Apart from yourself, who else is your favorite character on JamiiForums and why?

Aaargh turudie ana vuta mabhangi yule huwa hata sielewi alishikaje shikaje mimba. Ila hafai kukaa na mtoto kabisa. Sometime dish lake halishiki network kabisa.... basi tu watu tunavulia mengi. Mtu unawaza nilianzaje kupiga sehemu flani bila gum boot. Anyway ndo maisha. Sisi watu genius huwa tunaangukia sehemu za kushangaza sana.
 
Mfanyabiashara Wa Madini Mmoja Aligundua Kuwa Kuna Panya Ndani Ya Nyumba Yake Kameza ALMASI

Akamwita Muwindaji Aje Aue Panya Ili Aipate ALMASI Yake.... . Muwindaji Akamwaga Chakula Wanachopenda Sana Panya, Panya Wote Wakaja Kula Isipokuwa Panya Mmoja Tu Alikss Pembeni

Muwindaji Akamuua Yule Panya Aliejitenga Na Akampasua TUMBO, Akaikuta ALMASI na Kumpa Mhusika...

Mfanyabiashara Alishangaa Sana Kisha Akamuuliza Yule Mwindaji! ....Je, Ulijuaje Kama Yule Panya Aliejitenga Ndo Aliemeza ALMASI?

Mwindaji Akacheka Kwa Dharau Na Kusema " Mpumbavu Yeyote Akitajirika Huwa Anajitenga Na Ndugu Zake" ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜
Lenie, mshamba_hachekwi, National Anthem, To yeye, Mzee wa kupambania, Mjep, Unique Flower, Nuzulati
๐Ÿ‘‰ I mean no malice to nobody
 
Yeah,usijitenge nasi.....we need you Boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ