Nani waliifunga?Nilikuwa na app ya bure niliweka matangazo. Walifika kama active users 5000. Pesa ya matangazo ilifika 40 dollars. Baadaye nikafungiwa sababu contents zilikuwa za kiswahili na wao hawasupporet apps zenye contents za kiswahili. Leo ingekuwa kubwa sana.
Admob. Wakala wa matangazo.Nani waliifunga?
Anazuia kutangaza. App inaendelea.Anafunga app au anazuia malipo ya matangazo?
Chief-Mkwawa kama una pendekezo hapa tusaidie.Nawezaje kupata developer mzuri anibunie,na kunitengenezea app nzuri kwa hapa bongo?
Kwasababu wewe ni mshamba sanaKijana ukitaka mafanikio fungua biashara ya kueleweka cent za Ads haziwezi kubadilisha maisha yako
Ndoman nauliza inakuwag vipSio rahisi Kama unavyofikiri
Ni vile waTZ tumelala ila kuna miamba inaishi kwa Admob...Google wanalipa vizuri sana hao 2M downloads au user ni pesa kubwa Mnooo ILA pakuwapata sasa Lazima uwekeze pesa kubwa mnooo...maana TZ hakuna App iliyofika hata 30M JF inamiaka 20+ ila inadownloads 1M tu playstore ni hudhuni...Ukitaka utoboe App yako iwahusu watu wa dunia nzima
Ukitaka kuwa Tajiri levo ya Dunia ubunifu kwenye teknolojia mfano nzuri Ni mabilionea wa Facebook na magemu ya Temple run ☺️Kijana ukitaka mafanikio fungua biashara ya kueleweka cent za Ads haziwezi kubadilisha maisha yako
Chief nipatie server hiyo nijaribu Kiongozi wangu.Inaenda mpaka android 8.0, sema sijui kama server bado zipo active mpaka leo. Pengine utahitaji kudownload file manual na ku flash mwenyewe,
Kitu cha muhimu ujue exactly model ya simu, kuna wahuni wana tabia ya kucheza na hizi samsung na kubadili model Inayoonekana kwenye setting/about, itabidi uiingie download mode kupata exactly model halafu tumia hio model kudownload android 8 firmware halafu flash na odin. Utapoteza data.
Alternative jaribu software ya pc smart switch Ama Samsung kies, hizi zote ni za samsung, connect simu kwa usb zitadetect kama kuna update watakupa itaongezeka version.
Inategemea na model mkuu, umejaribu hio smart switch/kies?Chief nipatie server hiyo nijaribu Kiongozi wangu.
Nitajaribu hii Mkuu,Inategemea na model mkuu, umejaribu hio smart switch/kies?
Inategemea na apps husika, za offline unadownload version za zamani, ila za online ni kipengele.Nitajaribu hii Mkuu,
Chief siwezi kupata App za version ya simu yangu nitumie kwa muda, Kwa sababu hivi sasa App nyingi hazifanyi kazi tena Mkuu.
Nipo hapa hutojutaNawezaje kupata developer mzuri anibunie,na kunitengenezea app nzuri kwa hapa bongo?