Anzeni kuwekeza kwenye Crypto

Anzeni kuwekeza kwenye Crypto

So Elimu yako unapata wapi ukitoa You tube
Mkuu kuna maandiko mengi yameandikwa unaweza kujifunza online na huhitaji kuwa kwenye groups za hivyo. Pia kuna course zipo unazoweza kununua online na ukaanza kujifunza na kupata maarifa
 
Mkuu kuna maandiko mengi yameandikwa unaweza kujifunza online na huhitaji kuwa kwenye groups za hivyo. Pia kuna course zipo unazoweza kununua online na ukaanza kujifunza na kupata maarifa
Sawa mkuu
 
Sinto kaa nijaribu kiwekeza fedha mitandao, kwasababu bado nina mengi ya kufanya kila ninapo ishika fedha.
Kabisa helà za migandao hakikisha umeshamaliza kufanya kazi zako zingine za MAENDELEO zinazobaki ingiza huko HATA zikipote potelea mbali
 
Cryptos zina risks sana hasa kwa mtu anayeanza.
Kuna watu wamewahi kushawishiwa na kuingia na wakaishia kupata hasara.
Hii doge coin ni kwa sababu maalum na si cryptos zote zipo na bull ambapo kuna zaidi ya cryptos 2,000 ambazo zipo hai.
Mimi ni mmoja wa wawekezaji wa hizi cryptos. Niliingia kwa USD 150, lakini zilikuja kuliwa na kubaki na USD 42 kwa sasa ndo zinapanda baada ya kuvuna vya kutosha kutoka HMSTR na sasa Doge naivuna kwa sasa lakini naomba kusema kiwa usiamini kwa 100% kuwa utapata.
Jambo kubwa ni DYOR
Mimi nanunua USDT 2700 nawauzia wana wa Software kwa 2800

Hata iliposhuka hadi 2430 mimi Rate yangu ilikuwa ni kuuza kwa 2800

Hivyo wadau hapa Aggrey walikuwa wakiniungisha kama kawa
 
Back
Top Bottom