MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Haha, naona uko kwenye uwanja wako sasa. Ushafanya uchambuzi wa kina kuhusu huyu pipo.....Msema kweli Mkuu siku zote ni mpenzi wa Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha, naona uko kwenye uwanja wako sasa. Ushafanya uchambuzi wa kina kuhusu huyu pipo.....Msema kweli Mkuu siku zote ni mpenzi wa Mungu.
Shida anatangaza kamari tena yenye kiwango cha juu zaidi cha utapeli hapo ndipo sifa zote za wife material zinapoyeyukia.Yes she is very beautiful, smart, intelligent, charming, friendly and a WIFE MATERIAL.
![]()
Mkuu mi hata simjui huyu dada aisee hivyo ukiniuliza story zake ntang'ata maneno tu,Nimedandia Siredi tu nashuka hapo tutani.Hivi musa kamwacha kweli...
Hahahahaha...mkuu nimecheka ujue.Duuuuh kuna watu wanakojoa seheu nzuri kwel.
Niweke picha nacheka au niweke picha na huyo mdada?Weka picha tuone
Wewe siyo tu mchambuzi wa masuala ya siasa, bali hata haya mambo hauko nyuma sana. Una kipaji kikubwa sana mkuu....Hahahahaha lol!
Wakawaida saaaanaaaaa nilijua sio mchezooo hilo toto kumbe normalYes she is very beautiful, smart, intelligent, charming, friendly and a WIFE MATERIAL.
![]()
Kuwa mwanaume zama hizi ni kazi sana wallahi!
Wanaume siku hizi wamewapiku wanawake kwa umbea
Sent using Jamii Forums mobile app
Umevunja sheria za "uanaume"Haina shida alimradi usivunje sheria za watu
haya mkuu...mi sina la kuongeza hapa..na.jua kbs maendeleo hayana chama😂😂Umeona eh! 😉😉😉
haya mkuu...mi sina la kuongeza hapa..na.jua kbs maendeleo hayana chama😂😂