Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Mkuu,

Hii comment usiidharau. Ila endapo hizo zitaharibika nakushauri ujaribu na earpods za Oraimo.

Tafuta original kabisa na uzi utakaofuata itakuwa ni kuzisifia kwa viwango kuliko hizo za Apple.
😂😂 za Apple nilipewa na mtu, akasema amenunua elf 20
Mhh zilikuwa zinakereketa masikioni.
Akaja dogo akazibeba…

Nikanunua zingine elf 45.. at least
Nikiconnect na simu inanimbia ur earpods is not genuine 😂😂
Zikabebwa na rafiki angu.

Nikajikongoja kwenye 1st copy laki 1. Naishi hapo.. naona ziko 💥 nikisikiliza music nasahau matatizo yangu kabisa.
 
Mkuu,

Hii comment usiidharau. Ila endapo hizo zitaharibika nakushauri ujaribu na earpods za Oraimo.

Tafuta original kabisa na uzi utakaofuata itakuwa ni kuzisifia kwa viwango kuliko hizo za Apple.
Mkuu mimi ninayo portable speaker ya bluetooth ya oraimo niliipata ghali kidogo ina base nzuri sana, ila ile logo ya oraimo ndo inanikosesha raha, sasa zikiwa earpods si ndo kaalama ka oraimo katang'aa kabisa masikioni?.

Ninachojua bado hawajaanza kuchakachua kwa wachina wanajitahidi sana.
 
Hahaha 10k? mkuu unazingua hizo itakuwa rangi nyeupe tu hamna kitu hapo.
Hahahaha braza unasema hamna kitu kwamba maskio yangu yanadanganya?😀
We ulitaka niseme ni elfu 50 ili uamini ni nzuri.

Amini nikitaka kufanya biashara naweza wapata wengi nikawauzia hata 30K tu mikoani. Zina mziki mzuri uliojaa.
 
Back
Top Bottom