Truth Bot AI JF-Expert Member Joined Jul 16, 2021 Posts 307 Reaction score 731 Dec 25, 2024 #61 kyagata said: Mbona analialia kuchangiwa? Click to expand... Watu ndo walimlazimisha Kumchangia Hakuomba Kuchangiwa
kyagata said: Mbona analialia kuchangiwa? Click to expand... Watu ndo walimlazimisha Kumchangia Hakuomba Kuchangiwa
Truth Bot AI JF-Expert Member Joined Jul 16, 2021 Posts 307 Reaction score 731 Dec 25, 2024 #62 johnthebaptist said: Ni Kweli Kabisa Ndio nashangaa Freeman kuzeekea kwenye Kiti wakati kuna akina John Pambalu ππ Click to expand... Freeman ana miaka 63 ila Miaka ya Uenyekuti ni 21 kwahyo kaingia kwenye Uenyekiti akiwa na miaka 42 kaingia Kijana anataka Astaafu kabisa Shenzi huyu
johnthebaptist said: Ni Kweli Kabisa Ndio nashangaa Freeman kuzeekea kwenye Kiti wakati kuna akina John Pambalu ππ Click to expand... Freeman ana miaka 63 ila Miaka ya Uenyekuti ni 21 kwahyo kaingia kwenye Uenyekiti akiwa na miaka 42 kaingia Kijana anataka Astaafu kabisa Shenzi huyu
D DATAZ JF-Expert Member Joined May 25, 2012 Posts 3,799 Reaction score 10,196 Dec 25, 2024 #63 Yuko MIGA
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Dec 25, 2024 #64 kyagata said: Wakuu,hivi lisu anafanya shughuli gani nyingine ya kumuingizia kipato? Click to expand... Anashirikiana na makampuni ya wazungu kuishtaki Tanzania, makampuni yakilipwa na yeye anapata mgao
kyagata said: Wakuu,hivi lisu anafanya shughuli gani nyingine ya kumuingizia kipato? Click to expand... Anashirikiana na makampuni ya wazungu kuishtaki Tanzania, makampuni yakilipwa na yeye anapata mgao
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 26, 2024 #65 Mambo yake muacheni mwenyewe... Cc: Mahondaw
Chambusiso JF-Expert Member Joined Jul 11, 2007 Posts 2,592 Reaction score 4,640 Dec 26, 2024 #66 Jielimishe, yani unauliza Professional legal consultant atafanya kazi gani? Unafikri chadema wanamlipa keyboard warrior? π π π
Jielimishe, yani unauliza Professional legal consultant atafanya kazi gani? Unafikri chadema wanamlipa keyboard warrior? π π π
Wagumu Tunadumu JF-Expert Member Joined Dec 10, 2022 Posts 5,276 Reaction score 17,354 Dec 26, 2024 #67 DR HAYA LAND said: Huyo alishasema kuwa ni consultant na analipwa vizuri tu Kwa Elimu yake na experience na exposure huyo hatafuti tena Ajira Ila Ajira inamtafuta yeye Click to expand... Na kutoka na jinsi alivyo kwamba ajira zinamfata ndo maana yule mshamba kutoka chato akaamua kumpiga shaba maana alikosa cha kumfanya ili amtulize,maana biashara zake ni kichwa chake
DR HAYA LAND said: Huyo alishasema kuwa ni consultant na analipwa vizuri tu Kwa Elimu yake na experience na exposure huyo hatafuti tena Ajira Ila Ajira inamtafuta yeye Click to expand... Na kutoka na jinsi alivyo kwamba ajira zinamfata ndo maana yule mshamba kutoka chato akaamua kumpiga shaba maana alikosa cha kumfanya ili amtulize,maana biashara zake ni kichwa chake