App za Mange Kimambi na Yerricko Nyerere zinawezaje kuvuka vikwazo vya google?

App za Mange Kimambi na Yerricko Nyerere zinawezaje kuvuka vikwazo vya google?

Lazima kasema nani? Kazi ya serikali ni kuhakikisha unasoma, unaelimika. Kisha wanakuwekea mazingira ili ufanye mambo kama haya.

Sio kazi ya serikali kukuwezesha. We kama umeshindwa tulia tu. Pambana na hali yako.

Umesoma historia za hayo makampuni ukakuta serikali na waziri blah blah? Watu waliumia, wakapambana. Ukisubiri serikali utasubiri sana mpaka miguu iote kutu.

Kama unaona ni opportunity unaiweza, pambana kuichukua. Kama iko juu ya uwezo, potezea angalia za saizi yako.

Achana na serikali this serikali that.
Emekariri habari za ubepari na soko huria kikasuku sana.
 
Google wanataka kama una app inayofanya in app purchases, kama kulipia subscription au digital goods zingine basi ni lazima kulipa kulipia kwa google play billing system. Walitoa deadline mwezi wa 9 2021. Hawaruhusu malipo kufanyika nje ya app. Kwenye huu mfumo wao wanakata 30%

Huu mfumo siyo rafiki sana. Unatumia Visa, mastercard nk, mifumo ambayo si rafiki bongo. Bongo mifumo rafiki ya malipo ni kulipa kwa simu.

Sasa naona app ya Mange na Yerricko malipo yao yanafanyika kwa simu na nje ya app. Naomba kujua wamewezaje bila kuingia matatani na google? Au kuna namna ya kukwepa vikwazo?
Nilichoelewa mkuu app ni bure, kinacholipiwa ni Account, ni kama Netflix vile, naweza lipia kwenye laptop nikadownload app yao na kuweka user na pass na kuangalia bila kupitia Google.
 
Nilichoelewa mkuu app ni bure, kinacholipiwa ni Account, ni kama Netflix vile, naweza lipia kwenye laptop nikadownload app yao na kuweka user na pass na kuangalia bila kupitia Google.
Sema Netflix inawezekana kuwa na account moja ukaitumia kwenye kompyuta na kwenye app. Lakini nao na spotify waliingia mgogoro na Google sababu watu waliokuwa wanafanya malipo kupitia app walitakiwa kutumia Google billing system, na Google wachukue 30% yao badala ya kutumia platform za netflix au spotfy kama walivyozoea.
 
Google wanataka kama una app inayofanya in app purchases, kama kulipia subscription au digital goods zingine basi ni lazima kulipa kulipia kwa google play billing system. Walitoa deadline mwezi wa 9 2021. Hawaruhusu malipo kufanyika nje ya app. Kwenye huu mfumo wao wanakata 30%

Huu mfumo siyo rafiki sana. Unatumia Visa, mastercard nk, mifumo ambayo si rafiki bongo. Bongo mifumo rafiki ya malipo ni kulipa kwa simu.

Sasa naona app ya Mange na Yerricko malipo yao yanafanyika kwa simu na nje ya app. Naomba kujua wamewezaje bila kuingia matatani na google? Au kuna namna ya kukwepa vikwazo?
Namba ya Mange kimambe, 0002342w000009876567890987654321111124323 Nyoko Marekani.
Ya Yeriko Nyerere, 0000022223212321344rw4ww0000098765432232322 Kigamboni Dar es saalam.
 
Sema Netflix inawezekana kuwa na account moja ukaitumia kwenye kompyuta na kwenye app. Lakini nao na spotify waliingia mgogoro na Google sababu watu waliokuwa wanafanya malipo kupitia app walitakiwa kutumia Google billing system, na Google wachukue 30% yao badala ya kutumia platform za netflix au spotfy kama walivyozoea.
Mgogoro mkubwa ulikuwa ni na Apple, Google anaruhusu at some extent. Mfano ukidownload app toka source nyengine si lazima in App purchase zipitie Kwa Google. Ila Apple alilazimisha hadi zile payment za Kina netflix za web apate Chake.
 
Mgogoro mkubwa ulikuwa ni na Apple, Google anaruhusu at some extent. Mfano ukidownload app toka source nyengine si lazima in App purchase zipitie Kwa Google. Ila Apple alilazimisha hadi zile payment za Kina netflix za web apate Chake.
Nimesikia EU wanaandaa sheria ya kuondoa hili na sheria nyingine zinazolenga kusaidia apps ndogo kushindana na haya makampuni makubwa yanayoleta umonopoly
 
Nimesimia EU wanaandaa sheria ya kuondoa hili na sheria nyingine zinazolenga kusaidia apps ndogo kushindana na haya makampuni makubwa yanayoleta umonopoly
Wameanza ku implement kwenye Nchi kadhaa sema Apple amepata njia ya kubypass, anacharge 27% commission ukitumia 3rd party payment. Developers wameanza Tena kulalamika.

Inabidi hio Sheria Mpya iweke fine za maana la sivyo ni kama wanatwanga maji kwenye kinu.
 
Bajeti. Kutengeneza app na kumaintain kwa kampuni inayoeleweka ni ghali sana. Lakini hau Dau Technology naona wanauzoefu mzuri.
Ni zaidi ya million 10 kwa mwezi kwa application ya kawaida kabisa kama hiyo ya yericko
 
wewe unashangaa app ya mange kimambi wakati kuna app zilizoscam mabillion ya $$$ ambazo zilikuwa ziko playstore ila niwe muwazi app ya mange imetengenezwa kishamba sana

Ile sio app ni web browser
 
Back
Top Bottom