Mbobo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 1,392
- 1,818
Hakuna tena Mkuu, Dirisha ni hilihili kwa vile walisema hata uki appeal haiadhiri maombi yako kama ni continuousHivi kutakuwa dirisha la appeal la continuous
Hivyo bora ku appeal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna tena Mkuu, Dirisha ni hilihili kwa vile walisema hata uki appeal haiadhiri maombi yako kama ni continuousHivi kutakuwa dirisha la appeal la continuous
13 mwezi huuUkomo wa dirisha la rufaa ni tarehe ngapi?
Log out na ku log in huenda ni MtandaoView attachment 2809489View attachment 2809489Naomba kujua kwann jaman wananiandikia ivi
Exactly. Hiyo ni miongoni mwa grounds nzuri kabisa za ku appeal.Hivi apart from kifo cha mzazi, previous TASAF support pale walipoweka sababu nyinginezo zinaweza kuwa sababu zipi zinazoweza ku-justify kupewa mkopo? Mimi ninampambania mtu wangu wa karibu ambaye wazazi wake wametalikiana mwaka huu na sasa wazazi wake wanatupiana mpira wa kumlipia ada. Will the attachment of divorce certificate and some explanation suffice to show that the applicant really needs financial support from the Board? Ufafanuzi hapo wadau.
Wengine wazazi wagonjwa lakini hospital kutoa ripoti ni kashesheExactly. Hiyo ni miongoni mwa grounds nzuri kabisa za ku appeal.
Hata kama mtu ana wazazi wake wawili walio hai anaweza kukata rufaa kwa kutoa sababu kwamba mzazi anayetegemewa kulipa ada na mahitaji mengine ni mgonjwa na ukaambatanisha na karatasi ya daktari kama uthibitisho inakubalika pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia kwenye mfumo wa RITA hakuna certification ya cheti cha talaka ila kuna ya cheti cha kuzaliwa na kifo tu. Na kwa vile wamesema all attachments must be certified by responsible authorities nashindwa kuelewa kama hiyo certification ya cheti cha talaka cha wazazi wake lazima ifanywe na RITA au hata mwanasheria anakubalika?Exactly. Hiyo ni miongoni mwa grounds nzuri kabisa za ku appeal.
Hata kama mtu ana wazazi wake wawili walio hai anaweza kukata rufaa kwa kutoa sababu kwamba mzazi anayetegemewa kulipa ada na mahitaji mengine ni mgonjwa na ukaambatanisha na karatasi ya daktari kama uthibitisho inakubalika pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka hata mimi ilikuwa inaniletea majibu kama hayo ila nikajaribu zaidi ya mara nne kisha ikakubali.Tatizo nikiweka verification numbers ya birth certificate niliyotumia kuombea mkopo inakataa. Inasema niingize valid verification number.
Je, ni kwamba natakiwa ku verify cheti kwa mara ya pili tofauti na ile niliyotumia kuombea mkopo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kuchagua sababu ya kukata rufaa unatakiwa ku download fomu ambapo utaweka saini na tarehe tu kisha utai upload.Kuna sehemu ya kudownload form usaini.
Sasa sijui tunatakiwa tuattach nn kingine
Fomu uta download baada ya kujaza ili uweze kuisaini.Hakuna form ya kudownload bn information unajaza mulemule
Yaah nimeiona kk nishaidownload bado kuprintFomu uta download baada ya kujaza ili uweze kuisaini.
Hii hapa mie nilikamilisha kwa kijana wangu.Wakuu yeyote atakayefanikiwa ku download fomu ya appeal atume humu maana mimi kila niki download inaniandikia download failed.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilifanikiwa pia mkuu.Hii hapa mie nilikamilisha kwa kijana wangu. View attachment 2809868
Wakili tu anafanya hilo zoezi.Nasikia kwenye mfumo wa RITA hakuna certification ya cheti cha talaka ila kuna ya cheti cha kuzaliwa na kifo tu. Na kwa vile wamesema all attachments must be certified by responsible authorities nashindwa kuelewa kama hiyo certification ya cheti cha talaka cha wazazi wake lazima ifanywe na RITA au hata mwanasheria anakubalika?
Mkuu birth certificate nayo tunascan na kuapload au?Hii hapa mie nilikamilisha kwa kijana wangu. View attachment 2809868
Sijui kwann hawajatoa muongozo wanatuacha tuMkuu birth certificate nayo tunascan na kuapload au?
Hapana unajaza namba zile zinazotolewa na RITA zinaishia na -BVMkuu birth certificate nayo tunascan na kuapload au?
Hapo hakuna birth certificate. Ila unatakiwa kujaza verification number ambayo uliitumia wakati wa kuomba mkopo.Mkuu birth certificate nayo tunascan na kuapload au?
Hapana, scanned document ni moja tu uliyoisaini.Sijui kwann hawajatoa muongozo wanatuacha tu
well noted mkuuHapo hakuna birth certificate. Ila unatakiwa kujaza verification number ambayo uliitumia wakati wa kuomba mkopo.
Kitendo cha kuingiza verification number utaona jina lako limetokea kuthibitisha kuwa cheti cheti chako ni sahihi.