App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi
App imekuwa hovyo sana..attachment kama picha haifungui muda mwingine..vululuvululu tu.
 
Labda sababu haikuwa developed in native language. in this case kotlin for android systems.
Means inachukua muda mwingi kufanya simulation hivyo kuwa super slow.

Au simu yako ina processor ndogo.
 
App imekuwa hovyo sana..attachment kama picha haifungui muda mwingine..vululuvululu tu.
Mimi haijawahi fungua attachments.
Notifications shida,

Messages za PM inapangilia hovyo mno.

Imekuja na shida hadi ya kuquote/reply comments [emoji706]

Sijui wamelala usingizi hawa jf ,,inakera mno..hadi naanza kupoteza interest na huu mtandao.
 
Moderator app yangu inamiss vitu vingi hata kuVOTE haikubali kuna nyingine maana haya some attachments haifungui

Nipe.mwongozo pia
Mimi kura nilisema sipigi hadi watakapoipa app option ya vote.
Haiwezekani wabague ,wakati wote ni watumiaji wa jf.

Itaendelea kula kwa watafuta kura kama hawawezi kupaza sauti yao kudai option ya vote kwa watu wa App.


Watu 20 wanakuja niwapigie kura kwa nyakati tofauti...yaani nifanye kazi ya kutumia browser kila nikiombwa kupiga kura!!!siwezi hiyo kazi.
 
Mimi kura nilisema sipigi hadi watakapoipa app option ya vote.
Haiwezekani wabague ,wakati wote ni watumiaji wa jf.

Itaendelea kula kwa watafuta kura kama hawawezi kupaza sauti yao kudai option ya vote kwa watu wa App.


Watu 20 wanakuja niwapigie kura kwa nyakati tofauti...yaani nifanye kazi ya kutumia browser kila nikiombwa kupiga kura!!!siwezi hiyo kazi.

Hongera kwa kuliona hilo.
 
App inazingua mda tu na mods waseme Kama Kuna apps nyingine
 
Mimi kura nilisema sipigi hadi watakapoipa app option ya vote.
Haiwezekani wabague ,wakati wote ni watumiaji wa jf.

Itaendelea kula kwa watafuta kura kama hawawezi kupaza sauti yao kudai option ya vote kwa watu wa App.


Watu 20 wanakuja niwapigie kura kwa nyakati tofauti...yaani nifanye kazi ya kutumia browser kila nikiombwa kupiga kura!!!siwezi hiyo kazi.
kweli mi huwa nalazimika kutumia PC tena pia inachagua aina ya browser UC browser haikubali kabisa
 
Raha ya simu ni kutumia App, hapa cha msingi tumuamshe Max usingizini hili lipo ndani ya uwezo wake.
Kwa umri wa JF ni AIBU kuwa na app ya kiwango cha chini kama hii. Nina uhakika ikifanyiwa mabadiliko itafanya watumiaji wengi waingie hapa.

Cc: Maxence Melo
 
Nimekuwa member wa JF mda mrefu sasa, nasikitika kwamba pamoja na mabadiliko mengi ya teknolojia JF imeshindwa kubadilika na hasa kwenye App yake.

Kwenye ulimwengu wa social media nilitegemea JF iongoze kwenye mijadala mingi inayoibuka kila siku hapa TZ .

Kufubaa huku hakuvutii wengi kuja hapa, na kunapoteza wengi.
 
Nimekuwa member wa JF mda mrefu sasa, nasikitika kwamba pamoja na mabadiliko mengi ya teknolojia JF imeshindwa kubadilika na hasa kwenye App yake.

Kwenye ulimwengu wa social media nilitegemea JF iongoze kwenye mijadala mingi inayoibuka kila siku hapa TZ .

Kufubaa huku hakuvutii wengi kuja hapa, na kunapoteza wengi.
Toa eadia zako nini kifanyikeeee.
 
Naam wakuu,

Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.

Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).

FAIDA:

1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa

2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako

3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni

4) na mengine mengi

Hatua za kufuata:

Kwa wanaotumia PC:

Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:

View attachment 1791283

View attachment 1791292

Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:

View attachment 1791284

Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.

Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:

View attachment 1791290

Kwa wanaotumia Android Devices:

Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):

Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:

View attachment 1791285

View attachment 1791286

Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)

View attachment 1791287

Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:

Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.

View attachment 1791288
View attachment 1791289

Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.

TAKE NOTE: Siku zijazo (sio karibuni) tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores. Kuna mabadiliko zaidi yanakuja kwenye mwonekano na user experience katika kutumia huduma ya JF.

PS: Kuna watu wanataka kujua kuhusu kupata notifications. Tafadhali enable push notifications kwenye settings na utazipata bila shaka.

Karibuni
Malalamiko ni mengi
 
Naam wakuu,

Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.

Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).

FAIDA:

1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa

2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako

3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni

4) na mengine mengi

Hatua za kufuata:

Kwa wanaotumia PC:

Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:

View attachment 1791283

View attachment 1791292

Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:

View attachment 1791284

Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.

Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:

View attachment 1791290

Kwa wanaotumia Android Devices:

Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):

Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:

View attachment 1791285

View attachment 1791286

Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)

View attachment 1791287

Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:

Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.

View attachment 1791288
View attachment 1791289

Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.

TAKE NOTE: Siku zijazo (sio karibuni) tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores. Kuna mabadiliko zaidi yanakuja kwenye mwonekano na user experience katika kutumia huduma ya JF.

PS: Kuna watu wanataka kujua kuhusu kupata notifications. Tafadhali enable push notifications kwenye settings na utazipata bila shaka.

Karibuni
Max huwezi kuamini huu uzi mimi ndio nauona leo hapa JF wakati kila siku nimo humu.

Ni kwa nini kwa umuhimu wa uzi huu usiuweke kwenye majukwaa yote na ukawa STICKY?

Mbona kama siku hizi unatuchukulia powa tu?

Ina maana wewe uweke uzi humu halafu reply ziwe chache hivi huoni kuna shida hapo kwamba members wengi hawako aware kuna nini kinaendelea? Ndio maana lawama za App bado zinaendelea.

Unajuwa wewe tangu umeanza kuwa na pesa siku hizi sijui hata kama unapata muda wa kuingia humu, maana pesa zimekukubali mpaka unamwaga mahela kwa members wa JF wanaojuwa kuandika story nzuri. [emoji12][emoji12]
 
JF app ya playstore inamuonekano mzuri kwa upande wangu. Pia rahisi kutumia.
Tatizo lake ni notifications kuchelewa au zisije kabisa, halafu ina like tu haina emotions nyingine
Unasemaje sasa? Bado msimamo wako uko hivyohivyo?
 
Hapana, you can have them both. Ila, soon utaelewa why this change is inevitable 😎
Kiongozi mimi ndio nimeweka hiyo kitu ni full burudani kwakweli, ile app ya play store itabaki tu kama back up tu.

Umeeleweka [emoji817]
 
Back
Top Bottom