Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei yake ngapi mkuuMie najichanga nikanunue freebud za huawei ...bei yake mlima but nataka iwe sawa na simu yangu..huawei hizi aipords zingine hazionesh parcent ya charge ya wala case animation yake mpaka upate pods zake za huawei
Sent from my LYA-AL10 using JamiiForums mobile app
Bei ya chini ni laki na hamsini mkuu.but nataka nichukue ya kuanzia at least 200kBei yake ngapi mkuu
Chukua za airpods pro zile za 65k kama zangu utaenjoy maisha na utaleta mrejesho hapaa.Uzi umetembea vya kutosha...
Naombeni recommendations ya earpods nzuri, zenye bass nzuri na zisizochosha.
Buda, inakuaje hii kitu naipataje?Hii sehemu unaweza ku Scratch kama dj na ku rollback mapigo ya mziki au kuyapeleka mbele. View attachment 2614907
Nilinunua AliExpress pamoja na shipping around 160k. Kuhusu ubora wa Sound ni kama unaulizia harufu ya Samaki Magogoni Mkuu🤣, Ni Redmi Buds 4 Pro.Wireless za Redmi Tsh ngapi ,inakaa na chaji muda gani vipi kuhusu mdundo na ubora ?
Hii sehemu unaweza ku Scratch kama dj na ku rollback mapigo ya mziki au kuyapeleka mbele. View attachment 2614907
Hayo madudu fake yamejaa kibao. Watu waoga tu wa kuagiza, Ali Express zimejaa kibao za Lenovo, Redmi etc ambazo ni og na nzuri tena bei poa mziki mneneKama ni zile za 65,000 jua ni copy. OG yake ni 650,000/=
Kwa Bei hiyo uongo naona ni matumizi ya anasa na kipato hakiruhusu.Nilinunua AliExpress pamoja na shipping around 160k. Kuhusu ubora wa Sound ni kama unaulizia harufu ya Samaki Magogoni Mkuu🤣, Ni Redmi Buds 4 Pro.
Kivipi mkuu ? nipe tips nisipigweUtacheka mkuu nenda ukapigwe
Ila wewe umepigwa pakubwa kama mshamba wa kuja ,Earpods za Iphone ni buku 10 au 20K serious kweli ? 😂😂 😂Utacheka mkuu nenda ukapigwe
Nimeghairi hizo nataka nikachukue Oraimo alizonionyeshea jamaa hizo nimetest wamedesign mikubwa hazinati kwenye sikio.Humi hamna mziki, za kiboya kabisa hata airpods za 10 zinakalisha
Oraimo wanaziuza hadi laki na 20 ...Ukiona airpods hazina bass jua ni za kimachinga zile za aftatu
Duuuh mtaji kabisa huo.Mnakosa sana utamu,
Kuna siku nilikua na malaya mmoja home akawa na hizo earbuds na iphone yake anajishau tu baada ya game.
Nikalala zangu asbh naenda jogging ile narudi ndo akaona nmevaa nuratrue, ile kuzitoa akaomba kujaribu sababu hata shape yake ni unique. Kujaribu si kaanza kunililia nimuachie nikasema hapana, mara ohh usinilipe niachie tu hizi nikasema no, kwanza K ya 50k ila nuratrue nlinunua kwa almost laki nne za kibongo (usd 180 by then)
Ni brand fln utaikuta kwa elites tu
Ni mimi hpa mkuu...nazijua vzuri sana hizi zina bass ya kawaida sana na treble ndio mahali pale..kama mtu hupendi mdundo hizo zinakufaaKuna jamaa hapo juu nimemshangaa sana anaziponda
Mi ninazo hizi za wired zinakita balaa
View attachment 2726435