Antu Mandoza mtangazaji wa tatu mzuka ni moja ya Wasichana wazuri sana

Antu Mandoza mtangazaji wa tatu mzuka ni moja ya Wasichana wazuri sana

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Kusema ukweli huyu mtangazaji wa kipindi cha tatu mzuka huyu bint ni mzuri sana .

Nasema bint maana mara nyingi namsikia akijitangaza kwa baadhi ya washiriki wanaoingia kwenye droo ya kubahatisha ushindi wa kupokea hela kuwa hajaolewa.

Lakini kwa mtizamo kwa kweli anafaa sana kuwa mke ila kinachonishangaza ni lile hipsi lake hivi ni la kweli au anajaladia maana ukimtizama kiuno kipo, kifua kipo guu lipo rangi ipo ila mbona lile hipsi lake haliendani na ile miguu?

Ukiangalia ule upaja unaona kabisa kama kuna wimbi la uvimbe kabisa ..

Nimewasilisa.
1549003759593.png
 
Kusema ukweli huyu mtangazaji wa kipindi cha tatu mzuka huyu bint ni mzuri sana . Nasema bint maana mara nyingi namsikia akijitangaza kwa baadhi ya washiriki wanaoingia kwenye droo ya kubahatisha ushindi wa kupokea hela kuwa hajaolewa.lakini kwa mtizamo kwa kweli anafaa sana kuwa mke ila kinachonishangaza ni lile hipsi lake hivi ni la kweli au anajaladia maana ukimtizama kiuno kipo,kifua kipo guu lipo rangi ipo ila mbona lile hipsi lake haliendani na ile miguu?
Ukiangalia ule upaja unaona kabisa kama kuna wimbi la uvimbe kabisa ..
Nimewasilisa.
Picha tafadhali.
Sisi wengine hatujawahi kumuona yaani tupo huku Lindi ndanindani maporini huku mpaka leo bado tunajua rais wetu ni Ticha Julius
 
Back
Top Bottom