Filaria
JF-Expert Member
- Jun 28, 2021
- 695
- 1,960
Unazungumziaje uwepo wa hawa viumbe wanaoitwa majini sijui mapepo.Unajua maana ya neno Mungu kwanza?
Unapodai Kuna Mungu ila haonekani unaleta utata sababu huwezi Thibitisha uwepo wake,
Nikupe SoMo Leo kijana
Maana ya
'GOD' ni master of high chamber katika accient civilization ya Mesopotamia walitumia
'ANU' wakimuwakilisha mtawala wa Sayari ya Nibiru kwasababu ya watoto zake kuja Duniani kutafuta gold watoto zake wakaitwa wa Annak au
'gods' ikiwa na maana walioshuka kutoka juu mbinguni au mawinguni na kuja Duniani kutafuta dhahabu
'Miungu' ni watoto wa Mungu mkuu wa Mbingu sababu wanae walikuja duniani hivyo ni mkuu wa mbinguni na Duniani hapa ndipo Siri na nadharia ya Uungu ilipoanzia na Mungu Sio jina ni cheo Cha mtawala wa Dunia na mbingu
ANU alikua Mtangulizi wa kale wa miungu aliyekua na mamlaka kuu baadae walifuatia miungu Wengine mfano
Kuna Mungu Elohim/YHW huyu watu wengi humwabudu katika Dini za kisasa huko waabuduo hawajui ni Moja ya Miungu wa kale wa ANNUNAKI na Aliabudiwa na Abraham aliyetokea Uru ya Ukaldayo Mesopotamia ambako Ndio nadharia za Mungu na miungu zilianzia sababu ya uwepo wa ANUNNAKI
Soma historia utajua ujinga wa kuwaita viumbe Mungu ndio utajua utapeli wa Dini mlizoletewa waafrika na mkazimeza nzima nzima!
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app