Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Mi Dada bhana.....ila nipo mbeya nitatumia njia gani sijui kuupata...au ndo kwa application?
Swali zuri sana dada: unaagiz na silent wanaleta mpaka dar alf watakupigia sim kukutaarifu kwamba mzigo wako umeshakifa kweny ghala zao.waambie upo mkoani watautoza pesa ya usafir mpak mbea hao wenyew watakuletea
 
Mbongo akikwambia jinsi anavo pata pesa au fursa anayo itumia yeye kuwa nae makini uwenda ww ndo fursa.
Nenda ufisin dar unana na agent uchague vitu umpe cash yeye alipie virtual upewe risiti subiri mzigo,

silent ocean wanakwambia ukienda nchi kama china agent wao wanakupokea, ubafunga mzigo wako , ukitaka chimbo lenye mademu wakali wanakuelekeza huku mzigo uko deep see, msitake vitu rahis
 
Back
Top Bottom