ANUNNAKI: Nadharia za Mungu, miungu, fumbo la sciencenscience na Teknolojia kubwa katika Dunia ya kale, kuanguka Kwa civilization na kuinuka Tena

ANUNNAKI: Nadharia za Mungu, miungu, fumbo la sciencenscience na Teknolojia kubwa katika Dunia ya kale, kuanguka Kwa civilization na kuinuka Tena

kama unajua historical chatline kama unavyojinasibu Hapa usingekuja na maswali ya kijinga Kwa kusema Sumeria tablets zimecopy maandiko ya Abraham Kila mtu mwenye akili timamu na anajua table ya majira na muda Katika Historia ya Dunia hakika atakushangaa Sana unaye jiita mjuzi kwazo,
Kingine nimetoa msisitizo juu ya historical sites za kale zilijengwa na ANUNNAK Toka Mwanzo wa Uzi kama Unaona sieleweki kwanini usuende extra miles ukatafuta source mwenyewe kuliko kujitia ujuaji Hapa ukitegemea Mimi nikupe information zote huoni Upo na Low IQ namna ya kudeal na mambo magumu kama Haya yanayotaka evidence kutoka vyanzo vya kuaminika?

Usipanic karibu Mkuu tuendeleze mjadala!
Wewe ndio una low IQ jaribu kuwa na utulivu jibu maswali acha kupanic tupe elimu uliyonayo tujue sio unaleta mada ukiulizwa maswali unaona wanaouliza maswali ni wajinga hakuna mjinga hapa wote tuna akili timamu hatuna tu hizo information unazotupa wewe sasa kukuuliza maswali haimaanishi tuna low IQ.

Jibu maswali tuendelee mbele usipoteze muda na usituonyeshe udhaifu wako wa kupanic hovyo hovyo wala usijione wewe ndio genius sana,tofauti ni kuwa wewe unazo informations kuhusu annunak na Sisi hatuna hizo informations sasa ndio tudadavulie na njia nzuri ya kudadavua ni kujibu maswali.
Unakwama wapi chief acha utot ushakuwa mtu mzima wewe.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Napata tabu kuamini hivyo vitu maana wanaotuletea wenyewe wanadai ni tafsiri ya kutokana na michoro ya kale! Sasa unajuaje labda ni watoto wa zamani walukuwa wanachezea udongo na kupigiana hadithi?

Lakini pia kingine ni watu kutokuelewa baadhi ya vitu tu. Labda walitembelewa na watu wa kabila/race nyingine ya hapahapa duniani yenye ujuzi ndo wakawaona ni miungu. Na hata kama wakitoka nje ya dunia bado wanakuwa sio mungu ni viumbe tu. Mfano aje mzungu na jet za kupaa za kuvaa halafu mimi nimuite mungu kwa sababu anapaa hewani na kutengeneza mawingu. Atakuwa mungu

Mungu yeye yupo sema haonekani, sasa wanadamu kwa kutamani kujaza hilo gepu ndio wamekuwa wakijitungia miungu na kubambika uungu vitu vingine kwa sababu tu ya kutomjua Mungu wa kweli
Tulia upate elimu wewe acha kuishi kwa kuabudu mavitabu yaliyoletwa na wakoloni, we unadhani wakoloni wanatupenda? akuletee wokovu wakati alitaka asiondoke!! afaidi mali zetu! angalia walivyo na chuki na mtu mweusi! Mzungu na mwarabu sio watu kabisa!
 
Wewe ndio una low IQ jaribu kuwa na utulivu jibu maswali acha kupanic tupe elimu uliyonayo tujue sio unaleta mada ukiulizwa maswali unaona wanaouliza maswali ni wajinga hakuna mjinga hapa wote tuna akili timamu hatuna tu hizo information unazotupa wewe sasa kukuuliza maswali haimaanishi tuna low IQ.
Jibu maswali tuendelee mbele usipoteze muda na usituonyeshe udhaifu wako wa kupanic hovyo hovyo wala usijione wewe ndio genius sana,tofauti ni kuwa wewe unazo informations kuhusu annunak na Sisi hatuna hizo informations sasa ndio tudadavulie na njia nzuri ya kudadavua ni kujibu maswali.
Unakwama wapi chief acha utot ushakuwa mtu mzima wewe.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
hahahahaha
Usipanic Ankori tulia dawa ikuingie Hizo Lugha zangu zisikutishe kama unataka elimu Kaa Kwa kutulia humu najibu maswali mengi Sana Muda hautoshi Kila mtu anataka nimlidhishe so Kuna muda nashindwa balance ndio maana utaona nachelewa kujibu na nyie mnasema nakimbia maswali WTF!
😁😁😁😁
 
Kuoza na kugeuka mbolea kwa mimea na viumbe wengine basi.
Huu ndio ukweli mchungu ambao watu wa dini hawataki kukubali,
Siku zote hua nawaambia kabla hujazaliwa Kuna sehemu ulikwepo?
Majibu Yao ni hapana na ukifa ndivyo hivyo hivyo
Nikiwa namaana mtu ukifa ni Sawa na mtu ambaye hajazaliwa huwi popote na ukifa huendi popote yaani una kua decayed infinity
Hizo life after death ni hekaya tu kufariji mioyo yenu!
 
Habari Wana JF na jukwaa la Intelligence natumaini mpo salama na tunasurvive chini ya jua kibishi,
Nimeona nilete hii mada ngumu kidogo kuhusu Accient civilization ya kale katika Dunia yetu,pamoja na nadharia mbali mbali za kuanguka na kupotea kwake,

Natumaini wale magreat thinkers watashashare idea zao kutoka vyanzo mbali mbali na natamani mjadala uwe endelevu na wale wenye watakaoweza kuweka rejea kutoka source mbali mbali wawe huru Ili mjadala uwe mpana kidogo hivyo uvumilivu unahitajika,
Note wafia Dini hamuhitajiki humu kama kitu hujui kaa kwa kutulia upate Somo na rejea mbali mbali,

Karibu!

Dunia ya kale ilipata kupitia katika ustaarabu mkubwa sana ambao Mpaka Leo unaacha utata mkubwa pamoja na fumbo kuu,
Wanasayansi,watu wa Dini,wanafalsa na wachunguzi huru wamejikuta kwenye sintofahamu juu ya ustaarabu ule uliopotea Huku wakibaki kwenye nadharia nyingi toka Hapo zamani,

Ushahidi kutoka maandiko ya kale ya Sumeria yaliyokutwa katika tablets za Mawe na michoro mbali mbali katika jamii nyingi za kale zimewataja viumbe walioitwa 'miungu'

"Miungu" au 'gods' tafsiri yake ikiwa na maana ya walioshuka kutoka 'mbinguni' au angani na Kushuka duniani,

Nadharia ya Miungu Katika Sumeria imewataja "ANUNNAKI"
Au Wana wa Annak
ANU =mtawala wa mbinguni na baba wa waanak na KI mother goddes mtawala wa Dunia,

Maandiko ya kale ya Wasumeria katika Mesopotamia yamewataja viumbe Anunak walipata Kuja duniani Miaka 450,000 BCE iliyopita,
Mtafiti wa mambo kale Zachariah Sitchin miaka ya 70's aliweza kutafsiri baadhi ya maandiko ya kale ya Wasumeria yanayodai Annunaki walipata Kuja pre human development yaani akiwa na maana Dunia ikikaliwa spicies ya Homo Elactus pekee,

Pia maandiko ya kale ya Sumeria yanadai Annunaki walitokea Sayari ya Nibiru ambayo huizunguka mfumo wetu wa Nyota ikiwa kwenye mhimili wake Kila baada ya miaka 3,600
Na maandiko hayo ya kale yanapata kuandika Annunaki ni intelligence being wenye high advanced science and technology na walipata kuja Duniani na Spaceships kwa lengo la kuchimba Dhahabu ikiwa kama metal ya mhimu huko kwenye sayari Yao ambayo waliitumia kurecover atmosphere ya anga lao,
Note hiyo ni according to Accient writings alizotafsiri Zachariah Sitchin,wanasayansi na Watafiti wa mambo kale kama Jesus Cediel,

Swali Wana jamii intelligence Inakuaje tablets kongwe na ya kale kuliko maandiko yoyote Yale yaani Sumerian iandike mambo kama hayo?

Fumbo!

Nitaendelea na mada karibuni Kwa mjadala!

ALALU:Mtangulizi wa mwanzo wa Annunaki
Katika accient tablets anatajwa Alalu huyu alikua ni agent kutoka Sayari ya Nibiru aliyepewa jukumu la kuzunguka Sayari mbali mbali kuangalia uwezekano wa kuwepo Kwa dhahabu,Alalu alifanikiwa kuifikia Dunia yapata miaka 450,000 BCE na kufanya tafiti mbali mbali Katika accient tablets anatajwa kama 'mungu' wa ugunduzi,Alalu alipata kutua Kush na akagundua hazina kubwa ya dhahabu,ugunduzi wa machimbo ya kale ya kush unathibitisha kugundulika Kwa dhahabu Kwa mara ya kwanza Katika uso wa Dunia ukifuatiwa ule wa South Africa na Maputo Msumbiji ambako miaka ya Hivi karibuni kuligundulika machimbo ya kale sana yalichimbwa Kwa ustadi Kwa kutumia vifaa vya kisasa unaoshangaza Dunia ya Leo,

Baada ya tafiti za Alalu walifuatia Wana wa Annak ENKI na ENLIL ambao walishuka na Spaceships s kubwa Wakiongozana na moja ya jamii ya Waanunaki waitwao IGIGI ambao waliotumika kama workers kwenye Migodi yote iliyoanzishwa huku wakiongozwa na ENKI na ENLIL kama viongozi,

Maandiko ya Sumeria yanadai baadae IGIGI walichoka kufanyishwa Kazi za machimbo ya dhahabu sababu ya brutality kitu kilichopelekea vita kubwa na ya kwanza Katika uso wa Dunia ikihusisha advanced weapons kama Nuclear weapons,
Baada ya resistance ya IGIGI
ENKI alikuja na Wazo la kumfanya Kiumbe awe replaced ndipo wakawafanya Nephilims (Wanefili) Hawa walikua ni Viumbe wenye mfanano na Annunak ila wakubwa na wenye nguvu,wakitumia Hybrid Nephilims walishindwa zaliana hivyo kuwapa mzigo ENKI kuwazalisha Kwa wingi kulingana na mahitaji na Kasi ya Kazi Katika Migodi maana walishindwa kuendana na Kasi sababu ya ukubwa na uzito wa miili Yao,

WAZO LA KUMFANYA BINADAMU,
Annunak Chronicles inaelezea mwanzo Dunia ilikaliwa na Viumbe waitwao Enkidu Katika Epic of Girgamesh wanamtaja Kiumbe Mtu Enkidu ambaye alikua spicies ya Homo Elactus walioishi duniani wakiwa hawana humanity waliishi pamoja na wanyama wa mwituni kama hayawani wengine,.
Enki alifikiria ni jinsi Gani atawafanya wale Enkidu wawe intelligence na akaja na Wazo la kuwaongezea vinasaba milini mwao Kwa kufanya DNA testing na walifanikiwa kufanya genre ya Homo sapiens wa kwanza,
Pia Maandiko ya Sumeria yanadai Annunaki walifanya human manipulation na cloning project na kumtengeneza mtu wa kwanza
ADAPA (Adamu)
Wakitumia DNA zao,manii na kupandikiza Kwa Kiumbe mke aliyekuja kuzaa genre ya Homo sapiens kamili iliyokamilika
(Sumeria tablets zinaelezea teknolojia ya Human cloning,human manipulation na sayansi nyinginezo kukamilisha Hilo)

Kwanini wamuumbe mtu Kwa mfano wao?
Ukisoma kitabu Cha Genesis kinadai Mungu alisema na tumfanye mtu Kwa mfano wetu
(Wale wa nadhari za Abrahamic Religion wajiulize ilikuaje Mungu aseme na tumfanye mtu Kwa mfano wetu)
Hiyo wetu inawakilisha uwingi ikiwa na maana ya "Gods"
(Walioshuka kutoka juu mbinguni na kuja Duniani)
Mkuu umekataza watu wa dini kwenye uzi wako ila wewe unatumia kitabu cha dini kama moja ya ushahidi Why🤔
 
Mkuu umekataza watu wa dini kwenye uzi wako ila wewe unatumia kitabu cha dini kama moja ya ushahidi Why🤔
kitabu Cha dini according to you kile ni kitabu Cha historia kinatumika kama rejea tu Kwa watu wa dini na kinatumiwa na Mtu yeyote hata asiye na dini sababu kilikwepo kabla dini hazijaanzishwa ila watu wa dini wamekibinafsisha Kwa maslahi Yao arifu!
 
Tulia upate elimu wewe acha kuishi kwa kuabudu mavitabu yaliyoletwa na wakoloni, we unadhani wakoloni wanatupenda? akuletee wokovu wakati alitaka asiondoke!! afaidi mali zetu! angalia walivyo na chuki na mtu mweusi! Mzungu na mwarabu sio watu kabisa!
Binafsi nipo tayari tuchukue hiyo challenge ya kutoamini mavitabu wala mahistoria tusiyoyaweza kuyathibitisha. Tusimame sisi kama sisi tumake sense papo kwa papo.

Haijalishi ameleta nani, nini ukweli huwa unasimama wenyewe. Na ndio tunaoutafuta
 
Binafsi nipo tayari tuchukue hiyo challenge ya kutoamini mavitabu wala mahistoria tusiyoyaweza kuyathibitisha. Tusimame sisi kama sisi tumake sense papo kwa papo.

Haijalishi ameleta nani, nini ukweli huwa unasimama wenyewe. Na ndio tunaoutafuta
Huu ndio ukweli unaoutafuta,hakuna mwingine Tena Leo Hii Jamii za Ulaya na Marekani wanatumia ujuzi huo ulioandikwa kwenye vitabu vya kale yaani Sumerian, Egyptian nk kufanya vumbuzi za kimaendeleo huko nyie wakiwaletea dini na Elimu za kijinga jinga muendelee kua brain washed Ili mtawaliwe vizuri!
 
Enlil ndiye Mungu wa anga aliyekuja na slogan ya heaven aand earth ambayo baadaye Quran ikaja kuiandika upya halafu kongole imeenda kwa allah
Aiseee....?

Ngoja nijifunze zaidi kutoka kwenu katika hii ishu
 
Aiseee....?

Ngoja nijifunze zaidi kutoka kwenu katika hii ishu
Hii ni baadhi ya aya ambayo waislamu wanaitumia kama reference kwenye ishu ya bing bang

"the heavens and the earth were joined together as one unit, before We clove them asunder" (21:30)

Lakini Sumerians walishaandikaga haya mambo maelfu ya miaka kabla hata ya Quran kuwepo

1650267304090.png
 
Hizo za ukifa unaenda maisha ya eternal ni fiction tu walizolaghaiwa watu wa kale na hao watchers kiufupi hakuna kitu kama hicho mtu ukifa unakua decay unatoweka kabisa udongoni yaani unakua deadly infinity,
Hizo dhana zilianzishwa na ENLIL wakati ANNUNAK wanaondoka duniani na kurudi kwao waliwaambia hivyo maana walijua wanaondoka duniani na hawatarudi Ili kuwafariji wakawapa porojo za life after death Kumbuka
Annunak walicotrol man kind na walikua na akili sana walitunga sheria walizoziita dini Ili iwe faraja Kwa watu watakaowaacha huko wakiwaahidi ipo Siku watarudi na kuwachukua waende wakaishi nao juu mbinguni
(Nephilim 12th planet ) kwenye Raha za milele na anakoishi Mungu Mkuu ambaye ndie baba wa waanak yaani ANU
Kiufupi Ile ilikua danganya toto tu ukisoma maandiko ya Sumeria yanadai race ya binadamu ilikataliwa na jamii ya wanibiru kwamba haitakiwi huko kwao sababu lengo ilikua ni kuwatumia kama vijakazi wa kuwachimbia dhahabu tu mwisho wanatoweshwa ila kutokana na kuishi nao Kwa Upendo Kwa miaka mingi baadhi ya watchers waona waache tu wasurvive wakitumainia ipo siku watarudi kuwakomboa kwenye shida zao!

Kwahiyo jombi zile story zenu za Malaika kuonekana zamani na kuishi duniani kwenye dini zenu unajua kwanini Leo hawaji Tena Kwa maelfu ya miaka?

Mlilaghaiwa Aiseee poleni Sana waamini!
Mkuu kuna nyumba zozote ambazo ziligundulika kwwmba annunaki walikuwa wakiishi hapa duniani ?
 
Aiseee....?

Ngoja nijifunze zaidi kutoka kwenu katika hii ishu
Unastaajabu nini wakati Abrahamic religion zimecopy maandiko ya Sumeria ambayo baba yenu wa Imani Abraham alitoka nayo Uru ya Ukardayo huko Mesopotamia yalipokua makao makuu ya ANNUNAK Katika accient civilization,

Abraham alionekana ni jamaa mwenye ustaarabu wa Hali ya juu Tena akiwa tajiri wa Mali,dhahabu,mifugo na alimiliki caravan kubwa yenye jeshi la kuogofya alilotoka nalo kwao kwenda Kaanan kuanzisha new settlement,
Hiyo ilijili baada ya Babylon kuanguka kutokana na kuondoka Kwa Annunaki/Watchers/Angeles
Na kurudi huko
Nephilims 12th Planet Nibiru (Mbinguni)

Hapo ndipo zikazaliwa nadharia za MUNGU Elohim/Elojim/YWH
Kwa mara ya kwanza ila misingi yote hizo nadharia alianzisha Mkuu wa Annunaki aliyeitwa
ENLIL akishirikiana na nduguye ENKI ambao walikuja duniani kutoka huko Nibiru hapo kale kufuata dhahabu!
 
Hii ni baadhi ya aya ambayo waislamu wanaitumia kama refrence kwenye ishu ya bing bang

"the heavens and the earth were joined together as one unit, before We clove them asunder" (21:30)

Lakini Sumerians walishaandikaga haya mambo maelfu ya miaka kabla hata ya Quran kuwepo

View attachment 2191561
Hii ni baadhi ya aya ambayo waislamu wanaitumia kama refrence kwenye ishu ya bing bang

"the heavens and the earth were joined together as one unit, before We clove them asunder" (21:30)

Lakini Sumerians walishaandikaga haya mambo maelfu ya miaka kabla hata ya Quran kuwepo

View attachment 2191561
Ni sahihi mkuu hiyo aya tunaitumia kama reference,unajua mkuu hii Qurani sio kwamba yoote imeandika vitu vipyaa kabisa ambavyo havijawahi kusikika ulimwenguni.

Bali kuna vitu huwenda ama vipo katika vitabu vingine na Qurani ikawa imevitaja vitu hivyo.

Ndio maana Qurani ikasema..

إن هذا لفي الصحف الأولى

[ AL - AA'LAA - 18 ]
Hakika haya yamo katika Vitabu vya mwanzo,صحف إبراهيم وموسى

[ AL - AA'LAA - 19 ]
Vitabu vya Ibrahimu na Musa.

Kwamba kuna habari tunaambiwa kwenye Qurani sio uzushi bali habari hizo zipo pia katika vitabu vilivyotangulia.

Point yangu ni kwamba sio tatizo maandiko ya Qurani yakafanana na maandiko mengine ya kale..
 
Kumbe waliikuta dunia?, kumbe yupo aliyeumba dunia na hao gods, the created creator
 
Ni sahihi mkuu hiyo aya tunaitumia kama reference,unajua mkuu hii Qurani sio kwamba yoote imeandika vitu vipyaa kabisa ambavyo havijawahi kusikika ulimwenguni.

Bali kuna vitu huwenda ama vipo katika vitabu vingine na Qurani ikawa imevitaja vitu hivyo.

Ndio maana Qurani ikasema..

إن هذا لفي الصحف الأولى

[ AL - AA'LAA - 18 ]
Hakika haya yamo katika Vitabu vya mwanzo,صحف إبراهيم وموسى

[ AL - AA'LAA - 19 ]
Vitabu vya Ibrahimu na Musa.

Kwamba kuna habari tunaambiwa kwenye Qurani sio uzushi bali habari hizo zipo pia katika vitabu vilivyotangulia.

Point yangu ni kwamba sio tatizo maandiko ya Qurani yakafanana na maandiko mengine ya kale..
Kuna jamaa anajita Mokaze alikuwa anasema wana sayansi wamekuwa wakitumia Quran kufanya utafiti kwasababu ndio kitabu pekee kilichoongelea habari za Bing bang

Mwingine anajiita FaizaFoxy huyu alikuwa anasema Quran ndio kitabu pekee kilichoongelea habari za embryology katika zama ambazo hakukua na sayansi. Wakati kuna ancient texts za kihindu huko za Shrimad Bhagawatam, Garba Upanishad na Samhitas ambayo imetoa hadi sayansi ya mid-wifery

Hivyo vitabu vyote vilitangulia kuwepo maelfu ya miaka zaidi ya Quran, waislamu wengi wamejifungia milango ya elimu kwa kutosoma vitabu vingine au kufanya utafiti wa kila kitu ambacho kimeandikwa kwenye Quran kama kiliwahi kuandikwa na kitabu kingine kabla ya Quran

Matokeo yake wengi wanakuja kuvimba kwa kutaka kuwaoneshea watu kuwa kitabu chao ni special sana kwani kimeandika mambo nyeti ambayo hayajawahi kuandikwa.
 
Kuna jamaa anajita Mokaze alikuwa anasema wana sayansi wamekuwa wakitumia Quran kufanya utafiti kwasababu ndio kitabu pekee kilichoongelea habari za Bing bang

Mwingine anajiita FaizaFoxy huyu alikuwa anasema Quran ndio kitabu pekee kilichoongelea habari za embryology katika zama ambazo hakukua na sayansi. Wakati kuna ancient texts za kihindu huko za Shrimad Bhagawatam, Garba Upanishad na Samhitas ambayo imetoa hadi sayansi ya mid-wifery

Hivyo vitabu vyote vilitangulia kuwepo maelfu ya miaka zaidi ya Quran, waislamu wengi wamejifungia milango ya elimu kwa kutosoma vitabu vingine au kufanya utafiti wa kila kitu ambacho kimeandikwa kwenye Quran kama kiliwahi kuandikwa na kitabu kingine kabla ya Quran

Matokeo yake wengi wanakuja kuvimba kwa kutaka kuwaoneshea watu kuwa kitabu chao ni special sana kwani kimeandika mambo nyeti ambayo hayajawahi kuandikwa.
Aiseeee hahaha.

Ni hatari mkuu.

Mimi nadhani kila mtu ana falsafa yake kwa ambao wataamini kwamba Qurani imeandika vitu ambavyo havijawahi kuwepo ni shauri lake.

Ila mimi naweza kusema kwwmba naamini kuwa yamo mambo ambayo sio yako katika Qurani tu bali kuna vitabu vingine yapo hayo mambo.

Ndio maana kuna kisa cha watu wa pangoni bwana Mtume alikuwa anawasimulia watu wakajiuliza kajuaje huyu mtu ?

Nw kuna baadhi ya mambo mtume alikuwa akiyasema watu wqnasilimu kwa kusema kwamba kwamba anayoyasema muhammad yamo katika vitabu vyao vya dini huko nyuma.

So kuna ambao waliingia katika dini ya uislamu kwa kushawishika kwwmba mbona hii qurani inaeleza mambo wmbayo yapo kwtika vitabu vyetu fulani ya dini ?

So ni kuonesha tu kwamba yapo mambo ambayo Qurani sio ya kwwnza kuyataja mambo hayo,na kusema hivi sio ukafiri(kukufuru).
 
Aiseeee hahaha.

Ni hatari mkuu.

Mimi nadhani kila mtu ana falsafa yake kwa ambao wataamini kwamba Qurani imeandika vitu ambavyo havijawahi kuwepo ni shauri lake.

Ila mimi naweza kusema kwwmba naamini kuwa yamo mambo ambayo sio yako katika Qurani tu bali kuna vitabu vingine yapo hayo mambo.

Ndio maana kuna kisa cha watu wa pangoni bwana Mtume alikuwa anawasimulia watu wakajiuliza kajuaje huyu mtu ?

Nw kuna baadhi ya mambo mtume alikuwa akiyasema watu wqnasilimu kwa kusema kwamba kwamba anayoyasema muhammad yamo katika vitabu vyao vya dini huko nyuma.

So kuna ambao waliingia katika dini ya uislamu kwa kushawishika kwwmba mbona hii qurani inaeleza mambo wmbayo yapo kwtika vitabu vyetu fulani ya dini ?

So ni kuonesha tu kwamba yapo mambo ambayo Qurani sio ya kwwnza kuyataja mambo hayo,na kusema hivi sio ukafiri(kukufuru).
Sasa hizo habari zimeandikwa kwenye dini ambazo zina abudu miungu zaidi ya mmoja, mfano huyo Enlil ni Mungu wa mbingu na ana baba yake

Sasa ukisema Quran inakiri kuwa kuna mambo mengi yaliyoandikwa kabla yake, na tuna angalia katika habari nyingi tunazikuta kwenye dini ambayo ina miungu zaidi ya mmoja, je hiyo ina maana Quran inazitambua hizo dini kama dini za kweli?
 
Back
Top Bottom