Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Hahaha sawa mkuu nitaiga hii mbinu yako nimeipenda.
Eeeh Kaka kama ukifumania vitu na hela unayo unavibeba tu huwa inasaidia mfn mimi nina mwaka wa 3 huuu sinunui flash maana nilizifuma zile OG sehemu nikazibeba za kutosha.

Kuna sehem pia nilzifuma SSD bei kitonga alaf OG nikalala nazo mbele.. juz hapo niliingia ktk liquor store moja hivi nikakuta Jagger inauzwa bei kitonga nikasema hapa hapa.. nikabeba Box kabisa.
Heheh
 
Hahahah mkuu hii mbinu ni nzuri kama hela ipo vinginevyo unanunua kapiece kamoja unakuta original, ukienda ukija unakutana na grade 80.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…