Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Toleo OG zipo ila sio 106 hizo washaachana nazo kabisa na hizi ndo nyingi feki
 
Kumbe ni fekero kudadeq
Kwa wanaojua simu zipo Og bei zinacheza hapo kwenye 40000 na mpaka 45000
Mimi ki ukweli mtoa madam namuona ana nia njema lakin hizo simu za china sio.....
Kama unataka ku experience nenda k.koo hata kesho kanunue inafanania hivyo hivyo utatuma mrejeshi.


Tena mwambie nataka ya bei ya chini...mwambia Nina 25000 akikuchekecha mwambie naongeza 5000.
Baada ya wiki utupe mrejesho.
Namna nzuri ya kufanya research kabla ya kununua mzigo mkubwa either china au Kwa mtu ingia kariakoo tafuta hiyo bidhaa ichek...
Maana 90% ya simu pale viswswad ni chinahiyo 10% ndo za ulaya na Pakistan na India....
Fanya research kaka.
Kinunue kimoja
 
Mfano OPPO wahusika ni kina GSM
 
Mimi niliamua igawa kwa aliyekua ananipa utamu wa bure
 
[emoji120][emoji120] unaakili sana mkuu utafika mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…