Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #361
Pamoja sana mkuuleadermoe, japo kapotea siku hizi, chalii ya chuga Chaliifrancisco nakubali ucheshi wake, mzee wetu Ushimen ni 🔥🔥
👉Bila kumsahau King Kong III
Shukrani sana mkuu.
Ila hujasema kwanini😉😉
Daaaahhh😂😂😂😂😂😂😂 nmecheka baada ya kujaribishia kuisema hiyo “oh”😂😂😂😂 na wewe sasa ulivo eti “umechoka mwamba? Mbona oh, vipi,😂😂😂😂😂😂😂umechoka mwamba? mbona(oh)vipi😕?
Miss yah broo leadermoe, rip 🙏Asante sana Intelligent businessman
Nashukuru sana kwa kunitambua kama mmoja ya watu unaowafatilia hapa Jf. Much respect bro.
Jumamosi hii naanza awamu ya pili ya ule mkasa, ni moto sana usipange kukosa.
Kuna dili bro, kuna mong'oo kachijanganya hapa, vip lile kosi lako la panga begani roho mkono liko gado nikupe tenda?