The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Maigizo ya kitoto sana haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyovyote ilivyo ila nchi za wenzetu ni wachawi sana,nina jamaa yangu Mmalawi aliniambia kwao mtu akiibiwa haangaiki na police anachofanya anatafuta mganga mzuri kwa shida atakazompa mwizi wake itabidi aende mwenyewe kituoni kuomba serikali itangaze aliyeibiwa aende akafungue mashtaka ili apate wasaa wa kumuomba msamaha.Kafunika miguu, anadanganya ma ree.
Ukaamini?Vyovyote ilivyo ila nchi za wenzetu ni wachawi sana,nina jamaa yangu Mmalawi aliniambia kwao mtu akiibiwa haangaiki na police anachofanya anatafuta mganga mzuri kwa shida atakazompa mwizi wake itabidi aende mwenyewe kituoni kuomba serikali itangaze aliyeibiwa aende akafungue mashtaka ili apate wasaa wa kumuomba msamaha.
Ni kweli huyu jamaa ni kama amefunika miguu mchangani mbona hawamnyanyuiKafunika miguu, anadanganya ma ree.
dudu zao Zina maziwa..Huyo ndiye mmoja wao wa wale wakiambiwa mke wa mtu sumu hujibu dudu zao Zina maziwa..hehe uchikolii
Hii mbona imekaa kama loya tua?Mtu mmoja raia wa zimbabwe, azua taharuki mjini baada ya kuonekana akiwa na kwato za ng'ombe na mkia baada ya kutuhumiwa kutembea na mke wa mtu.
Wazee mke wa mtu ni sumu.
Katika nchi zenye waganga wakali zimbabwe, Nigeria, Kenya, DRC, so usijaribu.
VIDEO
UsaniiKafunika miguu, anadanganya ma ree.
Ah huo ulozi Safi kabisaa..Mauzauza huwa yapo sana kwa wanaotuhumiwa kutembea na wake za watu, wengine hukojoa kamba ndefu, wengine hukojoa petroli ukipiga keberiti alipokojolea nyasi zinawaka
Malawi
Nikajua ndo hukoMalawi