Anyongwe mtu aliyemdanganya Simon Sirro hadi akamfukuza Kazi Afande Meshack Samson Laizer pamoja na kushambuliwa na risasi na Askari wenzie

Uovu hauna kwao. Raia wamelalamika sana na wamedhulumiwa sana. Sasa uovu umehamia kwa polisi wenyewe.

Huyu ni polisi wa pili baada ya yule wa Mtwara aliyetoa habari za wale waliomuua mfanyabiashara na kisha yeye mwenyewe (kufariki mahabusu kwa kile kilichoelezwa kuwa amejinyonga na dekio).
 
Hapa Tanzania jeshi la polisi ni chafu sana. Kwanini Sirro mpaka leo uko pale hakuna mtu mwingine kwa hicho cheo?
 
Kwahyo unataka kusema mwalifu pia analindwa Kama tkk kesi yangu ya madale
 
Hatar Sana yaan nipokee taarifa kuwa mwanangu kajinyonga na dekio hpn sipokei mwili
 
Anapigana a 'losing battle' ahame aliko ajifiche tayari kuyaanza maisha mapya otherwise atakufa huku anajiona. Police dunia nzima wako hivyo....tatizo LA kuwa na mdomo kazini
 
Anapigana a 'losing battle' ahame aliko ajifiche tayari kuyaanza maisha mapya otherwise atakufa huku anajiona. Police dunia nzima wako hivyo....tatizo LA kuwa na mdomo kazini
Uovu kwao umehalalishwa
 
Hii habari bado vyombo vya usalama vimeshindwa kuchukua hatua pamoja na uonevu wote huu?
 
Waziri Masauni hiki kilio cha siku nyingi ni mara ya pili nasoma uzi humu, hivi Sirro na mabeyo nani mkubwa kiumri haondoki yeye.
 
Duniani hakunaga haki Jamaa watakuja wammalizie kabisa maana anapambana ma mfumo mgumu kama ilivyo mfumo wa ccm kujiweka madarakan hayataki kutoka na ukitaka kuyatoa yanakukuta ya Lissu

Polisi dunian kote wako hivyo wakigundua wewe ni kikwazo kwao utawaweza kwa muda fulani ila bifu lao hata akihama mmoja wanarithishana na wanamtindo wa kukuacha muda mrefu uone bahari iko shwari unaishi kwa amani hata miaka 10 badae kitakacho kukuta Kama hawajakumaliza watahakikisha kuna kesi inakufunga muda mrefu.
 
Hivi kamati ya uchunguzi wa mtwara ilifikia ilishatoa majibu ya kueleweka na wale majambazi wenye manyota wanapelekwa lini mahakamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…