Apple kuzindua iPhone 16 series leo Tar 9 September 2024

Apple kuzindua iPhone 16 series leo Tar 9 September 2024

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Kwenye maisha, tuna uhakika wa vitu vitatu. Kifo, Kodi kupanda na iPhone mpya kila September!

Wakali wa hizi mambo, leo uko Marekani watafanya uzinduzi mkubwa wa simu 4 za iPhone 16.

images (5).jpeg

Simu zinazotegemea kuzinduliwa ni We iPhone 16, iPhone 16 Plus, iPhone 16 Pro, and iPhone 16 Pro Max, zote zikiwa na iOS 18 ambayo itakua na AI (Apple Intelligence), ambayo kuna tetesi ikawa sio bure (20$/month)!
images (3).jpeg

Pia watazindua Apple Smartwatch series 10 aka series X!
images (4).jpeg

Uzinduzi umeanza saa 2 usiku kwa saa za Tanzania, nadhani kesho saa 4 tutazikuta Makumbusho!

Unaweza kucheki Keynote YouTube hapa:

View: https://www.youtube.com/live/uarNiSl_uh4?si=a-QsuK5SsXIB-f2G
Ila kama kawaida comments zimefungiwa!
 
Wakali wa hizi mambo, leo uko Marekani watafanya uzinduzi mkubwa wa simu 4 za iPhone 16.
View attachment 3091819
Simu zinazotegemea kuzinduliwa ni We iPhone 16, iPhone 16 Plus, iPhone 16 Pro, and iPhone 16 Pro Max, zote zikiwa na iOS 18 ambayo itakua na AI (Apple Intelligence), ambayo kuna tetesi ikawa sio bure (20$/month)!
View attachment 3091816
Pia watazindua Apple Smartwatch series 10 aka series X!
View attachment 3091817
Uzinduzi umeanza saa 2 usiku kwa saa za Tanzania, nadhani kesho saa 4 tutazikuta Makumbusho!

Unaweza kucheki Keynote YouTube hapa:

View: https://www.youtube.com/live/uarNiSl_uh4?si=a-QsuK5SsXIB-f2G
Ila kama kawaida comments zimefungiwa!

Hapo uliposema utazikuta Makumbusho nimecheka sana.

Maduka mengi ya simu yaliyopo maeneo ya Makumbusho ni ya kishenzi.

Nilishawahi nunua Samsung Note 10+ aisee, ile simu S-Pen ilikuwa haifanyi kazi, niliagiza ikaletwa nikajuta.

Nilishaagiza Screen Protextor aina ya Ceramic nikaletewa haikuwa Ceramic, ilikuwa ni ya glass ila waliweka kwenye boksi la Ceramic.
 
Hapo uliposema utazikuta Makumbusho nimecheka sana.

Maduka mengi ya simu yalipo maeneo ya Makumbusho ni ya kishenzi.

Nilishawahi nunua Samsung Note 10+ aisee, ile simu S-Pen ilikuwa haifanyi kazi, niliagiza ikaletwa nikajuta.

Nilishaagiza Screen Protextor aina ya Ceramic nikaletewa haikuwa Ceramic, ilikuwa ni ya glass ila waliweka kwenye boksi la Ceramic.
Mi nikishaona duka moja wauzaji 10 sisogei. Makumbusho sio aisee.
 
Back
Top Bottom