House4Sale Apartment inauzwa kwa bei ya promosheni

House4Sale Apartment inauzwa kwa bei ya promosheni

Hahahaaa,

Umenikumbusha Dada mmoja New York City.

Alikuwa anakaa apartment ghorofani, ghorofa ya 14.

Kila nikimtembelea alikuwa analalamika anasema ghorofa ya 14 si natural kwa mtu kukaa, kila akijifikiria yuko juu vile anapata kizunguzungu bila hata ya kuangalia chini..
Sure ghorofa ya kumi NI mbali sana. Mimi personally Siwezi kukaa ghorofa ya kumi hata Kwa kulipwa.

I am " Aerophobic".
 
He’s one of the very few that I’ve managed to ignore without consigning him to the ignore list 😄
More power to you.I do not even attempt to start the process for that effort.

Part of the reason is I might easily get caught up in the back and forth mano a mano combat.

So once I know someone is a flat earth bullshitter, I just relegate to the ignore list.

Why even bother with courtesy to a clear flat earth bullshiter?

I see that as lowering the commonly accepted threshold for sensible discussion at my level.

Discussion will only legitimaze him.And his lavatory products.

Some trolls would just troll for getting the visibility of debating you, to their flat earth vile excrement.
 
Ghorofa ya kumi mbali Sana. Huwezi kukaa na watoto huko. Price ilitakiwa iwe Chini kidogo

Yes, hususan watoto wadogo wa umri kuanzia mwaka mmoja hadi miaka 9.

Vitoto vidogo huwa ni vitundu sana. Kitoto cha miaka miwili kinaweza kikatoka nje kwenye balcony na kuleta majanga.

Maghorofani si kwa kuishi na watoto wadogo.

Binafsi, ninaogopa heights. Wataalamu wanaiita ni acrophobia.
 
Yes, hususan watoto wadogo wa umri kuanzia mwaka mmoja hadi miaka 9.

Vitoto vidogo huwa ni vitundu sana. Kitoto cha miaka miwili kinaweza kikatoka nje kwenye balcony na kuleta majanga.

Maghorofani si kwa kuishi na watoto wadogo.

Binafsi, ninaogopa heights. Wataalamu wanaiita ni acrophobia.
Inahitaji ujasiri WA kipekee kuishi ghorofa ya kumi. I am acrophobic too. Ghorofa ya nne tu Siwezi kuishi seuze ghorofa ya kumi. Tena ghorofa zenyewe za kujengwa na mchina!

Tafadhali sana
 
Kwa watu walio katika market ya kimataifa hii apartment ni underwhelming.

1. It is very basic by international standards.

It does not appear to be spacious. What is the size?

2. It is on a par with some apartments in the vicinity of some major cities (take Miami Florida for exampke), where there are more amenities (swimming pools, gyms etc)and services. If you watch shows like "House Hunters" or its International vwrsionyou will know what I am saying.

One can get a three floors condo or townhouse, around 2,500 sq ft, just outside of Philadelphia for just about that much.

3. The Tanzanian economy and governmental outlook on trade/ real estate is neither stable nor clear. Things go by whims and fits.

4. Real Estate prices are bound to fall further, if one is not in a hurry, one could wait.

5.I do realize not everyone is interested in the international market or has access to it, and some peoole are more interested in the domestic market. I am just pointing out a cimparison and equating value for money.

6. The location is the most attractive part if this deal. One could even make this an AirBnB or rent it out to international clients doing business in downtown Dar, who do want to have a hime like environment rather than a hotel.

7. The furniture is rather basic, it could be better than that.

8. The interior can use a bit if decoration. Perhaps that is keft for the owners touch.

9.Genuine questiin. Are there fire brigade trucks with equipment to extinguish a fire on the 10th floor in Dar?

10. The exact location would be nice.

Sent using Jamii Forums mobile app


Rafiki ulisomea u-oudita...!!??? Au uchambuzi yakinifu?

Wawezya bhabhaa.
 
Sure ghorofa ya kumi NI mbali sana. Mimi personally Siwezi kukaa ghorofa ya kumi hata Kwa kulipwa.

I am " Aerophobic".
Nakuelewa sana mkuu, nakuelewa sana.

Ingawa mimi nishawahi kufanya kazi ghrofa ya 17 Wall St. na nilikuwa nikipanda juu hata sikumbuki kwamba niko ghrofa ya 17.

Kimbembe siku moja tulikuwa na fire drill ya ghafla, tunatakiwa kutumia ngazi wote.

Nikasema poa, nikashuka chini kwa kukimbia.Ilikuwa muda karibu wa kuondoka kwenda nyumbani kutoka kazini.

Tatizo niliacha begi langu juu, ikabidi nilirudie kabla ya kurudi nyumbani.

Ghorofa 10 za mwanzo zilikuwa hazina shida. Kutoka hapo kufika ghorofa ya 17 ilikuwa inabidi kuzisikilizia.
 
Siyo tu hujanikwaza, huwezi kunikwaza, yaani kuna level fulani ya akili ya kuweza kunikwaza hujaweza kufikia.

Nilikuwa namjibu huyo, wewe nilishaachana nawe.

Na wewe mfanyabiashara.Mimi mtoto wa mjini, naelewa biashara.

Hapo Posta unapopataja kuuza apartment, familia yangu imemaliza kujenga nyumba hapo tangu mwaka 1903, na hiyo ni iliyopo kwenye record tu, kuna nyingine za kabla ya hapo sizijui.

Nishasema nilichotaka kusema na sina lengo la kujibizana na wewe zaidi hapa, maana naona kama naweza kukuharibia biashara yako.

Peace!

Haki, umenifanya ni gugo houses in Posta Dar es Salaam in 1903....
 
Nakuelewa sana mkuu, nakuelewa sana.

Ingawa mimi nishawahi kufanya kazi ghrofa ya 17 Wall St. na nilikuwa nikipanda juu hata sikumbuki kwamba niko ghrofa ya 17.

Kimbembe siku moja tulikuwa na fire drill ya ghafla, tunatakiwa kutumia ngazi wote.

Nikasema poa, nikashuka chini kwa kukimbia.Ilikuwa muda karibu wa kuondoka kwenda nyumbani kutoka kazini.

Tatizo niliacha begi langu juu, ikabidi nilirudie kabla ya kurudi nyumbani.

Ghorofa 10 za mwanzo zilikuwa hazina shida. Kutoka hapo kufika ghorofa ya 17 ilikuwa inabidi kuzisikilizia.

Kuhusu fire drills...we have them at least twice a year at my job.

Sasa siku moja tulikuwa nayo. Nilipokuwa nje ya jengo kwenye evacuation assembly area nikawa nachat na mtu bongo.

Nikamwambia tumetoka nje. Tuna fire drill.

Akaniuliza ndo nini hiyo? Mind you, huyo mtu anafanya kazi kwenye ‘corporate Tanzania’ [for lack of a better term].

Nikamwuliza kama na wao huwa wana kitu kama hicho. Akasema ndo anakisikia kwa mara ya kwanza!

Nikaishia kusikitika tu. Imagine moto utokee kwenye moja ya hayo majengo marefu ya Dar nyakati za kazi..halafu watu hawajawahi hata kuwa na fire drills...
 
NI hatari Sana. Honestly kununua apartment ya ghorofa ya kumi kibongo bongo Kwa mil 460, tunadanganyana

Nakuelewa sana mkuu, nakuelewa sana.

Ingawa mimi nishawahi kufanya kazi ghrofa ya 17 Wall St. na nilikuwa nikipanda juu hata sikumbuki kwamba niko ghrofa ya 17.

Kimbembe siku moja tulikuwa na fire drill ya ghafla, tunatakiwa kutumia ngazi wote.

Nikasema poa, nikashuka chini kwa kukimbia.Ilikuwa muda karibu wa kuondoka kwenda nyumbani kutoka kazini.

Tatizo niliacha begi langu juu, ikabidi nilirudie kabla ya kurudi nyumbani.

Ghorofa 10 za mwanzo zilikuwa hazina shida. Kutoka hapo kufika ghorofa ya 17 ilikuwa inabidi kuzisikilizia.
[/QUOTEHaata
 
Kuhusu fire drills...we have them at least twice a year at my job.

Sasa siku moja tulikuwa nayo. Nilipokuwa nje ya jengo kwenye evacuation assembly area nikawa nachat na mtu bongo.

Nikamwambia tumetoka nje. Tuna fire drill.

Akaniuliza ndo nini hiyo? Mind you, huyo mtu anafanya kazi kwenye ‘corporate Tanzania’ [for lack of a better term].

Nikamwuliza kama na wao huwa wana kitu kama hicho. Akasema ndo anakisikia kwa mara ya kwanza!

Nikaishia kusikitika tu. Imagine moto utokee kwenye moja ya hayo majengo marefu ya Dar nyakati za kazi..halafu watu hawajawahi hata kuwa na fire drills...


Do you allow me to challenge you???

Before saying yes,

Unakumbuka in UK kuna ghorofa liliungua usiku sikumbuki lini Ila miaka kadhaa imepita na ilikuwa inaoneshwa live...

Fire rescue zilikiwa hafifu 80% ya wakazi walikufa. Nilijiuliza, huko UK ambako teknolojia iko juu na usasa hawakufanikiwa kuokoa maisha ya watu na moto ulikuwa mkubwa rescue team walihangaika siku mbili kuokoa, ilikuwa mbaya sababu watu wengine walikuwa wanaruka madirishani mind you ni mbali akifika chini ni maiti....

Ije kiwa TZ ghorofa ya 18 hadi chini sio tuu hakuna hizo kujiandaa na tahadhari iwapo moto utatokea bali, miundombinu ya magorofa ni mibovu siku nyingine maji hakuna (vyoo vinakuwa hatarishi kwa afya) siku nyingine lifti hazifanyi kazi au zinafault ya kusimama kila ghorofa, siku nyingine mfumo wa AC unazima haufanyi kazi, na hakuna namna ya kufungua madirisha joto balaa, siku nyingine umeme unaleta mashokolo mageni milango inajiloki....

Na watu bado wanaamka kuja kazini kila siku na wengine wanakaa hadi late hours kumalizia kazi.

Whatever you answer, right back at you American budget times.
 
Mkuu hata notifications za PM mpya sipati sasa, ni kama notifications zote zimeishia September 22 2019.

Sasa notifications mpya zaidi ya hapo inabidi niangalie kwenye laptop.

Kwenye app picha hazionekani hata ukituma PM.

Picha nimeziona tayari kwenye laptop.
kama unatumia Android,uninstall hiyo app na upakue apk ya JF kwenye google search na uruhusu simu kuinstall app from unknown sources,mimi nilifanya hivyo now napata notification
 
Do you allow me to challenge you???

Before saying yes,

Unakumbuka in UK kuna ghorofa liliungua usiku sikumbuki lini Ila miaka kadhaa imepita na ilikuwa inaoneshwa live...

Fire rescue zilikiwa hafifu 80% ya wakazi walikufa. Nilijiuliza, huko UK ambako teknolojia iko juu na usasa hawakufanikiwa kuokoa maisha ya watu na moto ulikuwa mkubwa rescue team walihangaika siku mbili kuokoa, ilikuwa mbaya sababu watu wengine walikuwa wanaruka madirishani mind you ni mbali akifika chini ni maiti....

Ije kiwa TZ ghorofa ya 18 hadi chini sio tuu hakuna hizo kujiandaa na tahadhari iwapo moto utatokea bali, miundombinu ya magorofa ni mibovu siku nyingine maji hakuna (vyoo vinakuwa hatarishi kwa afya) siku nyingine lifti hazifanyi kazi au zinafault ya kusimama kila ghorofa, siku nyingine mfumo wa AC unazima haufanyi kazi, na hakuna namna ya kufungua madirisha joto balaa, siku nyingine umeme unaleta mashokolo mageni milango inajiloki....

Na watu bado wanaamka kuja kazini kila siku na wengine wanakaa hadi late hours kumalizia kazi.

Whatever you answer, right back at you American budget times.

NI risk Sana.

Kununua apartment ghorofa ya kumi in a third world country like Tanzania Kwa Tshs Mil.460 ni uwendazimu WA kiwango cha lami.
 
kama unatumia Android,uninstall hiyo app na upakue apk ya JF kwenye google search na uruhusu simu kuinstall app from unknown sources,mimi nilifanya hivyo now napata notification
Asante sana.

Nime

1.Uninstall JF app.
2. Searched and downloaded JF app from apkpure.com version ni v8.0.48
3.Nimeenable installing apks
4.Nime install hiyo apk
5.Bado tatizo la kuona notifications za mwisho 22 September 2019 liko pale pale
6. Bado picha hazionekani.

Wewe app yako version gani? It should be in settings.

Labda kuna apk mpya zaidi ya hii?
 
Back
Top Bottom