Apparently COW Ethiopia's Army has tried to shoot down another Kenyan aircraft in Somalia

Apparently COW Ethiopia's Army has tried to shoot down another Kenyan aircraft in Somalia

kaka hii Ethiopia mnaikuza sana Ethiopia haina jeshi kubwa km msemavyo.
Hapo Tigray waasi wa Tigray wanaosapotiwa na Eritrea wanawatwanga wanajeshi wa Ethiopia kila leo.
Halafu ukiangalia vifaa vya jeshi wanavyotumia Ethiopia kuwakabili hao waasi ni vifaa duni.
Ethiopia haina kitu.
Yaani bila hata Mmisri kupeleka jeshi kule, Ethiopia inameguka yenyewe!
 
kaka hii Ethiopia mnaikuza sana Ethiopia haina jeshi kubwa km msemavyo.
Hapo Tigray waasi wa Tigray wanaosapotiwa na Eritrea wanawatwanga wanajeshi wa Ethiopia kila leo.
Halafu ukiangalia vifaa vya jeshi wanavyotumia Ethiopia kuwakabili hao waasi ni vifaa duni.
Ethiopia haina kitu.
Eritrea haisupport Tigray. Eritrea inapigana dhidi ya TPLF. Eritrea inasupport serikali kuu ya Ethiopia.
 
Eritrea haisupport Tigray. Eritrea inapigana dhidi ya TPLF. Eritrea inasupport serikali kuu ya Ethiopia.
Sawa ila Ethiopia mnai overrate sana mkuu.
Waasi wa tigray wanawachakaza sana huko kaskazini kila leo.
Mie naamini Kama Kenya ikaingia full scale war na Ethiopia hata Rwanda Ethiopia ina collapse mapema tuu.
Kwanza jamaa wana fujo km wasomali.
 
Yaani bila hata Mmisri kupeleka jeshi kule, Ethiopia inameguka yenyewe!
Misri ilisimama na Israel 1973 achana naye usiifanishe Misri na vitu vya kipumbavu mkuu.
Misri isimame na Ethiopia hao majirani mbn tutawapokea km wakimbizi.
 
Sawa ila Ethiopia mnai overrate sana mkuu.
Waasi wa tigray wanawachakaza sana huko kaskazini kila leo.
Mie naamini Kama Kenya ikaingia full scale war na Ethiopia hata Rwanda Ethiopia ina collapse mapema tuu.
Kwanza jamaa wana fujo km wasomali.
Una point nzuri hapo. Siamini kabisa ni vipi a rag-tag militia kama TDF inaweza kusumbua jeshi la Ethiopia namna hii. Kuharibu mambo zaidi, Serikali ya Ethiopia inasaidiwa kupigana vita dhidi ya TDF na serikali ya Eritrea na pia wanasaidiwa na wanajeshi wa majimbo ya Afar na Amhara. TDF haipati msaada (directly) kutoka kwa jeshi lolote ile ila wanawasumbua sana hawa watu. TDF haina airfore ila ENDF ina airforce inayoweza kupiga bomb convoys za TDF ila hawafanyi hivyo. ENDF haitumii airforce yake vizuri.
 
Mh ila mkuu Eritrea si walikua na mgogoro na Ethiopia mara hii umeisha?
Eritrea walikuwa wanachukiana sana na ule uongozi wa TPLF ulioondoka madarakani. Hata walipigana vita vikali miaka ya 1998/1999. Vita hivyo vilikuwa vinahusu mipaka kati ya Ethiopia na Eritrea. Ila baada ya TPLF kuondoka madarakani na Abiy kuingia madarakani, Abiy alikomesha ugomvi huo kwa kukubali kupatia Eritrea kipande cha ardhi walichokuwa wakigombania. Baada ya hapo, Eritrea imekuwa rafiki wa dhati wa Abiy dhidi ya TPLF.
 
Una point nzuri hapo. Siamini kabisa ni vipi a rag-tag militia kama TDF inaweza kusumbua jeshi la Ethiopia namna hii. Kuharibu mambo zaidi, Serikali ya Ethiopia inasaidiwa kupigana vita dhidi ya TDF na serikali ya Eritrea na pia wanasaidiwa na wanajeshi wa majimbo ya Afar na Amhara. TDF haipati msaada (directly) kutoka kwa jeshi lolote ile ila wanawasumbua sana hawa watu. TDF haina airfore ila ENDF ina airforce inayoweza kupiga bomb convoys za TDF ila hawafanyi hivyo. ENDF haitumii airforce yake vizuri.
Ila niwe mkweli najua sisi Watz na nyie majirani zetu kina Mungiki huwa twakwaruzanaga sana ila kidiplomasia tuko vzuri ila nikiambiwa nisimame na nan kat ya Kenya na Ethiopia naichagua Kenya in all aspects.
Wa Ethiopia wana asili ya ukorofi km wasomali wale jamaa naombea siku itokee nchi iwashikishe adabu wana asili ya ukorofi ukorofi kinyamaa.
 
Back
Top Bottom