Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Kwenye tasnia ya music systems na vinu huwezi kukwepa Giants wa kijapani kama akina Kenwood, Sony, Pioneer na wamarekani kama Bose, JBL, Harman Kardon na wengineo.

Mimi ni music Enthusiast toka niko ng'aa na nimeshapitia mengi ila nikiri tu sijawahi kuwa fan wa products za Apple na accessories zao ila hivi karibuni nikiwa katika harakati za kutafta earphones ikiwa nilishatumia AKG by Samsung na kuzipenda nikaanza kuzisaka bila mafanikio zote zilikuwa famba.

Katika moja na mbili nikaamua nimenye za Apple japo kishingo upande ili niweze kuzitest nkapachika na kuset bluetooth na kuweza kuwasha walkman app yangu ikiwa kwenye default settings. Baada ya nyimbo ya kwanza tu kugonga nikawa so amazed nazo.

Kile ambacho nilikuwa nakitafuta nilikipata instantly. Sikuwahi kufikiri apple wanaweza kutengeneza earphone za kinyama namna hii hasa baada ya kusikiliza nyanga zao walizotoa before na watu walikuwa wanasifia nini hasa maana sikuona maajabu.


Kwenye hizi inner ear naomba niwape maua yao hawa vijana wa Steve cook. Kwa hakika wame cook earphones zenye kiwango cha Standard Gauge kwa sasa. Bass iko tight na acoustics ziko balanced. Earpods oyeee!!! 😀View attachment 2612969
Ni vijana wa Tim Cook, mzee wa upinde
 
Oraimo ni shughuli wazee hapa ndani nina
Riff
Freepods 4
Freepods lite

Ni mwendo wa kula heavy quality sound kwenda mbele
Kuna jamaa hapo juu nimemshangaa sana anaziponda

Mi ninazo hizi za wired zinakita balaa
1663744025_ezgif-5-225869bc02.jpg
 
kama umechukua first au second copy ambazo zinakaa na chaji vizuri sio maa mawili hapo vizuri maana nimewahi kumkuta jamaa anazo kama hizo alizisifu Kukaa na chaji muda mrefu wakati yangu ilikuwa masaa 2.

Brand za vipira kama ulizopost(jina nimelisahau) ni Infinix au Tecno katika ulimwengu wa Earpods maana kwa utafiti wangu katika kila watu 10 wenye Earpods 8 au 7 wanatumia hizo ndio maana copy na fake zake zimekuwa nyingi hizo hata kwa wamachinga wa mitaani wanatembeza hivyo inahitaji umakini ili usipigwe ,kwenye suala la sound wako vizuri base imenyooka.
Upo sahihi kabisa mkuu.zipo nyingi kama hizi mtaani but tofauti yake kati ya og na fake cha kwanza ni uzito..hizi first copy ni nzito kuliko second copy...kingine ni masaa ya kukaa na charge ...mimi inakaa masaa 7 au sita.mimi kwa siku nacharge mara mbili tu plus case ina kaa 24hrs.tena mimi nina matumiz ya non stop music na games..

Sent from my LYA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Kuna jamaa mtaani amekuja na JBL ameshaitumia anataka aniuzie 15K ipo bomba ina bonge la jumba linaonyesha mpk asilimia ya chaji , capacity ya power bank yake ni kubwa vilevile nasikilizia nichukue .
Hii ndio zile nyeusi?? Nilikuwa nazo mwezi uliopita hazina kitu mzee ndio nikachukua hizi airpods pro....ndio nikaona radha ya mziki..zile jbl zilikuwa zina case nyeusi na zinaonyesha charge kwenye case yake rangi ya kijanii.nimempa demu wangu ajidai nazo.

Sent from my LYA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Chekeche nyingi..! kuna msee nilimkuta nazo nikachukua moja kusogeza kwenye sikio mziki ni kama marimba na sahani zinagogwa.
Nikamwambia jaribu hizi zangu mchina lakini bass kali na hazichoshii kabisaa kila kitu inatoka kwa mpangilio..
Kila mtu anahisi kitu kikiuzwa laki ndio kizuri humu. Mziki ni sikio lako tu.
 
Hii nimeipenda nimedhamiria kuinyaka ,panapo majaaliwa wiki ijayo nitatimba China plaza K/Koo nikaisake ,nimeona features zake zimenivutia nimeona Youtube jamaa Mnigeria kazielezea vizuri sana.

Vipi hizo hakuna kupigwa kupewa fake ?

Sound ina Quality nzuri ?
Utacheka mkuu nenda ukapigwe
 
Mie najichanga nikanunue freebud za huawei ...bei yake mlima but nataka iwe sawa na simu yangu..huawei hizi aipords zingine hazionesh parcent ya charge ya wala case animation yake mpaka upate pods zake za huawei

Sent from my LYA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom