SiaminiHizi mambo zipo sema ni kukaza fuvu tu
Surely bro! Ungo unapaaje? Tuache story za, kitotoMwanamke mmoja amekutwa akiwa mtupu katika ofisi za TANESCO manispaa ya songea mkoani Ruvuma, mwanamke huyo inadaiwa alikua akisafiri kwa UNGO akitokea mkoani Mtwara na akielekea Nyasa lakin hakufanikiwa na mwishowe kuanguka katika ofisi izo za TANESCO majira ya saa9 usiku.
Duuh kumbe haya mambo yapo kabisa wakuu....sasa sijui ndege ya bidada ilipata itilafu gani au wese liliisha!
Siku ukila tukio utakubaliSiamini
Acha uongo. Kama ni kweli weka picha mjongeo(video) ikionyesha alipokuwa angani akiruka kabla ya kuangukaMwanamke mmoja amekutwa akiwa mtupu katika ofisi za TANESCO manispaa ya songea mkoani Ruvuma, mwanamke huyo inadaiwa alikua akisafiri kwa UNGO akitokea mkoani Mtwara na akielekea Nyasa lakin hakufanikiwa na mwishowe kuanguka katika ofisi izo za TANESCO majira ya saa9 usiku.
Duuh kumbe haya mambo yapo kabisa wakuu....sasa sijui ndege ya bidada ilipata itilafu gani au wese liliisha!
Skylar yule shangazi yangu Yuko huku JamiiForums ana trend 📈 📈 graph zàke zinapanda tuMwanamke mmoja amekutwa akiwa mtupu katika ofisi za TANESCO manispaa ya songea mkoani Ruvuma, mwanamke huyo inadaiwa alikua akisafiri kwa UNGO akitokea mkoani Mtwara na akielekea Nyasa lakin hakufanikiwa na mwishowe kuanguka katika ofisi izo za TANESCO majira ya saa9 usiku.
Duuh kumbe haya mambo yapo kabisa wakuu....sasa sijui ndege ya bidada ilipata itilafu gani au wese liliisha!
Kaumeza kupoteza ushahidi.Huo ungo ukwapi?
muda utafika utaaminiSiamini
Fake newsHizi mambo zipo sema ni kukaza fuvu tu