Aposto, Kuna muujiza huku, watu wote hawa wamewezaje kujazana kwenye Kandege kadogo hivi?

Aposto, Kuna muujiza huku, watu wote hawa wamewezaje kujazana kwenye Kandege kadogo hivi?

Purukushani zile za angani wakati wa kubadilisha miruko, kutua, n.k. bila kufunga mikanda itakuwaje?

Labda aliyewahi kusafiri bila kufunga mkanda atupe uzoefu.
Kwenye videge vidogo ni shida sana. Lakini madege makubwa ya jeshi na mizigo ni kawaida tu,.
 
Sidhani kama kuna rubani atakayekubali kurushwa ndege ambayo abiria wake hawajafunga mikanda. Ni hatari sana. Kuna watu walishapoteza maisha kwa sababu tu walipuuzia kufunga mikanda wawa kwenye ndege
Mikanda unaipata wapi kwenye dege la mizigo?
Watu hukaa chini,kwenye sakafu yq ndege bila mkanda.
 
View attachment 2986732

REKODI YA DUNIA ya abiria wengi kupanda kwenye ndege moja iliandikwa mwaka 1991 baada ya abiria 1086 Waethiopia wenye asili ya Uyahudi kupakizwa kwenye ndege aina ya Boeing 747 kutoka Ethiopia kwenda Jerusalem nchini Israel......

Baada ya kufika Jerusalem abiria waliongezeka kutoka 1086 hadi 1088 baada ya watoto wawili kuzaliwa katikati ya safari
Abiria wote walikaa kwenye mikeka, hiyo ilikuwa Operation Solomon.
 
Halafu baadae wakaanza kuwatenga na kuwapiga sindano wasizaliane ili wasiwazidi ma zionist wa kizungu
 
View attachment 2986732

REKODI YA DUNIA ya abiria wengi kupanda kwenye ndege moja iliandikwa mwaka 1991 baada ya abiria 1086 Waethiopia wenye asili ya Uyahudi kupakizwa kwenye ndege aina ya Boeing 747 kutoka Ethiopia kwenda Jerusalem nchini Israel......

Baada ya kufika Jerusalem abiria waliongezeka kutoka 1086 hadi 1088 baada ya watoto wawili kuzaliwa katikati ya safari
Wote Walikaa kwenye seat au ilikuwa mwendo wa kusimama na wengine kupakatana kama daladala za mbagala?
 
Ni sawa mkuu ila usijizoeshe! Ni hatari sana ikipita penye "turbulence" ikiwa hujafunga mkanda.

Nimekubali hiyo iliyokuwa imewabeba hao Wayahudi haikuwa na viti. Bila shaka vilitolewa ili kupata nafasi ya kupakia abiria wengi zaidi.

Kufunga mikanda ni muhimu, isipokuwa tu pale unaporuhusiwa vinginevyo na wahudumu wa kwenye ndege.
Bila turbulence hakuna shidaa........mimi pilot mdogo nikifanya kazi pilot 2yrs nikapata shida .....nikapumzila.....najua hayonyooote.....asantee
 
Back
Top Bottom