Anyongwe mtu aliyemdanganya Simon Sirro hadi akamfukuza Kazi Afande Meshack Samson Laizer pamoja na kushambuliwa na risasi na Askari wenzie

Anyongwe mtu aliyemdanganya Simon Sirro hadi akamfukuza Kazi Afande Meshack Samson Laizer pamoja na kushambuliwa na risasi na Askari wenzie

Nikikumbuka kisa alichonifanyia yule rpc wankyo naona police hapa tz ni genge flani tu hivi la watu waliopewa madaraka makubwa bila uelewa vichwani.
 
DiipDaiva mlioko Arusha mitaa ya Picnic mtufungue macho hii kitu
 
Bwana Laizer bora atulie tuli afanye mambo mengine akiafanya utani watamuua. Polisi waone vilevile kwenye maslahi wanakupoteza na kesi juu
 

Geshi Kama Geshi *Jeshi)

Hatari , Waziri Amsaidie

 
Vifo vingi vya polisi huwa ni matokeo ya udhalimu walioufanya
Takuata anapata ugonjwa wahatari
Polisi huwa wanamwisho mbaya zaidi.

Malipo huwa ni hapa hapa duniani
 
Kama tutaendelea na akili ya kuajiri failures ndio kuwa askari wa jeshi la polisi, nchi itaendelea kuwa ya kitumwa hadi mwisho wa Dunia. Tukiajiri vipanga huku polisi, ingawa haitakuwa muarobaini lakini kuna uweledi kidogo utapatikana. Maana hii taasisi kwa sasa mmh, Mungu ndiye ajuae.
 
Alafu inakuaje askari ana gundulika amefanya makosa alafu adhabu anayopewa ni kuhamishwa kituo, kwamba huko anako enda hawezi kufanya uhalifu mwingine?🤔🤔🤔🚶
 
Ukiwa mwadilifu huwezi kudumu kwenye jeshi la Polisi
Huyu Polisi Laizer alistahili kupata kilichompata. Ukiwa mwajiriwa una mipaka na protoko za kufuata. Ukijifanya mjuaji ndio yanatokea hayo. Apambane nayo sasa na sio kulialia kila siku humu JF.
 
Jf ndo jukwaa pekee la kutoa taarifa za siri. Vinginevyo mpe Samia mkononi.
Hiyo nafasi ya kumpa mkononi utaipata wapi? Watu wanaandika barua ikulu na yanatoka majibu mepesi tu.... Eti tunafuatilia basi...
 
Hili ni jukwaa la siasa, vilio vya polisi sio jukwaa hili. Halafu hao viongozi wanaodanganywa tu huwa wanakaa ofisini wakifanya nini?
Wewe unaongozwa na ufuasi wa Chuki zaidi.
Punguza mihemko na jaribu kuutumia ushauri wa mwenyekiti wenu Mbowe.
 
Wewe unaongozwa na ufuasi wa Chuki zaidi.
Punguza mihemko na jaribu kuutumia ushauri wa mwenyekiti wenu Mbowe.

Hasa chuki zangu zinapokuwa dhidi ya mungu wako wa chattle. Mbowe sio mwenyekiti wangu, hivyo awashauri aliowaagiza kuja humu mitandaoni. Ni hivi, hili ni jukwaa la siasa sio la malalamiko ya polisi, hutaki jinyonge.
 
Askari punguzeni vihere here fanyeni kazi kwa sheria na taratibu za kazi zenu acheni kuonekana wazuri kwa wanasiasa.
 
Back
Top Bottom