Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Maybe you are right. Ila mimi ilimkuta dogo mmoja wakati ana-apply; na alikuwa anatumia PC hivyohivyo. System ilikuwa ina-load kwenye guarantor kwa siku 3 na deadline ilikuwa inakaribia. Ikabidi aende Cafe; ikakubali instantlynatumia compyuta asee ila badoo. na internet ni nzuri tu, na nimetumia responsive browser (chrome). sijui hata natatua vp na mda unaisha tu