Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Karibu Sana Sana, Kanisa langu ni hapa Mburahati NHC! Naishi mtaa wa KanisaniItabidi njaa Kali Mimi nianze kushiriki kwako 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu Sana Sana, Kanisa langu ni hapa Mburahati NHC! Naishi mtaa wa KanisaniItabidi njaa Kali Mimi nianze kushiriki kwako 😂
Hivi ni jumamosi eeh ?Karibu Sana Sana, Kanisa langu ni hapa Mburahati NHC! Naishi mtaa wa Kanisani
Naaaaaam, saa 12 asubuhiHivi ni jumamosi eeh ?
Hii itanishinda nitajitahidi siku moja nisali hapo SDA,Naaaaaam, saa 12 asubuhi
Kwa wasiokunywa chai wapatiwe mvinyo na divaiKila siku nasema ikifika jumamosi lazima niende jumuiya, lakini ikifika jumamosi yenyew nachimba,, Sasa nimefikiria atleast wakiweka utaratibu wa chai nitakua muudhuriaji mzuri sana tena asubuhi na mapema ntakuwa na wahi!