Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Screenshot_20230823-174257_oraimo Sound.jpg

Case haijachajiwa toka juzi..
Left ear ipo inatumika toka 3 nne nilivyotoka nyumbani
 
Hii yaweza kuwa first copy maana nimechukua duka la jumla kwa luteni tu (10K) ila nahisi ndio tunazouziwa zaidi ya elfu 20 mtaani.

First copy 10000 ni uongo.Bhc ukipata first copy ya earpods ukaisikiliza nazani utapost mpka YouTube [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Riff nilinunua mwaka jana mwezi wa 3 dukani kwa mshkaji 40k ila mpaka sasa ina uhakika wa kupiga zaidi ya masaa 5 bila kurudisha kwenye case yake

Freepods 4 nimechukua mwaka huu mwezi wa 7 100k mwanzoni nakula masaa 7 non stop case yake unaweza rudia kucharge zaidi ya mara tano na isiwe imeisha

Oraimo freepods Lite..
Nimechukua tarehe 15 mwezi huu hizi kidogo zinaumiza masikio kuliko hizo juu hapo na hata sound yake inareflect maana ya neno lite but ni valye for money bass nzuri hasa ukiunganisha na app yao HD voice call charge zaid ya masaa 7 bila kurudisha kwenye case na ukiwa unasikiliza mziki
Bei 25k tu
Toka nichukue Riff nilijiapiza nitatest bidhaa yoyote ile ya oraimo bluetooth earbuds sababu nna uhakika na quality yao na kuepukana na maswala ya kupata earbuds fake
Hiyo app yao unaipata wapi ,vp ni unatumia online au hata offline ?
 
View attachment 2726378
Case haijachajiwa toka juzi..
Left ear ipo inatumika toka 3 nne nilivyotoka nyumbani
Hii nimeipenda nimedhamiria kuinyaka ,panapo majaaliwa wiki ijayo nitatimba China plaza K/Koo nikaisake ,nimeona features zake zimenivutia nimeona Youtube jamaa Mnigeria kazielezea vizuri sana.

Vipi hizo hakuna kupigwa kupewa fake ?

Sound ina Quality nzuri ?
 
Chekeche nyingi..! kuna msee nilimkuta nazo nikachukua moja kusogeza kwenye sikio mziki ni kama marimba na sahani zinagogwa.
Nikamwambia jaribu hizi zangu mchina lakini bass kali na hazichoshii kabisaa kila kitu inatoka kwa mpangilio..
 

Attachments

  • 20230823_182332.jpg
    20230823_182332.jpg
    639.9 KB · Views: 5
Mimi tokea nianze kutumia pods nimeacha ramsi mawaya sasa hivi mawaya naona uzito kuvaa hata ziwe na Quality ya dunia ,wire rahisi kuharibika ukijichanganya kidogo basi zimekufa na inaweza kunasia mahali kuinuka zinakatika ndio maana nimeacha sasa.
Hiyo karaha/adhabu ya kuchaji kila masaa mawili huoni ni shida pia?

Mimi sipendi kutumia kitu, kila dakika unahofia chaji imebaki kiasi gani.

Halaf kingine, nikiona mtu kavaa earpods namuona kama bishoo hivi (mf. Kitenge)
 
Hii nimeipenda nimedhamiria kuinyaka ,panapo majaaliwa wiki ijayo nitatimba China plaza K/Koo nikaisake ,nimeona features zake zimenivutia nimeona Youtube jamaa Mnigeria kazielezea vizuri sana.

Vipi hizo hakuna kupigwa kupewa fake ?

Sound ina Quality nzuri ?
Hakuna kupigwa.. value fo money kama ni first pods yako na bajet unaruhusu nakurecommend riffs japo zitest kwanza hiv hutojutia
 
Hiyo karaha/adhabu ya kuchaji kila masaa mawili huoni ni shida pia?

Mimi sipendi kutumia kitu, kila dakika unahofia chaji imebaki kiasi gani.

Halaf kingine, nikiona mtu kavaa earpods namuona kama bishoo hivi (mf. Kitenge)
Unatumia pods gan ambazo unacharge kila baada ya masaa 2 😂😂😂
 
Back
Top Bottom