kimu mazengo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 927
- 733
Ningesema ccm oyee.umgesema kiswahil najuaHebu jifunze Kiswahili kwanza !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningesema ccm oyee.umgesema kiswahil najuaHebu jifunze Kiswahili kwanza !!!
Wabunge wanamageuzi wa siku nyingi nchini wamegoma kuhama CHADEMA sasa wameamua kushughulika na Mbowe na vijana wake. Nasikia harufu ya Damu ndani ya CHADEMA
Sikiliza sauti ya Mbunge Komu na Kubenea wakijadili.
Wapenda mabadiliko wote wanapaswa kuwaunga mkono wabunge hawa. Wasiojielewa wataaminishwa kuwa hawa ni mamluki
Tatizo kimekufa ghafla sana,kingekufa taratibu ndo ingekua poa sana,"killing slowly"Chadema ikifa si ndio furaha kwetu ccm? Sasa shida iko wapi? muacheni Mbowe aiuwe Chadema.
Hahaha kabisa utashangaa kwanini mamba alie wakati kwake ni neema tawi likikatika.Ni sawa na mamba anayelia kwa hofu ya nyani kukalia tawi la mti mkavu
Tatizo hamuelewi wana ccm, sisi tunataka upinzani uwepo lakini ubaki upunzani tu. Sio.kushika nchi.Hivi kwanini wanaotaka mbowe ajiuzulu ni CCM? Kama CDM inaharibika chini ya Mbowe si ndio nzuri kwenu CCM?
Mngekuwa mnataka upinzani uwepo mngeruhusu mikutano ya kisiasa,mngeruhusu maandamano,mngefuta kesi kwa viongozi wa chadema etcTatizo hamuelewi wana ccm, sisi tunataka upinzani uwepo lakini ubaki upunzani tu. Sio.kushika nchi.
Hii sababu ua kitaka mbowe atole.
Ndivyo LUMUMBA wanavyosema?, mko bize kumuondoa MBOWE. Katafuteni wasiojulikana kwanza kisha ndo mje CDM.kinachoendelea ndani ya chadema kinasikitisha sana. Mbowe alitakiwa awe ameshajiuzulu siku nyingi ili upinzani upone.
Tumia akili kufikiri, kwanini nyinyi masisiemu msiuponye upinzani kwenye vile vyama vyenu visivyokuwa na wabunge wala diwani ili siku moja na vyenyewe vipate wabunge na madiwani?Ama kweli Mbowe anawanyima usingizi mabinti na wavulana kwaajili ya uchanga wa akili.Lakini pia anawanyima usingizi wanaume na wanawake wenye kale kagonjwa kaitwako kichaa.kinachoendelea ndani ya chadema kinasikitisha sana. Mbowe alitakiwa awe ameshajiuzulu siku nyingi ili upinzani upone.
Bwana jela ana makazi ya kidumu huko jela,ya uraiani hayakuhusu.Chadema km hampendani wenyewe itakuaje
Kuna siku watamtaja aliyemmiminia risasi Tundu Lisu kutoka hapo Ufipa....... Ndipo taifa zima la Tanzania litapatwa na mshangao!!!Chadema km hampendani wenyewe itakuaje
Wanapitia njia ile ile waliyopitia nssr mageuzi na tlpChadema km hampendani wenyewe itakuaje
Wapambane wao ndani ya CHADEMA halafu unituhumu kuwa ninaleta propaganda!Mkuu MsemajiUkweli , ni wazi kuwa umeiweka habari kishabiki na hujaielewa. Unajaribu kuitumia habari iliyopita kujenga propaganda zako nyepesi na kuchanganya na mchakato wa uchaguzi ndani ya CHADEMA. Kwa hilo hujafanikiwa. Msigwa alikuwa anazungumzia Kikao kilichokwishafanyika huko nyuma. Na hata huo msamaha ulishatolewa. Ona soni na propaganda zako nyepesi dhidi ya vyama vya watu!
Sasa hivi wakirudi CCM wanakutana na mizengwe. Ona Dr Mollel wa Siha sasa hivi hawamtaki kama ana ukomaHuko hata kwenda, arudi nyumbani CCM ili mwakani arudi tena mjengoni.