Kafunika miguuHakuna aliyejaribu kumsimamisha? Mbon alipokaa kuna michanga hajafukiwa kweli hapo?
Director hakuitaka script ya namna hiyo kwasababu isingekuwa convicingHakuna aliyejaribu kumsimamisha? Mbon alipokaa kuna michanga hajafukiwa kweli hapo?
Hiyo ilifanyikaga thailand kuna kibopa alikuwa anatapeli watu kwa ku act kama mlemavuKafunika miguu, anadanganya ma ree.
Sanaa tu ,mazingaombwe ,hakuna kwato wala mkia ,utapeli tu ,ukijichanganya kumtafuta mganga aliyefanya hivyo basi utaachwa ferry.Hakuna aliyejaribu kumsimamisha? Mbon alipokaa kuna michanga hajafukiwa kweli hapo?
Hakuna aliyejaribu kumsimamisha? Mbon alipokaa kuna michanga hajafukiwa kweli hapo?
Mauzauza huwa yapo sana kwa wanaotuhumiwa kutembea na wake za watu, wengine hukojoa kamba ndefu, wengine hukojoa petroli ukipiga keberiti alipokojolea nyasi zinawaka
nimewaza hivyo pia ukiitazama vizuri hii video unaona kabisa ni prankHakuna aliyejaribu kumsimamisha? Mbon alipokaa kuna michanga hajafukiwa kweli hapo?
Hakuna kitu hapo Ni video ya tiktok mbona miguu imefukiwa chini !Hiyo ndio komesha yao hao