Antony Komu na Said Kubenea waivua nguo CHADEMA

Antony Komu na Said Kubenea waivua nguo CHADEMA

Wewe ni mjinga, mpotoshaji, mlamba nyayo na kila aina neno baya nakupa. Hakuna uasi. Hawa akina Komu wakati wa ule mkakati wa mabadiliko nao walituita waasi tuliokuwa tunaupanga leo nao wanaumizwa.

Mbowe ni kama jini. Likikosa damu linamla mfuga jini. Slaa yamemkuta na sasa akina Komu. Ila ninamuamini sana Komu ni strategist ukilinganisha na hawa wafitini akina Mrema, Regy, Lema n.k hata Bony mwenyewe ni mtu objective sometimes.

Kama una akili timamu unapaswa kuunga mabadiliko ya uongozi ndani ya CHADEMA. Wabunge wasiotaka Shari wanahamia CCM ila wataka Shari wameamua kukomaa tunapaswa kuwaunga mkono.

Nilishamshauri hata Rais awasaidie CHADEMA maana wenyewe hawamuwezi
Yaani Mtu wa CCM uipende CDM?
 
Mbowe amekosa hekima kabisa.
Kwa muda aliokaa Madarakani hakustahili hata kusubiri wabunge waishe kwa kuhama ili aje kumwachia Mwingine Chama kisicho na Ruzuku. Aachie wengine wenye moyo wa kujenga chama kizalendo bila mambo ya biashara binafsi ndani ya Chama kikiwa bado na ruzuku ili wenye akili wakijenge kwa mtaji huo huo anaouita mdogo.

Mbowe ni Mbunge na msemaji wa kambi rasmi ya upinzani bungeni lakini bado tu anakwapua Ruzuku mana Familia inamlaumu kwa kufanya biashara kupitia chama bila utaratibu wa kibiashara.

Je,Ile kesi ya Mbowe kusababisha mauaji ya Akwilina bado ipo?
Je, haingekua vizuri zaidi ikamuangukia yeye mwenyewe mana yeye ndiye aliyekua na mamlaka ya kuwaamuru walioko chini yake na wafuasi wake wasiandamane na wangetii. Pia alikua na uwezo wa kwenda mwenyewe au kumtuma mtu mana yeye ndiye bosi,?

Je, haiwezekani wote wakamuangushia Mzigo wote Mbowe mana huenda alikua anajua kuwa mpango wake wa kumwaga damu ilikua umekamilika ilihali wenzake hawakujua??

Mbowe ni adui namba moja wa Demokrasia Tanzania na dunia nzima kwa ujumla.
Mbowe ni gaidi kama magaidi wengine waliowahi kutokea duniani walioasi serikali zao.
mtawashwawashwa sana ....mae zenyu
 
Mbo
Mbowe amekosa hekima kabisa.
Kwa muda aliokaa Madarakani hakustahili hata kusubiri wabunge waishe kwa kuhama ili aje kumwachia Mwingine Chama kisicho na Ruzuku. Aachie wengine wenye moyo wa kujenga chama kizalendo bila mambo ya biashara binafsi ndani ya Chama kikiwa bado na ruzuku ili wenye akili wakijenge kwa mtaji huo huo anaouita mdogo.

Mbowe ni Mbunge na msemaji wa kambi rasmi ya upinzani bungeni lakini bado tu anakwapua Ruzuku mana Familia inamlaumu kwa kufanya biashara kupitia chama bila utaratibu wa kibiashara.

Je,Ile kesi ya Mbowe kusababisha mauaji ya Akwilina bado ipo?
Je, haingekua vizuri zaidi ikamuangukia yeye mwenyewe mana yeye ndiye aliyekua na mamlaka ya kuwaamuru walioko chini yake na wafuasi wake wasiandamane na wangetii. Pia alikua na uwezo wa kwenda mwenyewe au kumtuma mtu mana yeye ndiye bosi,?

Je, haiwezekani wote wakamuangushia Mzigo wote Mbowe mana huenda alikua anajua kuwa mpango wake wa kumwaga damu ilikua umekamilika ilihali wenzake hawakujua??

Mbowe ni adui namba moja wa Demokrasia Tanzania na dunia nzima kwa ujumla.
Mbowe ni gaidi kama magaidi wengine waliowahi kutokea duniani walioasi serikali zao.


Mbowe wa nn jmni mbona mnalazimisha ajiuzulu wanini kifupi huyu ni chama chetu na vyama vingine vinao wenzao
 
mtawashwawashwa sana ....mae zenyu
Na anavyowatuma mtukane kwenye mitandao ndio mnamuharibia sana.

Tutasambaratisha gaidi lenu na mtandao wake na Chama chake kilichojaa wezi na wahuni wanaotukana kwenye mitandao.
Subirini yajayo yatafurahisha .
Mtapata tabu sana!!!

Yani nchi ipate Rais kupitia chama kinachoongozwa na DJ Mbowe Dikteta ,mkwepa kodi na genge lake la watu wasioshaurika wanaotukana watu kwenye mitandao. Akitaka 2020 agombee peke yake kama atapata hata kura 2000, tena pakiwa na tume huru kabisa.
 
Foolis

foolish fool
Hapo hatuonani unapandwa na hasira na kutukana kwa sababu ya ujinga wa mwenyekiti Mbowe kushindwa kujenga chama kikawa na makada wenye uwezo wa kuongoza chama na hata nchi.

Chama ambacho huwezi kupanga watu saba wenye uwezo wa kushika nafasi ya Uenyekiti. Yani uenyekiti tu ambao hata kamati za harusi na kicheni party wanaye.
Sasa itakuwaje chama hicho kiwe na mtu anyeweza kuwa Rais na kuongoza dola lenye kusimamia rasilimali na hazina ya nchi?
Wewe kweli sio foolish kama mimi na huoni kuwa kuna tatizo kubwa la kiuongozi ndani ya chadema?
Wewe ni shabiki maandazi sio mzalendo wa nchi hii.
Wazalendo wa kweli hatuwezi kukaa kimya nchi ikatapeliwa na Genge la Dikteta Mbowe kwa maslahi yake.
 
Na anavyowatuma mtukane kwenye mitandao ndio mnamuharibia sana.

Tutasambaratisha gaidi lenu na mtandao wake na Chama chake kilichojaa wezi na wahuni wanaotukana kwenye mitandao.
Subirini yajayo yatafurahisha .
Mtapata tabu sana!!!

Yani nchi ipate Rais kupitia chama kinachoongozwa na DJ Mbowe Dikteta ,mkwepa kodi na genge lake la watu wasioshaurika wanaotukana watu kwenye mitandao. Akitaka 2020 agombee peke yake kama atapata hata kura 2000, tena pakiwa na tume huru kabisa.
Haya mapovu unaweza kufulia jeans 5.
 
Ccm mnatumia nguvu kubwa kwa Mbowe kuliko kuwashawishi wale wanaomuamini wabadilishe fikra zao ili abaki mpweke.
Hatuwezi kukaa kimya wakati tunaona kuna mtu anageuza Chama cha siasa kuwa Genge la matapeli na waongo wanaotumia Uongo ili wapate ruzuku kwa uongo wao.

Kama mnataka Chadema kisijadiliwe basi mwambieni Mbowe aende BRELA akasajili iwe kampuni yake binafsi lakini sio Chama kinachotaka kushika dola .

Chama cha siasa lakini watu wanatishana kama Kikundi cha Kigaidi.
Wenye akili zao na malengo yao ya baadae kiuchumi na kisiasa na kijamii pia wameshaona kuwa Mbowe anakowapeleka siko.
 
Mbowe amekosa hekima kabisa.
Kwa muda aliokaa Madarakani hakustahili hata kusubiri wabunge waishe kwa kuhama ili aje kumwachia Mwingine Chama kisicho na Ruzuku. Aachie wengine wenye moyo wa kujenga chama kizalendo bila mambo ya biashara binafsi ndani ya Chama kikiwa bado na ruzuku ili wenye akili wakijenge kwa mtaji huo huo anaouita mdogo.

Mbowe ni Mbunge na msemaji wa kambi rasmi ya upinzani bungeni lakini bado tu anakwapua Ruzuku mana Familia inamlaumu kwa kufanya biashara kupitia chama bila utaratibu wa kibiashara.

Je,Ile kesi ya Mbowe kusababisha mauaji ya Akwilina bado ipo?
Je, haingekua vizuri zaidi ikamuangukia yeye mwenyewe mana yeye ndiye aliyekua na mamlaka ya kuwaamuru walioko chini yake na wafuasi wake wasiandamane na wangetii. Pia alikua na uwezo wa kwenda mwenyewe au kumtuma mtu mana yeye ndiye bosi,?

Je, haiwezekani wote wakamuangushia Mzigo wote Mbowe mana huenda alikua anajua kuwa mpango wake wa kumwaga damu ilikua umekamilika ilihali wenzake hawakujua??

Mbowe ni adui namba moja wa Demokrasia Tanzania na dunia nzima kwa ujumla.
Mbowe ni gaidi kama magaidi wengine waliowahi kutokea duniani walioasi serikali zao.
Hivi hata mtu akiweweseka analipwa bk 7?
 
Na anavyowatuma mtukane kwenye mitandao ndio mnamuharibia sana.

Tutasambaratisha gaidi lenu na mtandao wake na Chama chake kilichojaa wezi na wahuni wanaotukana kwenye mitandao.
Subirini yajayo yatafurahisha .
Mtapata tabu sana!!!

Yani nchi ipate Rais kupitia chama kinachoongozwa na DJ Mbowe Dikteta ,mkwepa kodi na genge lake la watu wasioshaurika wanaotukana watu kwenye mitandao. Akitaka 2020 agombee peke yake kama atapata hata kura 2000, tena pakiwa na tume huru kabisa.
Hivi kesi ya alieharibu shamba la Mbowe, imefikia wapi?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hatuwezi kukaa kimya wakati tunaona kuna mtu anageuza Chama cha siasa kuwa Genge la matapeli na waongo wanaotumia Uongo ili wapate ruzuku kwa uongo wao.

Kama mnataka Chadema kisijadiliwe basi mwambieni Mbowe aende BRELA akasajili iwe kampuni yake binafsi lakini sio Chama kinachotaka kushika dola .

Chama cha siasa lakini watu wanatishana kama Kikundi cha Kigaidi.
Wenye akili zao na malengo yao ya baadae kiuchumi na kisiasa na kijamii pia wameshaona kuwa Mbowe anakowapeleka siko.
Jipe kitanzi!
 
Mbowe amekosa hekima kabisa.
Kwa muda aliokaa Madarakani hakustahili hata kusubiri wabunge waishe kwa kuhama ili aje kumwachia Mwingine Chama kisicho na Ruzuku. Aachie wengine wenye moyo wa kujenga chama kizalendo bila mambo ya biashara binafsi ndani ya Chama kikiwa bado na ruzuku ili wenye akili wakijenge kwa mtaji huo huo anaouita mdogo.

Mbowe ni Mbunge na msemaji wa kambi rasmi ya upinzani bungeni lakini bado tu anakwapua Ruzuku mana Familia inamlaumu kwa kufanya biashara kupitia chama bila utaratibu wa kibiashara.

Je,Ile kesi ya Mbowe kusababisha mauaji ya Akwilina bado ipo?
Je, haingekua vizuri zaidi ikamuangukia yeye mwenyewe mana yeye ndiye aliyekua na mamlaka ya kuwaamuru walioko chini yake na wafuasi wake wasiandamane na wangetii. Pia alikua na uwezo wa kwenda mwenyewe au kumtuma mtu mana yeye ndiye bosi,?

Je, haiwezekani wote wakamuangushia Mzigo wote Mbowe mana huenda alikua anajua kuwa mpango wake wa kumwaga damu ilikua umekamilika ilihali wenzake hawakujua??

Mbowe ni adui namba moja wa Demokrasia Tanzania na dunia nzima kwa ujumla.
Mbowe ni gaidi kama magaidi wengine waliowahi kutokea duniani walioasi serikali zao.
Acha chuki binafsi.
 
Nimeisikiliza hiyo audio.. kama ni kweli basi Chadema wana kazi nzito sana... Maana adui wa maana yupo ndani ya chama
 
Na anavyowatuma mtukane kwenye mitandao ndio mnamuharibia sana.

Tutasambaratisha gaidi lenu na mtandao wake na Chama chake kilichojaa wezi na wahuni wanaotukana kwenye mitandao.
Subirini yajayo yatafurahisha .
Mtapata tabu sana!!!

Yani nchi ipate Rais kupitia chama kinachoongozwa na DJ Mbowe Dikteta ,mkwepa kodi na genge lake la watu wasioshaurika wanaotukana watu kwenye mitandao. Akitaka 2020 agombee peke yake kama atapata hata kura 2000, tena pakiwa na tume huru kabisa.
Na wewe ni ccm? Utafikiri mlevi wa gongo?
 
Hatuwezi kukaa kimya wakati tunaona kuna mtu anageuza Chama cha siasa kuwa Genge la matapeli na waongo wanaotumia Uongo ili wapate ruzuku kwa uongo wao.

Kama mnataka Chadema kisijadiliwe basi mwambieni Mbowe aende BRELA akasajili iwe kampuni yake binafsi lakini sio Chama kinachotaka kushika dola .

Chama cha siasa lakini watu wanatishana kama Kikundi cha Kigaidi.
Wenye akili zao na malengo yao ya baadae kiuchumi na kisiasa na kijamii pia wameshaona kuwa Mbowe anakowapeleka siko.
anakoelekea ndo huko huko tunakokutaka, kama hutaki unga juhudi, na mtakufa nakihoro uchaguzi umekaribia na mbowe hata kwa kumchukulia fomu lazima awe mwenyekiti
 
Ajiuzulu ili kife kabisa maana huyu ndio kizuizi chetu
Hayo ni mawazo yako hafifu, mm sio mwanachadema lakini nina uhakika, Mbowe ,Lowassa na Sumaye na vibaraka wai wote wakijitoa na kujiunga na ccm, Chadema haitakufa ngooo.

Njna imani hapo ndipo itapata nguvy mpya, na itazidi kuwa imara na muelekeo mzuri, na chama kitakuwa mwiba mkubwa kwa ccm na vyama vingine.
 
Back
Top Bottom