Antony Komu na Said Kubenea waivua nguo CHADEMA

Antony Komu na Said Kubenea waivua nguo CHADEMA

Wabunge wanamageuzi wa siku nyingi nchini wamegoma kuhama CHADEMA sasa wameamua kushughulika na Mbowe na vijana wake. Nasikia harufu ya Damu ndani ya CHADEMA

Sikiliza sauti ya Mbunge Komu na Kubenea wakijadili.

Wapenda mabadiliko wote wanapaswa kuwaunga mkono wabunge hawa. Nyumbu wataaminishwa kuwa hawa ni mamluki

https://www.instagram.com/p/Bo5tHi-HJ7s/
Mkuu naona ule unga wa ndele wamekuzdishia.
 
Mbowe HAJIUZULU pilipili usizokula zinakuwashia nini? Kama unaua CHADEMA ni furaha kwetu CCM kwani hatujui atawekwa nani baada yake .Najua bila MBOWE upinzani TZ utakufa. Mbowe piga kazi ya Upinzani nchi isonge mbele.
 
Mbowe kiongozi bora shida anunuliki hiyo tabu ya ccm
Anunulike Mara ya ngapi tena ?
Wakati aliuza Chama 2015 na hela akatia mfukoni kwa ajili ya kwenda kula bata Dubai na vimwana.
Watu wenye malyenge wanapenda sana wadada na wanakua tayari kuhonga hata ubunge.

Mbowe ni Adui mkubwa wa Demokrasia, usalama na umoja wa nchi yetu.
Mbowe Anatakiwa afukuzwe sio tu ndani ya chama bali ndani ya nchi hii akaishi huko Kongo kwa wapaka rangi za ndevu wenzake ,aanzishe bendi yake ya Muziki azungukwe na vimwana warembo.
Hakuna kumwonea Mbowe huruma , TAKUKURU wachunguze matumizi ya pesa za ruzuku na ikibainuka pesa zimetumika ovyo basi Mbowe afukuzwe kama Mbwa koko.
Tunaipenda nchi yetu na vyama vya siasa vyote viwepo Lakini hatuko tayari kumuunga mkono Mbowe anayeharibu maana na mfumo wa siasa za upinzani kwa sababu ya uroho wake wa madaraka na ubinafsi wake na ukabila wake unaowachafua Watu wa Kaskazini wote kuonekana ni wajinga wanaooburuzwa na mtu mwenye elimu ndogo
 
Aya maccm bn yakilala yakiamka ni mbowe tu badilishen mbinu bc ya kumpata hii ya kumsema naona imeshindikana sasa tumieni hata bom bc
 
Screenshot_20181014-140654_Video%20Player.jpeg


Note: The audio is not independently verified.
 
Ingawa hizo sura ni za Kubenea na Komu, sauti ni feki, maigizo
 
Ajiuzulu ili kife kabisa maana huyu ndio kizuizi chetu
Bora wewe umesema ukweli kutoka moyo, inatakiwa CDM ife kabisa ili CCM ile keki ya taifa bila bugdha yeyote, yaani ni mwendo wa kuwanyonya watanzania mpaka wanyonyoke.
 
Ajiuzulu ili kife kabisa maana huyu ndio kizuizi chetu
Bora wewe umesema ukweli kutoka moyo, inatakiwa CDM ife kabisa ili CCM ile keki ya taifa bila bugdha yeyote, yaani ni mwendo wa kuwanyonya watanzania mpaka wanyonyoke.
 
Hiyo audio ukiisikiliza vizuri, ni kwamba huyo anayeongea alikuwa amepiga vyombo...
Na kama inavyojulikana, mlevi hafichi ukweli!!
Basi hawa ni dhahiri ni wasaliti hawafai kuachwa...
 
Hivi hii nchi haina vyama vingine, kila siku chadema chadema, heeh acheni umbea
 
Mbowe amekosa hekima kabisa.
Kwa muda aliokaa Madarakani hakustahili hata kusubiri wabunge waishe kwa kuhama ili aje kumwachia Mwingine Chama kisicho na Ruzuku. Aachie wengine wenye moyo wa kujenga chama kizalendo bila mambo ya biashara binafsi ndani ya Chama kikiwa bado na ruzuku ili wenye akili wakijenge kwa mtaji huo huo anaouita mdogo.

Mbowe ni Mbunge na msemaji wa kambi rasmi ya upinzani bungeni lakini bado tu anakwapua Ruzuku mana Familia inamlaumu kwa kufanya biashara kupitia chama bila utaratibu wa kibiashara.

Je,Ile kesi ya Mbowe kusababisha mauaji ya Akwilina bado ipo?
Je, haingekua vizuri zaidi ikamuangukia yeye mwenyewe mana yeye ndiye aliyekua na mamlaka ya kuwaamuru walioko chini yake na wafuasi wake wasiandamane na wangetii. Pia alikua na uwezo wa kwenda mwenyewe au kumtuma mtu mana yeye ndiye bosi,?

Je, haiwezekani wote wakamuangushia Mzigo wote Mbowe mana huenda alikua anajua kuwa mpango wake wa kumwaga damu ilikua umekamilika ilihali wenzake hawakujua??

Mbowe ni adui namba moja wa Demokrasia Tanzania na dunia nzima kwa ujumla.
Mbowe ni gaidi kama magaidi wengine waliowahi kutokea duniani walioasi serikali zao.
 
Mbowe amekosa hekima kabisa.
Kwa muda aliokaa Madarakani hakustahili hata kusubiri wabunge waishe kwa kuhama ili aje kumwachia Mwingine Chama kisicho na Ruzuku. Aachie wengine wenye moyo wa kujenga chama kizalendo bila mambo ya biashara binafsi ndani ya Chama kikiwa bado na ruzuku ili wenye akili wakijenge kwa mtaji huo huo anaouita mdogo.

Mbowe ni Mbunge na msemaji wa kambi rasmi ya upinzani bungeni lakini bado tu anakwapua Ruzuku mana Familia inamlaumu kwa kufanya biashara kupitia chama bila utaratibu wa kibiashara.

Je,Ile kesi ya Mbowe kusababisha mauaji ya Akwilina bado ipo?
Je, haingekua vizuri zaidi ikamuangukia yeye mwenyewe mana yeye ndiye aliyekua na mamlaka ya kuwaamuru walioko chini yake na wafuasi wake wasiandamane na wangetii. Pia alikua na uwezo wa kwenda mwenyewe au kumtuma mtu mana yeye ndiye bosi,?

Je, haiwezekani wote wakamuangushia Mzigo wote Mbowe mana huenda alikua anajua kuwa mpango wake wa kumwaga damu ilikua umekamilika ilihali wenzake hawakujua??

Mbowe ni adui namba moja wa Demokrasia Tanzania na dunia nzima kwa ujumla.
Mbowe ni gaidi kama magaidi wengine waliowahi kutokea duniani walioasi serikali zao.
Ccm mnatumia nguvu kubwa kwa Mbowe kuliko kuwashawishi wale wanaomuamini wabadilishe fikra zao ili abaki mpweke.
 
Foolis
Mbowe amekosa hekima kabisa.
Kwa muda aliokaa Madarakani hakustahili hata kusubiri wabunge waishe kwa kuhama ili aje kumwachia Mwingine Chama kisicho na Ruzuku. Aachie wengine wenye moyo wa kujenga chama kizalendo bila mambo ya biashara binafsi ndani ya Chama kikiwa bado na ruzuku ili wenye akili wakijenge kwa mtaji huo huo anaouita mdogo.

Mbowe ni Mbunge na msemaji wa kambi rasmi ya upinzani bungeni lakini bado tu anakwapua Ruzuku mana Familia inamlaumu kwa kufanya biashara kupitia chama bila utaratibu wa kibiashara.

Je,Ile kesi ya Mbowe kusababisha mauaji ya Akwilina bado ipo?
Je, haingekua vizuri zaidi ikamuangukia yeye mwenyewe mana yeye ndiye aliyekua na mamlaka ya kuwaamuru walioko chini yake na wafuasi wake wasiandamane na wangetii. Pia alikua na uwezo wa kwenda mwenyewe au kumtuma mtu mana yeye ndiye bosi,?

Je, haiwezekani wote wakamuangushia Mzigo wote Mbowe mana huenda alikua anajua kuwa mpango wake wa kumwaga damu ilikua umekamilika ilihali wenzake hawakujua??

Mbowe ni adui namba moja wa Demokrasia Tanzania na dunia nzima kwa ujumla.
Mbowe ni gaidi kama magaidi wengine waliowahi kutokea duniani walioasi serikali zao.
foolish fool
 
Back
Top Bottom