Antony Komu na Said Kubenea waivua nguo CHADEMA

Antony Komu na Said Kubenea waivua nguo CHADEMA

anakoelekea ndo huko huko tunakokutaka, kama hutaki unga juhudi, na mtakufa nakihoro uchaguzi umekaribia na mbowe hata kwa kumchukulia fomu lazima awe mwenyekiti
Mtaharibu sana juhudi za watanzania wengi za Kupigania Demokrasia.
Kama munampigania Dikteta asiye na nguvu yoyote zaidi ya hivyo vinafasi vichache anavuofanya uteuzi ndani ya Chama itakuaje Hicho chama kikishika Dola?

Mnaonaje CCM nao wakiandamana kuda kuwa Mwenyekiti wao aendelee miaka 40 mana yeye ni kiboko ya wapinzani!?

Jengeni mifumo sio kujenga mtu.
Manaabisha sana kwa kweli !!
Yani tangu mbowe alipobadili katiba ili awe kiongozi wa kudumu ndani ya Chama niliidharau sana Chadema na niliona anguko lake.
Mbowe alibadili Chama na hakujaua kuwa kuna wakati mgumu ungekuja mbele yake alifurahia chama na kutanua wakati wa JK ndio maana akalewa madaraka na kutamani kufia Kwenye Chama. Alikua akiwatisha na kuwadhalilisha kingono wanawake kwa sababu ya nafasi za ubunge lakini sasa awamu hii ni ya kusafisha dhulma pande zote.
Waliozoea dhulma waacheni watoke waje watu safi. Kinachotokea kwa Mbowe ni dhulma na madhambi aliyofanya wakati wa A 4 .

Itendeeni haki Demokrasia Kwenye nchi hii . Acheni ubinafsi muokoe Vizazi vijavyo , Chadema ni zaidi ya Mbowe. Kuna watu huko Mbeya,Iringa , Mpanda , Musoma , Kigoma Kagera ,Mwanza n.k walivuta mamilioni ya wanachama na mashabiki wa Chadema kwa kupitia kwenye mapito magumu ambapo wakati huo Mbowe alikua anakula bata tu huko Kwenye makasino Dubai. Kumuabudu Mbowe ni laana kubwa kwa chama na Taifa la Tanzania! Hizo formu chukueni mumpelekee Lisu awe mwenyekiti huko huko aliko. Mana kuna wenyeviti waliwahi kuishi uhamishoni na hata kuishi gerezani lakini nia thabiti ya mioyo yao ndiyo iliyokuwa inatumiwa na Mwenyezi Mungu kujenga spirit ya mabadiliko na kuwavuta watu kwa mamilioni.
Mbowe kuna roho ya kitapeli iliyoko ndani yake ,hivyo Mungu kamwe hawezi kuleta ukombozi kupitia matapeli na waongo. Kama mnabisha mtaona kitakachotokea siku Mbowe akitumia watu wake aliowapandikiza muda mrefu ili wamuone kama Mungu mtu asiyestahili kupingwa ndani ya chama na asiyeshindwa. Hakika wataondoka robo tatu ya viongozi wenzake hasa wale wa mikoa mingine na wilaya nyingine mbali na Hai.
 
Hapana ! Ni mbaya sana kwa nchi na upinzani....sijui kwa nini mh. Mbowe anajifanya kutoona athari ya kung'ang'ania madaraka....
Huamini anawasaidia kuua upinzani ili nchi iondokane na hasara za uchaguzi wa kila wiki?
 
Hiyo audio ukiisikiliza vizuri, ni kwamba huyo anayeongea alikuwa amepiga vyombo...
Na kama inavyojulikana, mlevi hafichi ukweli!!
Basi hawa ni dhahiri ni wasaliti hawafai kuachwa...
Wanamabadiliko na wanamageuzi sio wasaliti
 
Hiyo audio imekuwa edited na sio realistic kama mnavyoaminisha watu.
 
Kwa hiyo wewe nimsemaji wa CDM au umbeya wa kiume kike?
 
Sauti hizi 'zinatajwa' kuwa ni za Anthony Komu na Saed Kubenea, kwa mujibu wa sauti hizi wanapanga kumdhuru Meya Boniphace Jacob ambaye ni mtu wa karibu wa Mbowe, kwa mujibu wa hizi sauti ni kwamba lengo la kutaka kufanya hivyo ni kumdhoofisha mwenyekiti wa sasa wa Chadema yaani Mbowe.

Baada ya kusikiliza hayo mazungumzo, weka mambo yafuatayo akilini kabla ya kukoment

i) Uchaguzi wa viongozi ktk nyadhifa mbalimbali za uongozi ikiwemo uenyekiti unakaribia kufanyika ndani ya Chadema, na Anthony Komu ni miongoni mwa wanatarajiwa kugombea uenyekiti kumng'oa Mbowe, kwahiyo hizi sauti zinaweza kuwa kweli wanapanga kumdhuru meya Jacob au Mbowe ametumia mbinu zake kuhakikisha kuwa Anthony Komu anachafuka kama alivyowahi kufanya kwa Marehemu Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo, Samsoni Mwigamba nk

ii) Kama ni kweli Anthony Komu na Saed Kubenea wanapanga kumdhuru Meya Boniface Jacob, ni ushahidi wa wazi kuwa ndani ya Chadema kuna migogoro mikubwa sana ambayo hawaitafutii ufumbuzi na huenda ndiyo maana viongozi wake wanahama chama hovyo hovyo kwasababu hakuna kinachowaunganisha ndani ya chama.

iii) Hoja ya mwisho ni kwamba, je ni matukio mangapi ambayo viongozi wa Chadema wamekuwa wakihujumiana na kuumizana au kuuana ambayo hafuyajui??

iv) Kama ni kweli wana nia ya kumdhuru meya Jacob, wangefanikiwa kumdhuru unadhani wafuasi na viongozi wa Chadema wangesema nani anaudhuru upinzani?? Wangejitaja au wangesukuma hilo furushi kwa serikali ya Magufuli??

#Note Mwisho niseme sijawahi kuona upinzani wa kijinga kama huu unaofanywa na Chadema ktk nchi hii. Kabla sijamaliza, naomba kukujulisha kuwa ile post ya Malisa ya kulaumiana kuwa wanahujumiana ndani kwa ndani ameamuliwa kuifuta haraka iwezekanavyo, na ameifuta
 
Hapo hatuonani unapandwa na hasira na kutukana kwa sababu ya ujinga wa mwenyekiti Mbowe kushindwa kujenga chama kikawa na makada wenye uwezo wa kuongoza chama na hata nchi.

Chama ambacho huwezi kupanga watu saba wenye uwezo wa kushika nafasi ya Uenyekiti. Yani uenyekiti tu ambao hata kamati za harusi na kicheni party wanaye.
Sasa itakuwaje chama hicho kiwe na mtu anyeweza kuwa Rais na kuongoza dola lenye kusimamia rasilimali na hazina ya nchi?
Wewe kweli sio foolish kama mimi na huoni kuwa kuna tatizo kubwa la kiuongozi ndani ya chadema?
Wewe ni shabiki maandazi sio mzalendo wa nchi hii.
Wazalendo wa kweli hatuwezi kukaa kimya nchi ikatapeliwa na Genge la Dikteta Mbowe kwa maslahi yake.
Senseless
 
Sauti hizi 'zinatajwa' kuwa ni za Anthony Komu na Saed Kubenea, kwa mujibu wa sauti hizi wanapanga kumdhuru Meya Boniphace Jacob ambaye ni mtu wa karibu wa Mbowe, kwa mujibu wa hizi sauti ni kwamba lengo la kutaka kufanya hivyo ni kumdhoofisha mwenyekiti wa sasa wa Chadema yaani Mbowe.

Baada ya kusikiliza hayo mazungumzo, weka mambo yafuatayo akilini kabla ya kukoment

i) Uchaguzi wa viongozi ktk nyadhifa mbalimbali za uongozi ikiwemo uenyekiti unakaribia kufanyika ndani ya Chadema, na Anthony Komu ni miongoni mwa wanatarajiwa kugombea uenyekiti kumng'oa Mbowe, kwahiyo hizi sauti zinaweza kuwa kweli wanapanga kumdhuru meya Jacob au Mbowe ametumia mbinu zake kuhakikisha kuwa Anthony Komu anachafuka kama alivyowahi kufanya kwa Marehemu Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo, Samsoni Mwigamba nk

ii) Kama ni kweli Anthony Komu na Saed Kubenea wanapanga kumdhuru Meya Boniface Jacob, ni ushahidi wa wazi kuwa ndani ya Chadema kuna migogoro mikubwa sana ambayo hawaitafutii ufumbuzi na huenda ndiyo maana viongozi wake wanahama chama hovyo hovyo kwasababu hakuna kinachowaunganisha ndani ya chama.

iii) Hoja ya mwisho ni kwamba, je ni matukio mangapi ambayo viongozi wa Chadema wamekuwa wakihujumiana na kuumizana au kuuana ambayo hafuyajui??

iv) Kama ni kweli wana nia ya kumdhuru meya Jacob, wangefanikiwa kumdhuru unadhani wafuasi na viongozi wa Chadema wangesema nani anaudhuru upinzani?? Wangejitaja au wangesukuma hilo furushi kwa serikali ya Magufuli??

#Note Mwisho niseme sijawahi kuona upinzani wa kijinga kama huu unaofanywa na Chadema ktk nchi hii. Kabla sijamaliza, naomba kukujulisha kuwa ile post ya Malisa ya kulaumiana kuwa wanahujumiana ndani kwa ndani ameamuliwa kuifuta haraka iwezekanavyo, na ameifuta
Mpaka zimevuja hizo sauti kabla hawajamdhuru, ujue CHADEMA ni mpango wa Mungu. Ful stop
 
Hapo hatuonani unapandwa na hasira na kutukana kwa sababu ya ujinga wa mwenyekiti Mbowe kushindwa kujenga chama kikawa na makada wenye uwezo wa kuongoza chama na hata nchi.

Chama ambacho huwezi kupanga watu saba wenye uwezo wa kushika nafasi ya Uenyekiti. Yani uenyekiti tu ambao hata kamati za harusi na kicheni party wanaye.
Sasa itakuwaje chama hicho kiwe na mtu anyeweza kuwa Rais na kuongoza dola lenye kusimamia rasilimali na hazina ya nchi?
Wewe kweli sio foolish kama mimi na huoni kuwa kuna tatizo kubwa la kiuongozi ndani ya chadema?
Wewe ni shabiki maandazi sio mzalendo wa nchi hii.
Wazalendo wa kweli hatuwezi kukaa kimya nchi ikatapeliwa na Genge la Dikteta Mbowe kwa maslahi yake.
You are just struggling to win your foolishness.Insanity!!!
 
Wabunge wanamageuzi wa siku nyingi nchini wamegoma kuhama CHADEMA sasa wameamua kushughulika na Mbowe na vijana wake. Nasikia harufu ya Damu ndani ya CHADEMA

Sikiliza sauti ya Mbunge Komu na Kubenea wakijadili.

Wapenda mabadiliko wote wanapaswa kuwaunga mkono wabunge hawa. Wasiojielewa wataaminishwa kuwa hawa ni mamluki


Mkuu Usisahau kutuletea mrejesho wamefikia hatua gani.
 
Matukio yote ya kiharamia nchi hii hufanywa na chadema, ndo maana wanalaaniwa na kupata kilema cha maisha na bado maisha yatazidi kuwaadhibu hadi mje kutubu na kuwaomba radhi Watanzania, mazafanta!
 
Ipo hivi kuna mtu amerecord kwa maslahi ya chadema kugundua msaliti.Huyo ni Kubenea.Kubenea amcheza uitelejesia tu mbona
 
Back
Top Bottom