App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi
Nasikitika kusema hakuna kilichoboreshwa, mojawapo ya uboreshwaji mbovu ambao sikuutegemea..yani uondoe app, then uweke screen ya browser ya JF kwenye simu useme umeboresha? Sasa kuna tofauti gani na anayefungua browser? Nilijua utaboresha app labda iwe na size ndogo kidogo,labda nusu ya size ya awali, na fastness, design nzuri, yenye kuvutia, mpangilio mzuri zaidi wa forums, n.k, lakini hapa hakuna mlichofanya ndugu, POOR DEVELOPMENT !!!!!!!! MA ADS KIBAO..YANI AWFUL AISEE!
Can you say this again?
 
Naam wakuu,

Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.

Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).

FAIDA:

1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa

2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako

3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni

4) na mengine mengi

Hatua za kufuata:

Kwa wanaotumia PC:

Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:

View attachment 1791283

View attachment 1791292

Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:

View attachment 1791284

Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.

Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:

View attachment 1791290

Kwa wanaotumia Android Devices:

Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):

Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:

View attachment 1791285

View attachment 1791286

Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)

View attachment 1791287

Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:

Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.

View attachment 1791288
View attachment 1791289

Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.

TAKE NOTE: Siku zijazo (sio karibuni) tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores. Kuna mabadiliko zaidi yanakuja kwenye mwonekano na user experience katika kutumia huduma ya JF.

PS: Kuna watu wanataka kujua kuhusu kupata notifications. Tafadhali enable push notifications kwenye settings na utazipata bila shaka.

Karibuni
Hii kitu iko vizuri sana, lakini kuupata tena uzi huu imebidi nije kuutafuta kwa kutumia App ya zamani kwenye subscribed topics.

Hii imekaaje? Mnamalizaje changamoto hii?
 
Unasemaje sasa? Bado msimamo wako uko hivyohivyo?
Yes, bado app was the best me. Tatizo kubwa la app ni kutopatika notifications kwa wakati.
Hii kwangu hainipi option ya kulog out hebu nisaidie tafadhali
 
Yes, bado app was the best me. Tatizo kubwa la app ni kutopatika notifications kwa wakati.
Hii kwangu hainipi option ya kulog out hebu nisaidie tafadhali
Hapo juu kwenye alama ya box la msg, next kushoto kuna kichwa cha mtu, click hapo itafunguka profile yako chini kabisa kushoto utaona log out.
 
Wakuu mtu anisaidie namna ya kufunga pm uku kwangu sioni iyo option
 
Hapo juu kwenye alama ya box la msg, next kushoto kuna kichwa cha mtu, click hapo itafunguka profile yako chini kabisa kushoto utaona log out.
Kwangu hiyo kitu imepotea zaidi ya miezi minne sasa

Screenshot_2021-10-24-20-16-46.png
 
Naam wakuu,

Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.

Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).

FAIDA:

1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa

2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako

3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni

4) na mengine mengi

Hatua za kufuata:

Kwa wanaotumia PC:

Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:

View attachment 1791283

View attachment 1791292

Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:

View attachment 1791284

Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.

Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:

View attachment 1791290

Kwa wanaotumia Android Devices:

Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):

Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:

View attachment 1791285

View attachment 1791286

Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)

View attachment 1791287

Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:

Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.

View attachment 1791288
View attachment 1791289

Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.

TAKE NOTE: Siku zijazo (sio karibuni) tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores. Kuna mabadiliko zaidi yanakuja kwenye mwonekano na user experience katika kutumia huduma ya JF.

PS: Kuna watu wanataka kujua kuhusu kupata notifications. Tafadhali enable push notifications kwenye settings na utazipata bila shaka.

Karibuni
Broo melo....siasa za kenya tunashindwa kuzipata indeep kama ilivyo hapa tz, mpaka tuna watabiri wa uhakika wa siasa za tz.....lakini kenya jf haijakita mizizi.....naamini ungekuwa unavuna mpunga mrefu kutoka kenya kwasasa kuna active politics sasahvi huko......hakuna anayereport matukio kwa haraka.

Unao mpango gani kaka kuhusu hilo
 
Max huwezi kuamini huu uzi mimi ndio nauona leo hapa JF wakati kila siku nimo humu.

Ni kwa nini kwa umuhimu wa uzi huu usiuweke kwenye majukwaa yote na ukawa STICKY?

Mbona kama siku hizi unatuchukulia powa tu?

Ina maana wewe uweke uzi humu halafu reply ziwe chache hivi huoni kuna shida hapo kwamba members wengi hawako aware kuna nini kinaendelea? Ndio maana lawama za App bado zinaendelea.

Unajuwa wewe tangu umeanza kuwa na pesa siku hizi sijui hata kama unapata muda wa kuingia humu, maana pesa zimekukubali mpaka unamwaga mahela kwa members wa JF wanaojuwa kuandika story nzuri. [emoji12][emoji12]
Ohoooo !!
 
Kama ni hii mbona naitumia kitambo sana kupitia browser ya phoenix?
Hujui kama hujui. Hii mpya inakuja kama webview. tofauti na App ambayo ipo kwenye store.

Ukitaka kujuwa tuliza akili yako, ondowa ujuwaji wakati hujui, soma maelezo ya Max upya.

Kuna watu wengi wanadhani Max ni kama Le Mutuz anavyomiliki blog, Max ni nguli kwenye hii kitu, kwa kifupi Marekani wana Mark Zuckerberg na Tanzania tuna Maxence Melo.

Hawa wote wawili wanapika wenyewe haya mapishi kwa kushirikisha team zao.
 
Angalia hapa kwangu, natumia device ya Android na nimeinstall kwa Google chrome.

Mimi si mtaalamu lakini kwa ushauri wangu wa kilay man ondoa hiyo halafu install upya.

Check kwangu hapa. View attachment 1985858
Asante kwa ushauri. Nilishafanya hivyo haikusaidia, nilitumia chrome pia
 
Asante kwa ushauri. Nilishafanya hivyo haikusaidia, nilitumia chrome pia
Maxence Melo hebu tafadhali tunakuhitaji huku bado kuna ufafanuzi na maelezo yanahitajika kwa wadau, mfano issue ya Demi na mimi binafsi nauliza vipi kuhusu subscribed topics? Tunashindwa kufuatilia thread ambazo tumechangia kupata muendelezo.

Pls wake up brother, umekuwa mzito sana.
 
kusema ukwel hii app ya kuistall kwenye browser ni kama tu browser yenyewe isipokuwa yenyewe inakuwa imeadiwa kweny screen.. kwaiyoa haina radha kwa sisi watumiaji wa app ya play store.
siku max akitoa app ya playstore na tuwe tunatumia iyo browser mm ndo itakuwa mara ya mwsho kutumia jamii forum.
tafadhali bwana max tufanyie update kwenye app yetu ya playstore kwa kufix matatizo yaliopo
 
kusema ukwel hii app ya kuistall kwenye browser ni kama tu browser yenyewe isipokuwa yenyewe inakuwa imeadiwa kweny screen.. kwaiyoa haina radha kwa sisi watumiaji wa app ya play store.
siku max akitoa app ya playstore na tuwe tunatumia iyo browser mm ndo itakuwa mara ya mwsho kutumia jamii forum.
tafadhali bwana max tufanyie update kwenye app yetu ya playstore kwa kufix matatizo yaliopo
Umeshaambiwa hapa hawataidevelop tena huelewi?
 
Back
Top Bottom