Antonio Conte Ligi ya Uingereza ni Tofauti na Ile ya Italia Baba.

Unamjua bingwa wa EPL? Tuanze hapo kwanza....!
 
sawa sawa mchambuzi makini wa Epl

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyinyi amna lolote,hata msimu uliopita baada ya kumsajili Pogba mkatangaza na ubingwa kabisa,lakini aibu ikawapata.
Msimu huu mmemsajili Matic basi mnaona mmemaliza.Subirini tu Conte atawashangaza tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…