mmewadadako
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 534
- 844
-Apartment iko posta ghorofa ya 10s
-Ukiwa kwenye apartment unaitazama bahari kwa upande mmoja kwa upande mwingine unautazama mji kwa ufasaha kabisa
-Ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni masterbedroom (kina choo ndani)
-Sebule( sitting room)
-Dinning (sehemu ya kulia)
-Washroom (sehemu ya kufulia)
-Public toilet ( choo cha jumuia)
-Kitchen( jiko)
-Store( stoo)
-Balcony( bakoni kwa ajili ya kuanikia nguo au kupumzika upenuni)
VITU VINGINE
-Air condition (AC)
-Makabati ya ukutani jikoni
-Mashine ya kufulia
-Vitanda
-Kabati
-Meza ya dinning na viti
-Tv
-Taa za kupendeza
-na vitu vingine vingi
Kiufupi imekamilika ukinunua unakuta kila kitu ndani unahamia na begi lako tu basi. Kila kitu utakikuta hapo
UMILIKI
Apartment inamilikiwa kihalali, mnunuzi atakaponunua atapewa legal documents za umiliki na hatua zote za kubadilisha umiliki zitafuatwa
BEI
-200,000 Usd ambayo kwa pesa ya kitanzania ni Tsh 460,000,000 ( milioni mia nne na sitini tu )
MAWASILIANO
0738 783 625/0765 494 548
Karibuni sana na akhsante
Sent using Jamii Forums mobile app
-Ukiwa kwenye apartment unaitazama bahari kwa upande mmoja kwa upande mwingine unautazama mji kwa ufasaha kabisa
-Ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni masterbedroom (kina choo ndani)
-Sebule( sitting room)
-Dinning (sehemu ya kulia)
-Washroom (sehemu ya kufulia)
-Public toilet ( choo cha jumuia)
-Kitchen( jiko)
-Store( stoo)
-Balcony( bakoni kwa ajili ya kuanikia nguo au kupumzika upenuni)
VITU VINGINE
-Air condition (AC)
-Makabati ya ukutani jikoni
-Mashine ya kufulia
-Vitanda
-Kabati
-Meza ya dinning na viti
-Tv
-Taa za kupendeza
-na vitu vingine vingi
Kiufupi imekamilika ukinunua unakuta kila kitu ndani unahamia na begi lako tu basi. Kila kitu utakikuta hapo
UMILIKI
Apartment inamilikiwa kihalali, mnunuzi atakaponunua atapewa legal documents za umiliki na hatua zote za kubadilisha umiliki zitafuatwa
BEI
-200,000 Usd ambayo kwa pesa ya kitanzania ni Tsh 460,000,000 ( milioni mia nne na sitini tu )
MAWASILIANO
0738 783 625/0765 494 548
Karibuni sana na akhsante
Sent using Jamii Forums mobile app