichukua kombe na next season akaondoka, Di Mateo alichukua UEFA na next season akaondoka, Anchellot alichukua kombe na next season akaondoka
 
Back
Top Bottom