Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Kampuni kubwa ya kiteknolojia ya Marekani Apple imekuwa kampuni ya kwanza kupata hesabu ya soko la hisa ya $3tn (£2.2tn).
Bei ya hisa za kampuni hiyo ilipanda kwa karibu asilimia The firm's share price has 5,800 tangu mwanzilishi mwenza na mtendaji mkuu wa zamani Steve Jobs kuzindua iPhone ya kwanza mnamo 2007.
Hata hivyo, thamani yake ilishuka kidogo kutoka kwa hatua hiyo muhimu, hadi kumaliza kikao cha biashara cha Jumatatu huko New York kwa $2.99tn.
Apple imekuwa mmoja wa washindi wakubwa wa janga hili, kwani athari za amri ya kutotoka nje iliyosababishwa na virusi vya corona ilifanya matumizi ya vifaa vya rununu kuongezeka.
Ilichukua zaidi ya miezi 16 kwa thamani ya hisa za Apple kupanda kutoka dola trilioni mbili hadi dola trilioni tatu, baada ya uhitaji wa bidhaa za kampuni hiyo kubwa ya teknoojia duniani kuongezeka wakati amri ya kutotoka nje ilipowekwa ili kudhibiti maambukizi ya corona.
Bei ya hisa za kampuni hiyo ilipanda kwa karibu asilimia The firm's share price has 5,800 tangu mwanzilishi mwenza na mtendaji mkuu wa zamani Steve Jobs kuzindua iPhone ya kwanza mnamo 2007.
Hata hivyo, thamani yake ilishuka kidogo kutoka kwa hatua hiyo muhimu, hadi kumaliza kikao cha biashara cha Jumatatu huko New York kwa $2.99tn.
Apple imekuwa mmoja wa washindi wakubwa wa janga hili, kwani athari za amri ya kutotoka nje iliyosababishwa na virusi vya corona ilifanya matumizi ya vifaa vya rununu kuongezeka.
Ilichukua zaidi ya miezi 16 kwa thamani ya hisa za Apple kupanda kutoka dola trilioni mbili hadi dola trilioni tatu, baada ya uhitaji wa bidhaa za kampuni hiyo kubwa ya teknoojia duniani kuongezeka wakati amri ya kutotoka nje ilipowekwa ili kudhibiti maambukizi ya corona.