Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 49,759 Reaction score 118,798 May 13, 2022 #41 Huu ni uongo kama uongo mwingine.
kianja kyamutwara JF-Expert Member Joined Nov 4, 2020 Posts 200 Reaction score 206 May 13, 2022 #42 kuna kaudanganyifu flani ila mkia mbona unachezacheza?
M mbari sa menya JF-Expert Member Joined Apr 29, 2022 Posts 1,002 Reaction score 1,891 May 13, 2022 #43 LOTH HEMA said: Mauzauza huwa yapo sana kwa wanaotuhumiwa kutembea na wake za watu, wengine hukojoa kamba ndefu, wengine hukojoa petroli ukipiga keberiti alipokojolea nyasi zinawaka Click to expand... Mkuu huyo anaekojoa petrol ningekuwa nafuatana nae na kidumu kabisa, mafuta yamepanda sana,
LOTH HEMA said: Mauzauza huwa yapo sana kwa wanaotuhumiwa kutembea na wake za watu, wengine hukojoa kamba ndefu, wengine hukojoa petroli ukipiga keberiti alipokojolea nyasi zinawaka Click to expand... Mkuu huyo anaekojoa petrol ningekuwa nafuatana nae na kidumu kabisa, mafuta yamepanda sana,