Antony Joshua Vs Andy Ruiz 2, tukutane hapa kwa updates

Antony Joshua Vs Andy Ruiz 2, tukutane hapa kwa updates

Yamebaki masaa machache tushuhudie lile pambano litakalosimamisha dunia kwa dakika kadhaa lililopewa jina CLASH ON THE DUNES ambapo litafanyika Saudi Arabia.

Pambano hili limekuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa ndondi duniani, hii ni baada ya AJ aliyekuwa bingwa na kipenzi cha watu kupigwa pambano la kwanza lililofanyika June 1 kitu ambacho wengi hawakuwaza, na pambano hilo kuwekwa katika kumbukumbu ya one of the biggest boxing upsets of all time. Je AJ ataweza kurejesha mikanda yake aliyopoteza? Tusubiri Jmosi.

Kwa sisi wageni inakuwaje kwani AJ ni mtanzania sio au wote na luiz ni watanzania naomba kujua maana mimi sio mfuatiliaji sana wa hizi mambo
 
mimi natamani AJ ashinde kwa asilimia 100%
Ili sisi machotara tuheshimike katika aridhi hii maana wadhungu wanatuona sisi vipanya buku hahahhahahaha ni mtazamo wangu tu kwahiyo dondosha na wewe maoni yako 😀😀😀😀😀😀

Tuone nani anapigika hadi uvunguni alaaaaaaa😂😂😂😂😂😉
 
hapo usindani ni mkubwa mi Napenda AJ ASHINDE KWA ASILIMIA 100%ILI SISI MACHOTARA TUHESHIMIKE KATIKA ARIDHI HII MAANA WADHUNGU WANATUONA SISI VIPANYA BUKU HAHAHHAHAHAHA NI MTAZAMO WANGU TU KWAHIYO DONDOSHA NA WEWE MAONI YAKO
Chibo kapewa dau la us17mill ila chotara analipwa us 85 million ambapo kwa Chibo awali alikua analipwa 7mill dollar sasa tusubili michapo ulingoni tu saa moja jion tukutane azam tv
 
Yamebaki masaa machache tushuhudie lile pambano litakalosimamisha dunia kwa dakika kadhaa lililopewa jina CLASH ON THE DUNES ambapo litafanyika Saudi Arabia.

Pambano hili limekuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa ndondi duniani, hii ni baada ya AJ aliyekuwa bingwa na kipenzi cha watu kupigwa pambano la kwanza lililofanyika June 1 kitu ambacho wengi hawakuwaza, na pambano hilo kuwekwa katika kumbukumbu ya one of the biggest boxing upsets of all time. Je AJ ataweza kurejesha mikanda yake aliyopoteza? Tusubiri Jmosi.

AJ analambishwa SAKAFU tena #TIPWA_TIPWA_TETEMA.
 
hapo usindani ni mkubwa mi Napenda AJ ASHINDE KWA ASILIMIA 100%ILI SISI MACHOTARA TUHESHIMIKE KATIKA ARIDHI HII MAANA WADHUNGU WANATUONA SISI VIPANYA BUKU HAHAHHAHAHAHA NI MTAZAMO WANGU TU KWAHIYO DONDOSHA NA WEWE MAONI YAKO
Chibo kapewa dau la us17mill ila chotara analipwa us 85 million ambapo kwa Chibo awali alikua analipwa 7mill dollar sasa tusubili michapo ulingoni tu saa moja jion tukutane azam tv
Mh say moja jioni ya leo jumamosi?
 
Mimi nataka apigwe ili sisi wenye vitambi tuendelee kuwa na heshima huku mtaani,maana tumedharaulika sana.....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kikubwa wepesi
 
Matokeo ya jana ya vipimo vya uzito yalionyesha Ruiz kuongezeka kwa zaidi ya kilo 5 kutoka pambano lililopita, huku AJ akipungua kwa kilo 5, je hii inaweza kuwa na advantage kwa AJ kupata ushindi?
Screenshot_20191206-173806_1575643119919.jpeg
 
Hii ndo comment yako halafu unaniambia unajua ngumi kwahiyo mimi niliandika utumbo?

Anyway, Ruiz ana ngumi nzito kumzidi AJ, AJ ana weak chin na pumzi hana.

Pambano la AJ na Klitschiko lilithibitisha juu ya chin na pumzi ya AJ. Kama atafanyia kazi pumzi kisha akaachana na 'Attack the trunk and the tree will fall' atashinda.

Hii ni unaambiwa 'Don't get crazy and we are home' so AJ kazi ni kwake.

Ruiz mwili wake unamsaidia kuabsorb body shots, ana ngumi nzito na anaweza kuvumilia offensive shots. Kibiashara hana cha kupoteza, kihadhi hana cha kupoteza pia as huyu mtu alichukuliwa ni journeyman na stepping stone kwa AJ (Nafikiri ni sababu pia akataka pesa ndefu kurudiana as he knew after this he is done)

Ruiz akiingia akawa karelax, toying, showboating na kumvuta AJ mpaka raundi ya tano naona akishinda. Unless awe kalipwa more than what we see on paper.

Sitarajii action packed fight as kila mtu atakua busy kumvizia mwenzie ateleze.
Umeongea kama Ustadh Yaaani Abdallah ...aisee hivyo vi-terminology vya masumbwi nmekupa big up ....I salute .
 
Back
Top Bottom