Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,483
- 6,257
Unanishauri nichukue earphone za Wire au wireless.ORAIMO NI firee nimetumia earphones zake zinagonga noma na zinadumu Sasa hv nataka ninunue Head phone zake kabisa zile za 95k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanishauri nichukue earphone za Wire au wireless.ORAIMO NI firee nimetumia earphones zake zinagonga noma na zinadumu Sasa hv nataka ninunue Head phone zake kabisa zile za 95k
Nimechukua hii ibwana sijajutiaa mziki mzuriii charge masaa 7 bila case na masaa 24 na case yake...nimechukua kwa 65000 wala sijutiNgoja nijichange nikachukue huo mzigo 40k niunge kwenye kahuawei kangu
ww hupendelei base?Nimechukua hii ibwana sijajutiaa mziki mzuriii charge masaa 7 bila case na masaa 24 na case yake...nimechukua kwa 65000 wala sijutiView attachment 2726128
Sent from my LYA-AL10 using JamiiForums mobile app
Unanishauri nichukue earphone za Wire au wireless.
Hizi zimeenea sana fake zake zipo nyingi mno.Nimechukua hii ibwana sijajutiaa mziki mzuriii charge masaa 7 bila case na masaa 24 na case yake...nimechukua kwa 65000 wala sijutiView attachment 2726128
Sent from my LYA-AL10 using JamiiForums mobile app
Nichukue zipi sasa... Brand gani.Achana na Oraimo kama unapenda mziki mzuri wenye base nzito na uliotulia
Naam mkuu, nimechukua Xperia XZ3 badala ya hiyo. Alafu masikioni natumia Wireless Earphones za Redmi nilinunua AliExpress. So kwa sasa maisha ni mazuri kwa kweli.Lete mrejesho sasa
15k unapata earphone nzuri tu za wire ..Nichukue zipi sasa... Brand gani.
Wire au Bluetooth.
Bajeti yangu 5,000 - 15,000
Ni kweli kabisa but hii first copy ninazo mbili hapa .first copy na second copy.hii sijutii kabisaHizi zimeenea sana fake zake zipo nyingi mno.
Hii base yake ipo safii kabisa mzee nishatumia kama mbili hivi hii ipo tofautii mzeeZina base kubwa au
ww hupendelei base?
Base ya kutoshaa kama kinu vilee mzeeZina base kubwa au
ww hupendelei base?
Nilikuwa nayo kma hiyo nilinunua kwa mtu used buku 7 mpya nikaulizia ni buku 15 ,niliyokuwa nayo charge ilikuwa inakaa masaa matatu nikaiuza saaa nina hii Pro 6Kipimo cha fake kipo kwenye kukaa na charge ...kadri inavyozidi kuwa og zaidi ndio masaa zaidi ya kukaa na charge yanaongezeka
kama umechukua first au second copy ambazo zinakaa na chaji vizuri sio maa mawili hapo vizuri maana nimewahi kumkuta jamaa anazo kama hizo alizisifu Kukaa na chaji muda mrefu wakati yangu ilikuwa masaa 2.Kipimo cha fake kipo kwenye kukaa na charge ...kadri inavyozidi kuwa og zaidi ndio masaa zaidi ya kukaa na charge yanaongezeka
Mimi tokea nianze kutumia pods nimeacha ramsi mawaya sasa hivi mawaya naona uzito kuvaa hata ziwe na Quality ya dunia ,wire rahisi kuharibika ukijichanganya kidogo basi zimekufa na inaweza kunasia mahali kuinuka zinakatika ndio maana nimeacha sasa.15k unapata earphone nzuri tu za wire ..
Inategemea na choice yako mm napenda mziki wa base sana
Wireless za Redmi Tsh ngapi ,inakaa na chaji muda gani vipi kuhusu mdundo na ubora ?Naam mkuu, nimechukua Xperia XZ3 badala ya hiyo. Alafu masikioni natumia Wireless Earphones za Redmi nilinunua AliExpress. So kwa sasa maisha ni mazuri kwa kweli.
Mbaya zaidi simu nyingi asaiv hazikuji na FM Radio.Hizi zipo Wireless ambazo unaweza kuplay na redio ? maana nyingi hazisapoti kusikiliza radio kea siku.