Appeal za HESLB kwa waliokosa mkopo ipoje?

Appeal za HESLB kwa waliokosa mkopo ipoje?

Hivi apart from kifo cha mzazi, previous TASAF support pale walipoweka sababu nyinginezo zinaweza kuwa sababu zipi zinazoweza ku-justify kupewa mkopo? Mimi ninampambania mtu wangu wa karibu ambaye wazazi wake wametalikiana mwaka huu na sasa wazazi wake wanatupiana mpira wa kumlipia ada. Will the attachment of divorce certificate and some explanation suffice to show that the applicant really needs financial support from the Board? Ufafanuzi hapo wadau.
Exactly. Hiyo ni miongoni mwa grounds nzuri kabisa za ku appeal.

Hata kama mtu ana wazazi wake wawili walio hai anaweza kukata rufaa kwa kutoa sababu kwamba mzazi anayetegemewa kulipa ada na mahitaji mengine ni mgonjwa na ukaambatanisha na karatasi ya daktari kama uthibitisho inakubalika pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly. Hiyo ni miongoni mwa grounds nzuri kabisa za ku appeal.

Hata kama mtu ana wazazi wake wawili walio hai anaweza kukata rufaa kwa kutoa sababu kwamba mzazi anayetegemewa kulipa ada na mahitaji mengine ni mgonjwa na ukaambatanisha na karatasi ya daktari kama uthibitisho inakubalika pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine wazazi wagonjwa lakini hospital kutoa ripoti ni kasheshe
 
Exactly. Hiyo ni miongoni mwa grounds nzuri kabisa za ku appeal.

Hata kama mtu ana wazazi wake wawili walio hai anaweza kukata rufaa kwa kutoa sababu kwamba mzazi anayetegemewa kulipa ada na mahitaji mengine ni mgonjwa na ukaambatanisha na karatasi ya daktari kama uthibitisho inakubalika pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia kwenye mfumo wa RITA hakuna certification ya cheti cha talaka ila kuna ya cheti cha kuzaliwa na kifo tu. Na kwa vile wamesema all attachments must be certified by responsible authorities nashindwa kuelewa kama hiyo certification ya cheti cha talaka cha wazazi wake lazima ifanywe na RITA au hata mwanasheria anakubalika?
 
Tatizo nikiweka verification numbers ya birth certificate niliyotumia kuombea mkopo inakataa. Inasema niingize valid verification number.

Je, ni kwamba natakiwa ku verify cheti kwa mara ya pili tofauti na ile niliyotumia kuombea mkopo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka hata mimi ilikuwa inaniletea majibu kama hayo ila nikajaribu zaidi ya mara nne kisha ikakubali.
 
Wakuu yeyote atakayefanikiwa ku download fomu ya appeal atume humu maana mimi kila niki download inaniandikia download failed.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hapa mie nilikamilisha kwa kijana wangu.
IMG_20231110_204806.jpg
 
Nasikia kwenye mfumo wa RITA hakuna certification ya cheti cha talaka ila kuna ya cheti cha kuzaliwa na kifo tu. Na kwa vile wamesema all attachments must be certified by responsible authorities nashindwa kuelewa kama hiyo certification ya cheti cha talaka cha wazazi wake lazima ifanywe na RITA au hata mwanasheria anakubalika?
Wakili tu anafanya hilo zoezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu birth certificate nayo tunascan na kuapload au?
Hapo hakuna birth certificate. Ila unatakiwa kujaza verification number ambayo uliitumia wakati wa kuomba mkopo.
Kitendo cha kuingiza verification number utaona jina lako limetokea kuthibitisha kuwa cheti cheti chako ni sahihi.
 
Hapo hakuna birth certificate. Ila unatakiwa kujaza verification number ambayo uliitumia wakati wa kuomba mkopo.
Kitendo cha kuingiza verification number utaona jina lako limetokea kuthibitisha kuwa cheti cheti chako ni sahihi.
well noted mkuu
 
Back
Top Bottom