House4Sale Apartment inauzwa kwa bei ya promosheni

House4Sale Apartment inauzwa kwa bei ya promosheni

okay mkuu ..just opinion

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mfanyabiashara, sitaki kukuharibia biashara yako.

Usiite post yangu "just opinion" wakati habari zote nilizoandika zipo mtandaoni.

Sijisikii kuutoa uzi huu kwenye maudhui yako ya kuuza apartment na kuanza kubishana nawe point by point kuhusu mambo niliyoandika.

Lakini, ukitaka niende huko naweza.

Mimi siandiki kitu nisichokijua, hiyo market ya kimataifa naijua, kwa sababu nishanunua nyumba na kusaidia watu kununua nyumba.
 
Wewe mfanyabiashara, sitaki kukuharibia biashara yako.

Usiite post yangu "just opinion" wakati habari zote nilizoandika zipo mtandaoni.

Sijisikii kuutoa uzi huu kwenye maudhui yako ya kuuza apartment na kuanza kubishana nawe point by point kuhusu mambo niliyoandika.

Lakini, ukitaka niende huko naweza.

Duh!

Mazee, kwani kakosea kusema kwamba ulichoandika is ‘just an opinion’?

Easy man...
 
Duh!

Mazee, kwani kakosea kusema kwamba ulichoandika is ‘just an opinion’?

Easy man...
First of all that was some lazy ass retort.

Ukiniambia nimeandika "just an opinion" you better be specific.

Otherwise it sounds like mtu anaye deflect criticism.
 
Would you cop that crib?

Me? No, I wouldn’t.

One, because I know better. And if you know better, you do better. I try to live by that maxim.

Two, you spoke of international standards and all that. I know what you meant by that. Obviously, for that price or thereabouts, you can get a very decent townhome or condo, in the suburbs of many major US cities where you won’t have to worry much whether the fire hydrant by the curb works or not, etc.

Three, you touched on the size in terms of sq. ft. It looks kinda small to me. But looks alone can be deceiving at times.

Four, I wouldn’t wanna live in a high rise apartment in Tanzania, mainly for safety reasons. I’d be too paranoid. I wouldn’t have my peace of mind.

Five, for that price, I think they can do a tad better on the appliances. Saw an old looking microwave, refrigerator. Did you see a dishwasher....things which a lot builders [in the US] provide. Newer appliances would be attractive.

I could go on and on, but I’m not here to ruin someone’s hustle.

Btw, I’m a huge fan of house hunters international.
 
Me? No, I wouldn’t.

One, because I know better. And if you know better, you do better. I try to live by that maxim.

Two, you spoke of international standards and all that. I know what you meant by that. Obviously, for that price or thereabouts, you can get a very decent townhome or condo, in the suburbs of many major US cities where you won’t have to worry much whether the fire hydrant by the curb works or not, etc.

Three, you touched on the size in terms of sq. ft. It looks kinda small to me. But looks alone can be deceiving at times.

Four, I wouldn’t wanna live in a high rise apartment in Tanzania, mainly for safety reasons. I’d be too paranoid. I wouldn’t have my peace of mind.

Five, for that price, I think they can do a tad better on the appliances. Saw an old looking microwave, refrigerator. Did you see a dishwasher....things which a lot builders [in the US] provide. Newer appliances would be attractive.

I could go on and on, but I’m not here to ruin someone’s hustle.
Exactly.

I know we risk sounding snobbish and all, but there is no progress without constructive criticism.

People should take notes and watch how other places can afford to raise standards at a reasonable cost.
 
Nime uninstall na ku install upya.

Si tu picha bado hazionekani, sasa hii installation mpya imeleta tatizo jioya, uodates za mwisho naona ni za September 22 2019.

Baada ya hapo sioni notification updates!

It made the app even worse.



Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu kujihangaisha maana hata ukuona picha hutonunua huu mzigo utaishia kuumiza roho tu kama wengine humu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tu kujihangaisha maana hata ukuona picha hutonunua huu mzigo utaishia kuumiza roho tu kama wengine humu!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Don't turn my inner Kiduku Lilo on!

Picha nimeona kwenye laptop na siwezi kununua hiyo apartment kwa sababu mimi naenda na standards za kimataifa na hiyo apartment haijafikia standards za kimataifa.

Haitoshi hata kuwekea viatu vyangu na makabati yangu 30 ya vitabu!

Siwezi kuumiza roho kwa apartment hii.Kwanza sina hulka ya kuumizwa roho kwa material things, pili nina nyumba nzuri zaidi ya hii kwenye megacity ughaibuni.

Watu wanaojua nazungumzia standards za kimataifa zipi kama Nyani Ngabu washanielewa.

Si lazima kila mtu anielewe, kwa sababu watu wengine hawajui hizo standards za kimataifa.

Na kwao inaweza kuwa sawa tu kununua hiyo apartment.
 
Don't turn my inner Kiduku Lilo on!

Picha nimeona kwenye laptop na siwezi kununua hiyo apartment kwa sababu mimi naenda na standards za kimataifa na hiyo apartment haijafikia standards za kimataifa.

Haitoshi hata kuwekea viatu vyangu na makabati yangu 30 ya vitabu!

Siwezi kuumiza roho kwa apartment hii.Kwanza sina hulka ya kuumizwa roho kwa material things, pili nina nyumba nzuri zaidi ya hii kwenye megacity ughaibuni.

Watu wanaojua nazungumzia standards za kimataifa zipi kama Nyani Ngabu washanielewa.

Si lazima kila mtu anielewe, kwa sababu watu wengine hawajui hizo standards za kimataifa.

Na kwao inaweza kuwa sawa tu kununua hiyo apartment.
mkuu tusamehe kama tumekukwaza mahali,,peace mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu tusamehe kama tumekukwaza mahali,,peace mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo tu hujanikwaza, huwezi kunikwaza, yaani kuna level fulani ya akili ya kuweza kunikwaza hujaweza kufikia.

Nilikuwa namjibu huyo, wewe nilishaachana nawe.

Na wewe mfanyabiashara.Mimi mtoto wa mjini, naelewa biashara.

Hapo Posta unapopataja kuuza apartment, familia yangu imemaliza kujenga nyumba hapo tangu mwaka 1903, na hiyo ni iliyopo kwenye record tu, kuna nyingine za kabla ya hapo sizijui.

Nishasema nilichotaka kusema na sina lengo la kujibizana na wewe zaidi hapa, maana naona kama naweza kukuharibia biashara yako.

Peace!
 
Siyo tu hujanikwaza, huwezi kunikwaza, yaani kuna level fulani ya akili ya kuweza kunikwaza hujaweza kufikia.

Nilikuwa namjibu huyo, wewe nilishaachana nawe.

Na wewe mfanyabiashara.Mimi mtoto wa mjini, naelewa biashara.

Hapo Posta unapopataja kuuza apartment, familia yangu imemaliza kujenga nyumba hapo tangu mwaka 1903, na hiyo ni iliyopo kwenye record tu, kuna nyingine za kabla ya hapo sizijui.

Nishasema nilichotaka kusema na sina lengo la kujibizana zaidi hapa, maana naona kama naweza kukuharibia biashara yako.

Peace!
Mbona una majigambo sana na dharau wewe jamaa? Hivi hujioni! Talk is cheap! Weka basi nyumba yako au chichote cha maana unachodai kumiliki tuone kama ni kweli. Una dharau sana wewe mtu. Siku zote Unajiona wewe ni bora kuliko mtu yeyote kwa kila kitu. Nashangaa kama ni mtu wa ways and means kama unavyodai kwa nini kutwa upo humu JF kuperuzi nyuzi na kutembeza dharau zako. Watu wenye level hiyo unayodai si tu hawana muda huo, hata tabia hiyo hawana.
 
Mbona una majigambo sana na dharau wewe jamaa? Hivi hujioni! Talk is cheap! Weka basi nyumba yako au chichote cha maana unachodai kumiliki tuone kama ni kweli. Una dharau sana wewe mtu. Siku zote Unajiona wewe ni bora kuliko mtu yeyote kwa kila kitu. Nashangaa kama ni mtu wa ways and means kama unavyodai kwa nini kutwa upo humu JF kuperuzi nyuzi na kutembeza dharau zako. Watu wenye level hiyo unayodai si tu hawana muda huo, hata tabia hiyo hawana.

Yo Njabu....come on and let’s shoot the fair one 🤛.

Me and you....mano a mano.
 
Ghorofa ya kumi mbali Sana. Huwezi kukaa na watoto huko. Price ilitakiwa iwe Chini kidogo
 
Ghorofa ya kumi mbali Sana. Huwezi kukaa na watoto huko. Price ilitakiwa iwe Chini
Hahahaaa,

Umenikumbusha Dada mmoja New York City.

Alikuwa anakaa apartment ghorofani, ghorofa ya 14.

Kila nikimtembelea alikuwa analalamika anasema ghorofa ya 14 si natural kwa mtu kukaa, kila akijifikiria yuko juu vile anapata kizunguzungu bila hata ya kuangalia chini..
 
Back
Top Bottom