Apparently COW Ethiopia's Army has tried to shoot down another Kenyan aircraft in Somalia

Apparently COW Ethiopia's Army has tried to shoot down another Kenyan aircraft in Somalia

Most of the weapons in Ethiopian inventory are unserviceable or were destroyed during Ethiopian Eritrian war.
Hahahaha, all those weapons are almost brand new, every year each country do buy new weapons to update their militaries.
 
Helicopter za Kenya ni " light helicopters ", Ethiopia has got lethal helicopters 8, Kenya has got none of them.
Kenya can't fight Ethiopia even for one week.
 
[emoji16][emoji16][emoji38]uchumi hauyumbi!!!,unajua maana ya uchumi kuyumba.mnakopa ili umlipe mishahara uanasema uchumi haujayumba!!!
Hauyumbishwi na madeni uchumi wetu[emoji1787][emoji1787]ndio manake tunakopa tu..
Hamuwezi shindana na kenya mazee, mtaporomoko
 
Helicopter za Kenya ni " light helicopters ", Ethiopia has got lethal helicopters 8, Kenya has got none of them.
Kenya can't fight Ethiopia even for one week.
Cobra AH-1F model ni light attack according to you? Kenya has 6...
and for the light attack MD-500 kdf has 41 in service...

Get your facts right..
 
Cobra AH-1F model ni light attack according to you? Kenya has 6...
and for the light attack MD-500 kdf has 41 in service...

Get your facts right..
Evidence please that shows Kenya has got lethal helicopters
 
Ukiachana "Armoured vehicles" Kenya imeizidi Ethiopia, sehemu zingine zote Ethiopia imeizidi Kenya kwa mbali sanaa, Kenya ina wanajeshi wasiozidi 30,000, Ethiopia 165,000.

Kenya tanks 76, Ethiopia tanks 400
Kenya Artillery 20, Ethiopia Artillery 650
Kenya SPA 30, Ethiopia SPA 67.

These countries are not at the same level.
Hebu linganisha TPDF na SPLA ya South Sudan 😁😁
 
Evidence please that shows Kenya has got lethal helicopters

kaka

1590570102397.png




Military personnel parade in front of President Uhuru Kenyatta during Jamhuri day celebrations
 
Helicopter za Kenya ni " light helicopters ", Ethiopia has got lethal helicopters 8, Kenya has got none of them.
Kenya can't fight Ethiopia even for one week.
Kenya tuna cobra ambazo ni attack helicopter. Lakini sijui idadi. Jeshi la Kenya lina usiri mkubwa lakini hizi attack helicopters zilipigwa picha hata wakati wa sherehe la kitaifa lililokuwa Mombasa. Kisha light attack helicopter bado linabeba missiles na machine gun. Kwa hivyo ujuwe tuna zaidi ya light attack helicopters 60. Sijui kama umeona video ya light attack helicopter MD-500 ya Kdf ikiponda Alshabab na missiles kila upande? Kama hujaiona hio video niambie nikuletee. Usidharau light attack helicopter.
 
Kenya tuna cobra ambazo ni attack helicopter. Lakini sijui idadi. Jeshi la Kenya lina usiri mkubwa lakini hizi attack helicopters zilipigwa picha hata wakati wa sherehe la kitaifa lililokuwa Mombasa. Kisha light attack helicopter bado linabeba missiles na machine gun. Kwa hivyo ujuwe tuna zaidi ya light attack helicopters 60. Sijui kama umeona video ya attack helicopter MD-50 ya Kdf ikiponda Alshabab na missiles kila upande? Kama hujaiona hio video niambie nikuletee. Usidharau light attack helicopter.
Katika vita na nchi yenye "Good air defense system" yaani nchi yenye " radar nzuri na surface to air missiles nzuri", helicopter hazina nafasi, haziwezi kutumika kwa sababu ni rais sana kutunguliwa.

Pamoja na hayo yote, bado hakuna ushahidi wowote kwamba KDF wanazo lethal helicopters, hizo Cobra helicopter mnazosema, hakuna ushahidi wowote kwamba ni Mali ya Kenya, hatujui lini zilinunuliwa na wapi.

Kenya mkinunua vifaa vya kijeshi lazima mnatangaza, hadi juzi mlitaka kununua zile helicopter za kunyunyizia dawa mashamba kwa ajili ya kushambulia Alshabaab toka USA na mlitutangazia kabla hata hazijafika, hakuna usiri wowote kwa Kenya, ukiona hakuna taarifa za kutosha ujue hicho kitu hakipo.
 
Katika vita na nchi yenye "Good air defense system" yaani nchi yenye " radar nzuri na surface to air missiles nzuri", helicopter hazina nafasi, haziwezi kutumika kwa sababu ni rais sana kutunguliwa.

Pamoja na hayo yote, bado hakuna ushahidi wowote kwamba KDF wanazo lethal helicopters, hizo Cobra helicopter mnazosema, hakuna ushahidi wowote kwamba ni Mali ya Kenya, hatujui lini zilinunuliwa na wapi.

Kenya mkinunua vifaa vya kijeshi lazima mnatangaza, hadi juzi mlitaka kununua zile helicopter za kunyunyizia dawa mashamba kwa ajili ya kushambulia Alshabaab toka USA na mlitutangazia kabla hata hazijafika, hakuna usiri wowote kwa Kenya, ukiona hakuna taarifa za kutosha ujue hicho kitu hakipo.
USA ndio ilitangaza. Kdf haikutangaza chochote. Kama bado unapinga sema nikuletee hizo articles uone kwamba ni USA ilikuwa inatoa hizo habari.
 
Kenya tuna cobra ambazo ni attack helicopter. Lakini sijui idadi. Jeshi la Kenya lina usiri mkubwa lakini hizi attack helicopters zilipigwa picha hata wakati wa sherehe la kitaifa lililokuwa Mombasa. Kisha light attack helicopter bado linabeba missiles na machine gun. Kwa hivyo ujuwe tuna zaidi ya light attack helicopters 60. Sijui kama umeona video ya light attack helicopter MD-500 ya Kdf ikiponda Alshabab na missiles kila upande? Kama hujaiona hio video niambie nikuletee. Usidharau light attack helicopter.
Hamna cha siri the US Government gave u msaada!
 
Hamna cha siri the US Government gave u msaada!
Uongo. Ndege zetu nyingi huwa tunanunua. Leta evidence kuwa tunapewa bure. Pengine Huey ndio inaweza kuwa ya msaada. Leta evidence kuwa tumepewa bure MD-500 ambazo nchi nyingi hata za Ulaya hazina.
 
Mzee kwani umeingia mitini? Nataka tujadili kama Kenya ina cobra au la. Nikuletee video ya sherehe la kitaifa ambapo ndege ya kivita cobra ilionekana kwa mara ya kwanza?
Katika vita na nchi yenye "Good air defense system" yaani nchi yenye " radar nzuri na surface to air missiles nzuri", helicopter hazina nafasi, haziwezi kutumika kwa sababu ni rais sana kutunguliwa.

Pamoja na hayo yote, bado hakuna ushahidi wowote kwamba KDF wanazo lethal helicopters, hizo Cobra helicopter mnazosema, hakuna ushahidi wowote kwamba ni Mali ya Kenya, hatujui lini zilinunuliwa na wapi.

Kenya mkinunua vifaa vya kijeshi lazima mnatangaza, hadi juzi mlitaka kununua zile helicopter za kunyunyizia dawa mashamba kwa ajili ya kushambulia Alshabaab toka USA na mlitutangazia kabla hata hazijafika, hakuna usiri wowote kwa Kenya, ukiona hakuna taarifa za kutosha ujue hicho kitu hakipo.
 
USA ndio ilitangaza. Kdf haikutangaza chochote. Kama bado unapinga sema nikuletee hizo articles uone kwamba ni USA ilikuwa inatoa hizo habari.
Kwanza nipe ushahidi kwamba Kenya mko na "lethal Helicopters".
 
Mzee kwani umeingia mitini? Nataka tujadili kama Kenya ina cobra au la. Nikuletee video ya sherehe la kitaifa ambapo ndege ya kivita cobra ilionekana kwa mara ya kwanza?
Kuonekana sio ushahidi, inawezekana walikodisha kwa ajili ya training, au walishirikiana kufanya mazoezi na majeshi ya nchi zingine.

Unajua kuwepo kwa ushahidi?, ni lazima kuwepo na ushahidi wa manunuzi, au inventory inayoonyesha silaha zinazomilikiwa na KDF, kama tujuavyo kwamba KDF inamiliki F-5 fighter jets na light helicopters, vyote hivi vipo kwenye inventory na vinajulikana lini vilinunuliwa na idadi yake.
 
Back
Top Bottom