Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Intelligent businessman unawivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikate inakuhusu nini acha muke ya watuSikuona bhana???
AiseeMambo Binti Maua 🤒😂
Wivu wa nini, nani na kwanini😁😂 Unique Flower
Umetoa ile ile post niliotoa yanguWivu wa nini, nani na kwanini😁😂 Unique Flower
Angalia tarehe bhana, mi yangu Ina zungumzia both genders.Umetoa ile ile post niliotoa yangu
Nani kaomba umsamehe😁😂, jipeni Moyo 🤣😂Shoga angu nakupenda wala usijali nimemchambaga hadi nimeombwa nimsamehe
Nilifuatwa pm nikaombwa nisikuseme nakudhalilisha nawazee wako so kaa kwakutuliaNani kaomba umsamehe😁😂, jipeni Moyo 🤣😂
Nani Ali kufata pm😁😂, hebu wataje😁😂Nilifuatwa pm nikaombwa nisikuseme nakudhalilisha nawazee wako so kaa kwakutulia
NakaziaNani Ali kufata pm😁😂, hebu wataje😁😂
We Unique Flower Sema hao walio pm, ili USI nitukane au kunizungumzia vibaya.Nakazia
Twende tukalewe wote usiniache tasavali 🤣🤣We Unique Flower Sema hao walio pm, ili USI nitukane au kunizungumzia vibaya.
👉Aisee nitalewa Kama konde boy leo😂😂😂, Lenie
Acha waje kusema, sio Wana jazana ujinga😂😂😂 Unique FlowerTwende tukalewe wote usiniache tasavali
Watu waongo sanaAcha waje kusema, sio Wana jazana ujinga😂😂😂 Unique Flower
Mimi jamani, nime ombewa msamaha😂😂😂.Watu waongo sana
Ni kweli hadi nasimu sijui wamepata wapi walinitumia hela nisikuseme ndio maana niliacha kukutania vijana 3 mwanamke mmoja unanidhalilishia mume wangu unataka niniMimi jamani, nime ombewa msamaha😂😂😂.
👉 Unique Flower SI uje useme ulivyo tumwa😂😂😂, au mna hisi namuwaza😂