komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Si ethiopia wangeliitungua hyo km wana ubavu[emoji3][emoji3]the harbin Z-9W was also involved in that bombing,...
View attachment 1461018
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ethiopia wangeliitungua hyo km wana ubavu[emoji3][emoji3]the harbin Z-9W was also involved in that bombing,...
View attachment 1461018
There is no doubt that they were caught off guard because for a mission to be successful you don't share it with anyone. I also doubt whether Ethiopia has enough SAMs in the Gedo area that are on standby and ready to fire. In my opinion most of their SAMs should be in the Gerd dam protecting that dam against Egypt.True, apparently the airstrikes caught Ethiopians off guard or Ethiopians were afraid of shooting down kdf helos....haha
Hili ukilipapasa kwa risasi linarudisha ngumi la missile. Halicheki na wewe kama zile passenger aircraft ambazo wamezoea kucheza nazo.Si ethiopia wangeliitungua hyo km wana ubavu[emoji3][emoji3]
What kind of bullet has an entry hole like that?! That shot was from inside the fuselage.
Again the plane must have been banking dangerously to be hit at that point. The physics just doesn't add up for me
Kwa nilichokiongelea sihitaji kua ballistics expert, commonsense is inaf!Sasa wewe ni expert wa kutoka wapi? Kuzimu ama wapi?
Uongo. Ndege zetu nyingi huwa tunanunua. Leta evidence kuwa tunapewa bure. Pengine Huey ndio inaweza kuwa ya msaada. Leta evidence kuwa tumepewa bure MD-500 ambazo nchi nyingi hata za Ulaya hazina.
Tena wasijaribu kulirusha risasi hilo dude, manake reaction ya hicho kifaa sio ya kitoto ikiamua retailateHili ukilipapasa kwa risasi linarudisha ngumi la missile. Halicheki na wewe kama zile passenger aircraft ambazo wamezoea kucheza nazo.
We hujui bro ndege ikipata katundu kidogo baridi hutaka kuvuta karibia kila kitu nje..nadhani hyo ni impact kutokana na upepo mkaliKwa nilichokiongelea sihitaji kua ballistics expert, commonsense is inaf!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na alisema hamna kacolona [emoji16]
kwahiyo nchi imara inaweza kujitamba ati "imepigana na somalia"? hahaha, hapo tz tungetuma jeshi la polisi tu au zimamoto, hatuwezi kutuma jeshi.Kwakweli she is running low of experiences especially in matter of war....
Ethiopia ..ooh this is another story
She fought Somalian war
She fought Ethiopia-eritrea war
Still fighting rebels in Ogaden ,and within Ethiopian
And she is fighting up today war on Somalian terrorists Al shaBab
......
So Kenya .....very sorry
Even to Tanzania you are no match
"Baridi" is very pedestrian, I believe Unamaanisha decompression?We hujui bro ndege ikipata katundu kidogo baridi hutaka kuvuta karibia kila kitu nje..nadhani hyo ni impact kutokana na upepo mkali
wakiwapa Egypt Kismayo watakuwa wamejikaanga kwelikweliInakaa Ethiopia wame-sniff snitch attitude kutoka Kenya so wana-deal na Kunyaland perpendicuarly! Inakaa Kunyaland inataka kumuachia Egypt Kismayo!
Kenya Haina ubavu wa kupambana na "hard battled" Ethiopian army!Geza Ulole,
Lengo la Ethiopia ni kuwachokoza KDF ili wajibu mapigo wapate sababu ya kuwafukuza KDF kutoka ardhi ya Somalia ili wakamate Jubaland na kuirudisha mikononi mwa Farmajoo.
Kenya inajua hawana uwezo wa kuwashinda Ethiopia "militarily', kamwe KDF haiwezi kujibu mapigo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini nadhani Ethiopian si wema sana hata kwetu sema tuko mbali nao maana kwa ushirikiano tulIo nao kwa sasa na Wamisri sidhani kama tungechangia nao mpaka wangekuwa wema kwa Tanzania kumbuka mgogoro wa hayo maji na sisi tunahusika kwa namna moja au nyingineKenya Haina ubavu wa kupambana na "hard battled" Ethiopian army!
Jeshi la Kenya ni Kama la polisi tu . Wanagofautiana kwa mavazi na majina tu!
Tz ni zaidi ya uidhaniavyo kuwa na jirani tu kama Rwanda na mkaishi kwa amani ni kipajiLakini nadhani Ethiopian si wema sana hata kwetu sema tuko mbali nao maana kwa ushirikiano tulIo nao kwa sasa na Wamisri sidhani kama tungechangia nao mpaka wangekuwa wema kwa Tanzania kumbuka mgogoro wa hayo maji na sisi tunahusika kwa namna moja au nyingine
kaka hii Ethiopia mnaikuza sana Ethiopia haina jeshi kubwa km msemavyo.Hahahaha, Ethiopia wanatengeneza vifaa vingi vya kijeshi wao wenyewe, kuanzia Gari za diraya hadi helicopter gun ships.
Ethiopia ina tanks nyingi za kisasa, Artilary nyingi na self propelled missiles za kisasa zaidi ya 300 wakati Kenya hamna hata moja. Kenya can't withstand war with Ethiopia even for one month.
Military: Ethiopia Far Better Than Kenya? Here Are The Facts
Sent using Jamii Forums mobile app