Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zenye maslai kwao awasubiri kufikishiwaNadhani Viongozi wa juu, hawafikishiwi taarifa sahihi.
Kwahyo unataka kusema mwalifu pia analindwa Kama tkk kesi yangu ya madaleMimi sikuzote huwa nasema suala lolote la kipolisi huwa hela inatangulia mbele...
Polisi wetu ukiwa huna kosa na ukajidai mjuaji wa sheria basi jua ni rahisi sana kufungwa jela.. Polisi wakipewa chochote na mtu mashtaka yanatengenezwa na unakwenda na maji ukijiona..
Watu wengi wenye makosa huwa wanajidai sana kwakuwa wanajua kucheza vizuri na polisi... Hata uwe na ushahidi wa CCTV.. Mtu kama anawapa chochote.. Huwezi kufungwa... Ukitoa kesi za kisiasa zenye mikono ya wakubwa
Nilishatoa kisanga kimoja.. Jamaa kakamatwa bar usiku saa 8, akapelekwa kituoni akaambiwa una kiasi gani? Akajibu mi sina kosa na sitoi kitu...
Akazamishwa ndani.. Asubuhi akaomba msaada wa mawasiliano kutoka kwa askari ili ndugu zake wajue yupo wapi..
Baada ya masaa mawili ndugu hao.. Akatolewa mahabusu ooh mi sina kosa.. Mara wananionea tuu..
Akaletwa mpelelezi akawaambia ndugu.. Suala la huyu mtu ni kubwa sana.. Subiri kuna askari kutoka makao wanakuja.. Njooni kesho
Usiku akiwa mahabusu akaitwa akaambiwa chagua silaha mojawapo hapo.. (zina vumbi zimetoka store)
Akaambiwa hii silaha ni yako.. na wewe ni jambazi..
Ndugu kuja asubuhi wakapewa info.. Mtu wenu anamiliki gobore.. Na tunajiandaa kumpeleka kwa pilato.
Ndugu walijichanga vya kutosha.. Akatoka...
Funzo askari wetu wapo kimaslai zaidi.. Na hili haliishi leo au kesho..
Bila kutoa chochote.. Unajidai unafuata sheria.. Utakula Mvua za kutosha kimasihara hata kama huna kosa..
Tayari tabia hii imekuwa mfumo rasmi
Hatar Sana yaan nipokee taarifa kuwa mwanangu kajinyonga na dekio hpn sipokei mwiliUovu hauna kwao. Raia wamelalamika sana na wamedhulumiwa sana. Sasa uovu umehamia kwa polisi wenyewe.
Huyu ni polisi wa pili baada ya yule wa Mtwara aliyetoa habari za wale waliomuua mfanyabiashara na kisha yeye mwenyewe (kufariki mahabusu kwa kile kilichoelezwa kuwa amejinyonga na dekio).
Uovu kwao umehalalishwaAnapigana a 'losing battle' ahame aliko ajifiche tayari kuyaanza maisha mapya otherwise atakufa huku anajiona. Police dunia nzima wako hivyo....tatizo LA kuwa na mdomo kazini
Nazungumzia reality....atapotezwa. Ahame kabisa akajifiche mbali alee familia yake.....hao usiwaamini kabisa.Uovu kwao umehalalishwa
Yes. Uko sahihi mkuu. Polisi hawanaga muswalie mtumeNazungumzia reality....atapotezwa. Ahame kabisa akajifiche mbali alee familia yake.....hao usiwaamini kabisa.
Hivi kamati ya uchunguzi wa mtwara ilifikia ilishatoa majibu ya kueleweka na wale majambazi wenye manyota wanapelekwa lini mahakamani?Uovu hauna kwao. Raia wamelalamika sana na wamedhulumiwa sana. Sasa uovu umehamia kwa polisi wenyewe.
Huyu ni polisi wa pili baada ya yule wa Mtwara aliyetoa habari za wale waliomuua mfanyabiashara na kisha yeye mwenyewe (kufariki mahabusu kwa kile kilichoelezwa kuwa amejinyonga na dekio).